Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Sala ya Malaika wa Bwana

Featured Image

Malaika wa Bwana alimpasha habari Maria, naye akapata mimba kwa uwezo wa Roho Mtakatifu. Salamu Maria,….

Ndimi Mtumishi wa Bwana, nitendewe ulivyonena. Salamu Maria, ……
Neno wa Bwana akatwaa Mwili, akakaa kwetu. Salamu Maria, …..

Utuombee, ee Mzazi Mtakatifu wa Mungu, tujaliwe ahadi za Kristo.

Tuombe:

Tunakuomba ee Bwana, utie neema yako mioyoni mwetu, ili sisi tuliojua kwa maelezo ya Malaika, kwamba, Kristo Mwanao amejifanya mtu: kwa mateso na Msalaba wake, utufikishe kwenye utukufu wa ufufuko. Tunaomba hayo kwa njia ya Kristo Bwana wetu, Amina.

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Charles Mrope (Guest) on June 22, 2017

Mungu ni mwema, wakati wote!

Catherine Naliaka (Guest) on June 19, 2017

Baraka kwako na familia yako.

Samson Mahiga (Guest) on June 7, 2017

Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake

Raphael Okoth (Guest) on April 25, 2017

πŸ™πŸ’–βœ¨ Neema yako ni ya kutosha

John Mushi (Guest) on April 10, 2017

Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha

Mary Sokoine (Guest) on March 28, 2017

πŸ™βœ¨ Neema ya Mungu iwe nawe

Zakaria (Guest) on March 10, 2017

πŸ™πŸ™πŸ™

Margaret Anyango (Guest) on November 16, 2016

πŸ™β€οΈ Mungu ni mlinzi wetu

Nora Lowassa (Guest) on November 2, 2016

πŸ™β€οΈπŸŒŸ Asante Mungu kwa uhai

Irene Makena (Guest) on October 2, 2016

πŸ™πŸŒŸ Mbarikiwe sana

Anna Malela (Guest) on September 26, 2016

Mungu akubariki!

Anna Mahiga (Guest) on August 17, 2016

πŸ™β€οΈ Mungu ni mkombozi

Christopher Oloo (Guest) on May 7, 2016

Bwana yuko karibu na wote wanaomwita

David Sokoine (Guest) on May 3, 2016

Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine

Dorothy Mwakalindile (Guest) on March 15, 2016

πŸ™βœ¨πŸ’– Mungu atajibu maombi yako

Janet Sumari (Guest) on January 30, 2016

Hauko peke yako; Mungu yuko nawe

James Malima (Guest) on December 7, 2015

Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia

Betty Akinyi (Guest) on November 15, 2015

πŸ™βœ¨β€οΈ Neema za Mungu zikufunike

Alice Mwikali (Guest) on August 11, 2015

πŸ™β€οΈ Mungu akubariki

Vincent Mwangangi (Guest) on July 9, 2015

Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi

Joseph Kitine (Guest) on July 6, 2015

πŸ™πŸ™πŸ™

John Mushi (Guest) on June 12, 2015

Kwa Mungu, yote yanawezekana

Lucy Mahiga (Guest) on May 1, 2015

Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia

Related Posts

ROZARI YA MATESO SABA YA BIKIRA MARIA

ROZARI YA MATESO SABA YA BIKIRA MARIA

Tumia Rozari ya Mateso Saba ya Bikira Maria iliyo na mafungu 7 yaani mateso 7 yenye Salamu Maria... Read More

SALA KWA MALAIKA WAKO MLINZI

SALA KWA MALAIKA WAKO MLINZI

Malaika wa Mungu Mlinzi wangu mpenzi,
Ambaye upendo wake unanifanya niwepo hapa,
Uwe na... Read More

SALA YA MAPENDO

SALA YA MAPENDO

Mungu wangu,

nakupenda zaidi ya cho chote,

kwani ndiwe mwema,

ndiwe mwenye kupe... Read More

ROZARI YA MOYO MTAKATIFU WA YESU

ROZARI YA MOYO MTAKATIFU WA YESU

Tumia tasbihi ya kawaida yenye chembe ndogo 53.

Kwenye Msalaba Sali:

... Read More
NOVENA KWA AJILI YA KUJIANDAA KWA SIKUKUU YA MOYO MTAKATIFU WA YESU

NOVENA KWA AJILI YA KUJIANDAA KWA SIKUKUU YA MOYO MTAKATIFU WA YESU

Inaweza kusemwa wakati wowote katika mwaka. Kwa ajili ya kujiandaa kwa Sikukuu ya Moyo Mtakatifu ... Read More

SALA YA KUUABUDU MOYO MTAKATIFU WA YESU KATIKA EKARISTI TAKATIFU

SALA YA KUUABUDU MOYO MTAKATIFU WA YESU KATIKA EKARISTI TAKATIFU

Kwa nguvu zangu zote za moyo wangu/ ninakuabudu ee Moyo Mtakatifu/ na Mwabudiwa sana,/ Moyo Mtaka... Read More

LITANIA YA MOYO MTAKATIFU WA YESU

LITANIA YA MOYO MTAKATIFU WA YESU

Bwana utuhurumie Bwana utuhurumie
Kristo utuhurumie Kristo utuhurumie
Bwana utuhurumie ... Read More

SALA YA KUWAOMBEA MAPADRE

SALA YA KUWAOMBEA MAPADRE

Ee Bwana Yesu Kristo. Mkombozi wetu, kwa mapendo na tamaa yako ya kutaka kulinda vema Kanisa lako... Read More

AMRI ZA KANISA

AMRI ZA KANISA

1. HUDHURIA MISA TAKATIFU DOMINIKA NA SIKUKUU ZILZOAMRIWA

2. FUNGA SIKU YA JUMATANO YA MAJI... Read More

Sala ya Medali ya Mwujiza

Sala ya Medali ya Mwujiza

Ee Bikira Maria uliyekingiwa dhambi ya asili, utuombee sisi wenye kukimbilia kwako, uwaombee na w... Read More

Sala ya Asubuhi ya kila siku

Sala ya Asubuhi ya kila siku

Kwa jina la Baba….. Ee Baba yetu Mungu mkuu,umenilinda usiku huu. Nakushukuru kwa moyo, ee Baba,M... Read More
SALA YA UHAI KWA MT. YOSEFU

SALA YA UHAI KWA MT. YOSEFU

(Sala hii inafaa sana kwa ajili ya kutetea uhai wa watoto wachanga wakiwa tumboni mwa mama za... Read More