Siku zote mwanamke hawezi pata mwanaume aliye sahihi,,,.
1. Ukimpata handsome,,kichwa yake ni empty.
2. Ukimpata genius…yuko serious masaa 24 na wengi huwa hawako romantic , hawajipendi kihiivyo, wako rafu mno
3. Ukimpata tajiri…hawezi kukuheshimu full madharau, utamwambia nini wakati hela anayo bana.
4. Ukimpata mfanyakazi hodari na mtafutaji…hana muda wa kuwa na wewe..muda wote anawaza kazi na kutafuta maisha
5. Ukimpata mnyenyekevu…mfukoni huwa 0%.
6. Ukimpata anayekupenda kwa dhati…anakuwa siyo type yako..hana pozi zile unazitaka.
7. Ukimpata msomi..hasikilizi ushauri wako..anakuona Boya tu.
8. Ukimpata yule smart…ni muongo to the maximum… na player
So listen to your heart…❤❤, na shukuruni kwa kila jambo, toka anguko la Adam hakuna mtu perfect..hata wewe hauko perfect.
Kwa nini kulilia watu perfect??
Editor: Melkisedeck Leon Shine. About Me | Contact Me | LinkedIn | TikTok | WhatsApp
Read and Write Comments
Recommended Posts
Jinsi ya KusaidiaWatoto Kukabiliana na Mabadiliko ya Familia: Kuwa na Uthabiti na Msaada
Je, inafaa kuzungumzia kuhusu historia ya ngono/kufanya mapenzi ya kila mmoja katika uhusiano?
Jinsi ya Kujenga Msingi Imara wa Familia: Misingi ya Mafanikio
Kuweka Kipaumbele cha Kuheshimu na Kuelewa Tofauti katika Mahusiano
Jinsi ya Kuelewa na kuheshimu mahitaji ya faragha na nafasi ya kibinafsi na mpenzi wako
Jinsi ya Kufanya Familia kuwa Kitovu cha Huduma na Kujitolea: Kuleta Mabadiliko Chanya
Kujenga Ushirikiano wa Kiroho na Kuweka Mazingira ya Ibada katika Familia
Kuhamasisha Ushirikiano wa Kifedha na Kujenga Malengo ya Fedha Pamoja