Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

ATUKUZWE BABA

Featured Image

Atukuzwe Baba
na Mwana
na Roho Mtakatifu
Kama mwanzo
na sasa,
na siku zote,
na milele.
Amina.

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Charles Mchome (Guest) on August 11, 2017

Kwa Mungu, yote yanawezekana

Lydia Mahiga (Guest) on July 16, 2017

Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao

Miriam Mchome (Guest) on May 2, 2017

Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi

Robert Okello (Guest) on March 31, 2017

πŸ™πŸŒŸ Mbarikiwe sana

Margaret Anyango (Guest) on February 12, 2017

πŸ™βœ¨ Neema ya Mungu iwe nawe

Nancy Akumu (Guest) on October 30, 2016

Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe

George Mallya (Guest) on September 24, 2016

πŸ™β€οΈπŸ’– Tumshukuru Mungu kwa yote

Betty Kimaro (Guest) on July 1, 2016

Bwana yuko karibu na wote wanaomwita

Mary Kendi (Guest) on June 1, 2016

πŸ™πŸ’–πŸ’« Mungu ni mwema

Frank Sokoine (Guest) on April 26, 2016

πŸ™β€οΈπŸŒŸ Asante Mungu kwa uhai

Fredrick Mutiso (Guest) on April 19, 2016

Katika imani, yote yanawezekana

Grace Majaliwa (Guest) on April 18, 2016

Mungu ni mwema, wakati wote!

Henry Mollel (Guest) on April 1, 2016

πŸ™βœ¨β€οΈ Neema za Mungu zikufunike

Benjamin Masanja (Guest) on February 7, 2016

Endelea kuwa na imani!

Patrick Akech (Guest) on February 6, 2016

Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia

Sarah Mbise (Guest) on January 13, 2016

πŸ™βœ¨β€οΈ Tumwombe Mungu kila siku

Elizabeth Malima (Guest) on November 25, 2015

Mwamini katika mpango wake.

Andrew Mahiga (Guest) on November 11, 2015

Neema ya Mungu inatosha kwako

Moses Kipkemboi (Guest) on September 12, 2015

Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika

John Mwangi (Guest) on July 26, 2015

Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia

Emily Chepngeno (Guest) on June 19, 2015

Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu

Anna Sumari (Guest) on June 9, 2015

Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni

Mercy Atieno (Guest) on May 10, 2015

πŸ™πŸ’– Mungu wetu asifiwe

Related Posts

Majitoleo kwa Bikira Maria

Majitoleo kwa Bikira Maria

(Sala iliyotungwa na Mtk. Aloisi)
Bibi yangu mtukufu Maria, nakuwekea amana ya roho yangu na... Read More

SALA KWA MALAIKA WAKO MLINZI

SALA KWA MALAIKA WAKO MLINZI

Malaika wa Mungu Mlinzi wangu mpenzi,
Ambaye upendo wake unanifanya niwepo hapa,
Uwe na... Read More

Sala ya Baba Yetu: Sala ya Bwana

Sala ya Baba Yetu: Sala ya Bwana

Baba Yetu uliye mbinguni,
jina lako litukuzwe;
ufalme wako ufike,
... Read More

SALA YA BWANA: SALA YA BABA YETU

SALA YA BWANA: SALA YA BABA YETU

Baba yetu uliye mbinguni
Jina lako litukuzwe
Ufalme wako ufike
Utakalo lifanyikeRead More

AMRI ZA MUNGU

AMRI ZA MUNGU

1. NDIMI BWANA MUNGU WAKO, USIABUDU MIUNGU WENGINE.
2. USILITAJE BURE JINA LA MUNGU WAKO.Read More

Kumbuka ee Bikira Mwenye Rehema

Kumbuka ee Bikira Mwenye Rehema

Read More

Sala za kuheshimu Damu Takatifu ya Yesu

Sala za kuheshimu Damu Takatifu ya Yesu

Tusali kila siku sala hizi, angalau kwa mwezi wa saba (Julai) kila mwaka, mwezi wa kuhesh... Read More

SALA MBELE YA KITI CHA ENZI CHA MUNGU

SALA MBELE YA KITI CHA ENZI CHA MUNGU

Sali Atukuzwe 7 kwa heshima ya Malaika 7 wateule ujipatie neema ya kuepa dhambi mbaya saba na kut... Read More

Novena ya Noeli

Novena ya Noeli

Novena ya Noeli (maarufu kama novena ya Mt. Andrea)

Husaliwa kuanzia tar 30 Nov hadi usiku ... Read More

SALA YA KUANGUKA MIGUUNI PA BWANA YESU KATIKA EKARISTI

SALA YA KUANGUKA MIGUUNI PA BWANA YESU KATIKA EKARISTI

Ee Yesu Mfungwa wa Upendo wa Mungu,/ ninapofikiri Upendo wako na jinsi ulivyojitolea kwa ajili ya... Read More

Malkia wa Mbingu

Malkia wa Mbingu

Malkia wa mbingu, furahi, aleluya. Kwani uliyestahili kumchukua, Aleluya. Amefufuka alivyosema, A... Read More

SALA YA KUMWABUDU BWANA YESU KATIKA SAKRAMENTI TAKATIFU

SALA YA KUMWABUDU BWANA YESU KATIKA SAKRAMENTI TAKATIFU

Ee Yesu Kristu,/ Bwana wangu na Mungu wangu/ ambaye ninasadiki kuwa upo hapa/ katika Sakramenti T... Read More