Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Sala ya kuomba Kifo chema

Featured Image

Enyi Yesu na Maria na Yosefu,

nawatolea Moyo, na roho, na uzima wangu.

Enyi Yesu na Maria na Yosefu,

mnipokee saa ya kufa kwangu.

Enyi Yesu na Maria na Yosefu,

mnijalie nife mikoni mwenu.

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Samuel Were (Guest) on November 25, 2017

Katika imani, yote yanawezekana

Bernard Oduor (Guest) on June 28, 2017

Mungu akubariki!

Dorothy Nkya (Guest) on June 13, 2017

πŸ™β€οΈ Mungu akubariki

Andrew Mahiga (Guest) on April 12, 2017

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Joyce Aoko (Guest) on April 5, 2017

Mwamini Bwana; anajua njia

Esther Nyambura (Guest) on March 26, 2017

πŸ™πŸŒŸβ€οΈ Nakuombea heri

James Malima (Guest) on March 19, 2017

Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu

Jackson Makori (Guest) on November 11, 2016

Hauko peke yako; Mungu yuko nawe

Lydia Mutheu (Guest) on October 13, 2016

Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi

Charles Wafula (Guest) on October 11, 2016

πŸ™πŸŒŸ Neema za Mungu zisikose

Rose Kiwanga (Guest) on May 24, 2016

Bwana yuko karibu na wote wanaomwita

Lucy Kimotho (Guest) on May 13, 2016

πŸ™πŸ’– Mungu wetu asifiwe

Chris Okello (Guest) on May 7, 2016

Nguvu hutoka kwa Bwana

Lucy Kimotho (Guest) on April 12, 2016

Tembea kwa imani, si kwa kuona

Samson Mahiga (Guest) on March 26, 2016

Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako

Violet Mumo (Guest) on January 27, 2016

πŸ™β€οΈ Mungu ni mwaminifu

Paul Ndomba (Guest) on December 18, 2015

Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika

Alice Mwikali (Guest) on November 29, 2015

Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe

Richard Mulwa (Guest) on November 1, 2015

Kwa Mungu, yote yanawezekana

Jacob Kiplangat (Guest) on October 6, 2015

Rehema zake hudumu milele

Lydia Mzindakaya (Guest) on July 14, 2015

πŸ™βœ¨ Mungu atupe nguvu

Mariam Kawawa (Guest) on June 22, 2015

Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia

Rose Lowassa (Guest) on April 15, 2015

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Related Posts

Sala ya Malaika wa Bwana

Sala ya Malaika wa Bwana

Malaika wa Bwana alimpasha habari Maria, naye akapata mimba kwa uwezo wa Roho Mtakatifu. Salamu M... Read More

SALA ZA KUMWABUDU YESU KATIKA EKARISTI TAKATIFU

SALA ZA KUMWABUDU YESU KATIKA EKARISTI TAKATIFU

SALA YA KUMWABUDU BWANA YESU KATIKA SAKRAMENTI TAKATIFU

Ee Yesu Kristu,/ Bwana wangu na M... Read More

LITANIA YA KUWAOMBEA MAPADRE WOTE II

LITANIA YA KUWAOMBEA MAPADRE WOTE II

Kwa ajili ya Baba Mtakatifu wetu ..(N); Bwana, umpe moyo wako wa uchungaji ... Read More

NOVENA KWA AJILI YA KUJIANDAA KWA SIKUKUU YA MOYO MTAKATIFU WA YESU

NOVENA KWA AJILI YA KUJIANDAA KWA SIKUKUU YA MOYO MTAKATIFU WA YESU

Inaweza kusemwa wakati wowote katika mwaka. Kwa ajili ya kujiandaa kwa Sikukuu ya Moyo Mtakatifu ... Read More

ROZARI, MATENDO NA LITANI YA MAMA BIKIRA MARIA

ROZARI, MATENDO NA LITANI YA MAMA BIKIRA MARIA

Read More
Sala ya Saa Tisa

Sala ya Saa Tisa

✝⌚✝

Sala ya saa tisaπŸ™πŸΎ

Kwa jina la Baba na la Mwana na la Roho Mtakatifu.... Read More

SALA KWA MTAKATIFU YUDA TADEI

SALA KWA MTAKATIFU YUDA TADEI

Mtakatifu Yuda Tadei,/ Mtume Mtakatifu,/ mtumishi mwaminifu na rafiki wa Yes... Read More

SALA MUHIMU ZA MKRISTO ZA KILA SIKU ASUBUHI

SALA MUHIMU ZA MKRISTO ZA KILA SIKU ASUBUHI

SALA YA ASUBUHI

Tuusifu Utatu Mtakatifu wa Mungu Mwenyezi, Baba, Mwana na Roho Mtakatifu,... Read More

SALA MBELE YA KITI CHA ENZI CHA MUNGU

SALA MBELE YA KITI CHA ENZI CHA MUNGU

Sali Atukuzwe 7 kwa heshima ya Malaika 7 wateule ujipatie neema ya kuepa dhambi mbaya saba na kut... Read More

SALAMU MARIA

SALAMU MARIA

Salamu Maria
Umejaa neema
Bwana yu nawe
Umebarikiwa kuliko wanawake wote
Na Y... Read More

SALA YA KUTUBU

SALA YA KUTUBU

Mungu wangu ninatubu sana, niliyokosa kwako, kwani ndiwe mwema, ndiwe mwenye kupendeza, wachukiz... Read More

SALA YA NOVENA KWA MOYO MTAKATIFU WA YESU

SALA YA NOVENA KWA MOYO MTAKATIFU WA YESU

Ee Moyo Mtakatifu sana wa Yesu, chemchemi ya kila baraka, ninakuabudu, ninakupenda, na kwa majuto... Read More