Katika Amri ya Sita na Tisa Mungu ametuamuru nini?
Mungu ametuamuru kutunza usafi wa moyo na kuwa waaminifu katika ndoa.
Usafi wa Moyo ndio nini?
Usafi wa Moyo ni fadhila ya kiutu, zawadi ya Mungu, neema na tunda la Roho Mtakatifu.
Kwa sababu gani yatupasa kuwa na usafi wa moyo?
Yatupasa kuwa na usafi wa moyo kwa sababu:
1. Mungu awapenda hasa wenye usafi wa moyo. (Mt 5:8)
2. Sisi Wakristo ni Hekalu la Roho Mtakatifu. (1Kor 3:16-17)
Tumekatazwa nini ili tulinde usafi wa moyo?
Tumekatazwa haya;
1. Kutazama mwili kwa Tamaa mbaya na kuvaa vibaya
2. Kusema na kuimba, ngoma zisizo na adabu.
3. Kusikiliza machafu, kucheza michezo mixhafu.
4. Kutenda machafu peke yetu au pamoja na wenzetu. (Efe 5:3)
5. Kusoma vitabu na magazeti machafu na kuangalia picha chafu.
Katika Amri ya Tisa ya Mungu tumekatazwa nini?
Tumekatazwa haya;
1. Kutomtamani mke au mume wa mwingine
2. Kutamani mambo ya zinaa
Dhambi za uchafu huleta hasara gani?
Huleta hasara hizi;
1. Kuharibu usafi wa Moyo na Hekalu la Mungu
2. Huleta Magonjwa duniani na hasara ya baadae. mf UKIMWI. (Efe 5:5)
3. Huvunja amani ya familia
4. Kujijengea mazoea ya uchafu
Tulinde usafi wa Moyo namna gani?
1. Kusali mara dhidi ya kishawishi.
2. Kupokea sakramenti hasa Kitubio na Ekaristi mara nyingi
3. Kuepuka uvivu, ulevi na madawa ya kulevya.
4. Kukimbia nafasi dha dhambi.
5. Kutunza haya au soni
6. Kuwa na mazoea ya kufunga na kujinyima.
Neema na amani iwe nawe.
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima
Good teachings are here. Keep the spirit
Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia
Nguvu hutoka kwa Bwana
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
Ahadi za Mungu ni za kweli daima
Kwa Mungu, yote yanawezekana
Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi
Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake
Hauko peke yako; Mungu yuko nawe
Neema ya Mungu inatosha kwako
Dumu katika Bwana.
Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu
Mungu akubariki!
Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha
Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia
Imani inaweza kusogeza milima
Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine
Wakati wa Mungu ni kamilifu
Katika imani, yote yanawezekana
Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe
Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha
Baraka kwako na familia yako.
Upendo wa Mungu haukosei kamwe.
Rehema hushinda hukumu
Endelea kuwa na imani!
Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni
Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika
Sifa kwa Bwana!
Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia
Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako
Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi
Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao
Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe
Nakuombea 🙏
Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu
Tembea kwa imani, si kwa kuona
Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida
Rehema zake hudumu milele
Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu
Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote
Bwana yuko karibu na wote wanaomwita
Mungu ni mwema, wakati wote!
Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini
Mwamini Bwana; anajua njia
Tumaini ni nanga ya roho
Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako
Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia
Mwamini katika mpango wake.