Mambo 7 ambayo mwanaume apaswi kumfanyia mke wake..
1. Usimpige.
2. Usimtukane na kumshushia heshima.
3. Usimfanye ajihisi hapendwi na anamkosi.
4. Usimbake.
5. Usimsaliti na kujionyesha kabisa kwamba una saliti.
6. Msikilize pale anapokua na stress, mpe muda wako, mkumbatie na mpe maneno ya faraja.
7. Mpe zawadi, hata kama ni ndogo kiasi gani kwake ni alama tosha.
Download Kitabu cha SIRI ZA MWANAMKE ili kuwafahamu zaidi Wanawake
-
Familia, Mapenzi na Mahusiano
πKitabu cha SIRI ZA MWANAMKEπ§ππ
Original price was: Sh7,500.Sh3,000Current price is: Sh3,000. Download Now
Editor: Melkisedeck Leon Shine. About Me | Contact Me | LinkedIn | TikTok | WhatsApp
Read and Write Comments
Recommended Posts
Kuendeleza Upendo na Ushawishi katika Uhusiano wako
Jinsi ya Kukuza Kujithamini katika Familia: Kuimarisha Nguvu ya Kujiamini
Ushauri kwa mwanamke anayetafuta Mwanaume ili upate Mume sahihi
Je, ni sahihi kutumia michezo ya ngono/kufanya mapenzi kama sehemu ya uhusiano?
Jinsi ya Kuelewa na kukabiliana na changamoto za kusaidia na kuwajali wazee wa familia
Njia za Kujenga Tabia ya Kushukuru na Kuwa na Amani na Furaha katika Familia
Kuboresha Mawasiliano ya Kijinsia katika Uhusiano wa Kufanya Mapenzi
Jinsi ya Kusaidiana na mpenzi wako katika kujifunza na kukuza katika uhusiano