Ee Baba yetu Mungu Mkuu, Umenilinda usiku huu, Ninakushukuru kwa moyo, Ee Baba, Mwana na Roho, Nilinde tena siku hii, Niache dhambi nikutii, Naomba sana Baba wee, Baraka yako nipokee, Bikira safi ee Maria, Nisipotee unisimamie, Mlinzi Mkuu Malaika wee, Kwa Mungu wetu niombee, Nitake nitende mema tu, Na mwisho nije kwake juu, Amina.
References:
Google ScholarResearchGate
Semantic Scholar
AckySHINE
Dumu katika Bwana.
Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu
๐โค๏ธ๐ Bwana akujalie baraka
Kwa Mungu, yote yanawezekana
Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida