Ee Bwana Yesu Kristo. Mkombozi wetu, kwa mapendo na tamaa yako ya kutaka kulinda vema Kanisa lako, ukachagua Mapadri wawe Wachungaji na Viongozi wa roho za watu. Nakuomba sana; ubariki nia na bidii inayowapasa Mapadri wote katika kazi zao. Uwaongezee Utakatifu.
Uwatie moyo mzuri wenye mapendo makubwa kwako na roho za watu. Hivyo wakiisha kupata wenyewe Utakatifu, waweze kuwaongoza vizuri watu walio chini ya ulinzi wao, katika njia ya Utakatifu na furaha ya milele. Uwajalie neema zote za hali ya Upadri. Uwajalie ili waonyeshe kila siku ya maisha yao mfano wa kila fadhila ya mapendo na ya uaminifu katika Kanisa, kwa Baba Mtakatifu na kwa Maaskofu.
Yesu mpendelevu, uangalie kwa mapendo kazi na mateso ya Mapadri wako; ubariki na ustawishe mafundisho yao; wanapowafundisha watoto, wanapowahubiria watu, wanapowatuliza wakosefu watubu na wanapowasaidia wagonjwa na wale wanaokaribia mauti, Ee Yesu uwe pamoja nao. Uwakinge na hatari zote za roho na za mwili.
Mwokozi Yesu, ulijalie Kanisa liwe na Mapadri wengi walio Watakatifu. Uwajalie watoto na vijana wengi wasikie wito wa Upadri, uwatie furaha na Utakatifu na roho za Mapadri waliokufa uzijalie punziko la amani.
Kwa mimi mwenyewe Ee Yesu mpendelevu, naomba unijalie roho ya imani na utii mnyenyekevu ili niwaheshimu Mapadri kama Mawakili wa Mungu. Niwatii katika njia zote za wokovu wa roho yangu. Amina.
Imani inaweza kusogeza milima
🙏✨ Mungu atakuinua
🙏💖🙏 Mungu akufunike na upendo
🙏✨ Neema ya Mungu iwe nawe
🙏❤️💖 Baraka za Mungu ziwe nawe
🙏🙏🙏
Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako
Mungu ni mwema, wakati wote!
Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima
Dumu katika Bwana.
🙏💖 Mungu wetu asifiwe
🙏✨ Mungu atupe nguvu
🙏🌟 Namuomba Mungu akupiganie
Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao
Katika imani, yote yanawezekana
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
Wakati wa Mungu ni kamilifu
Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe
Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia
Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida
🙏❤️ Mungu ni mkombozi
Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia
🙏🌟 Neema za Mungu zisikose
Nguvu hutoka kwa Bwana
Amina
Hauko peke yako; Mungu yuko nawe
🙏✨ Mungu asikie maombi yetu
🙏🌟 Mungu alete amani
🙏❤️ Mungu ni mwaminifu
🙏🌟 Mbarikiwe sana
Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika
🙏🌟 Mungu akujalie amani
🙏❤️💖 Tumshukuru Mungu kwa yote
Neema na amani iwe nawe.
Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi
🙏✨❤️ Neema za Mungu zikufunike
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni
Mungu akubariki!
Bwana yuko karibu na wote wanaomwita
Sifa kwa Bwana!
Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe
Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha
Rehema zake hudumu milele
Tembea kwa imani, si kwa kuona
🙏💖 Asante kwa neema zako Mungu
🙏💖💫 Mungu ni mwema
Upendo wa Mungu haukosei kamwe.
🙏✨💖 Mungu atajibu maombi yako
Ahadi za Mungu ni za kweli daima
🙏🌟❤️ Nakuombea heri
Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako
Mwamini katika mpango wake.
🙏💖 Nakusihi Mungu
Nakuombea 🙏
Mwamini Bwana; anajua njia
🙏💖✨ Neema yako ni ya kutosha
🙏💖 Nakushukuru Mungu
Endelea kuwa na imani!
Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu
Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu
🙏🙏🙏
🙏❤️💖 Bwana akujalie baraka
Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine
🙏❤️ Mungu akubariki
Neema ya Mungu inatosha kwako
Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu
Kwa Mungu, yote yanawezekana
🙏❤️✨ Mungu akujalie furaha
Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha
🙏✨❤️ Tumwombe Mungu kila siku
Baraka kwako na familia yako.
Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia
Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini
🙏❤️ Mungu ni mlinzi wetu
Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi
Tumaini ni nanga ya roho
Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote
Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia
🙏❤️🌟 Asante Mungu kwa uhai
Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake
🙏❤️✨ Asante Mungu kwa kila kitu
Rehema hushinda hukumu