Malaika wa Bwana alimpasha habari Maria, naye akapata mimba kwa uwezo wa Roho Mtakatifu. Salamu Maria,β¦.
Ndimi Mtumishi wa Bwana, nitendewe ulivyonena. Salamu Maria, β¦β¦
Neno wa Bwana akatwaa Mwili, akakaa kwetu. Salamu Maria, β¦..
Utuombee, ee Mzazi Mtakatifu wa Mungu, tujaliwe ahadi za Kristo.
Tuombe:
Tunakuomba ee Bwana, utie neema yako mioyoni mwetu, ili sisi tuliojua kwa maelezo ya Malaika, kwamba, Kristo Mwanao amejifanya mtu: kwa mateso na Msalaba wake, utufikishe kwenye utukufu wa ufufuko. Tunaomba hayo kwa njia ya Kristo Bwana wetu, Amina.
Charles Mrope (Guest) on June 22, 2017
Mungu ni mwema, wakati wote!
Catherine Naliaka (Guest) on June 19, 2017
Baraka kwako na familia yako.
Samson Mahiga (Guest) on June 7, 2017
Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake
Raphael Okoth (Guest) on April 25, 2017
ππβ¨ Neema yako ni ya kutosha
John Mushi (Guest) on April 10, 2017
Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha
Mary Sokoine (Guest) on March 28, 2017
πβ¨ Neema ya Mungu iwe nawe
Zakaria (Guest) on March 10, 2017
πππ
Margaret Anyango (Guest) on November 16, 2016
πβ€οΈ Mungu ni mlinzi wetu
Nora Lowassa (Guest) on November 2, 2016
πβ€οΈπ Asante Mungu kwa uhai
Irene Makena (Guest) on October 2, 2016
ππ Mbarikiwe sana
Anna Malela (Guest) on September 26, 2016
Mungu akubariki!
Anna Mahiga (Guest) on August 17, 2016
πβ€οΈ Mungu ni mkombozi
Christopher Oloo (Guest) on May 7, 2016
Bwana yuko karibu na wote wanaomwita
David Sokoine (Guest) on May 3, 2016
Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine
Dorothy Mwakalindile (Guest) on March 15, 2016
πβ¨π Mungu atajibu maombi yako
Janet Sumari (Guest) on January 30, 2016
Hauko peke yako; Mungu yuko nawe
James Malima (Guest) on December 7, 2015
Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia
Betty Akinyi (Guest) on November 15, 2015
πβ¨β€οΈ Neema za Mungu zikufunike
Alice Mwikali (Guest) on August 11, 2015
πβ€οΈ Mungu akubariki
Vincent Mwangangi (Guest) on July 9, 2015
Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi
Joseph Kitine (Guest) on July 6, 2015
πππ
John Mushi (Guest) on June 12, 2015
Kwa Mungu, yote yanawezekana
Lucy Mahiga (Guest) on May 1, 2015
Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia