Ee uliye Mkuu, Mt. Yosefu, uliyatii kabisa maongozi ya Roho Mt. Unijalie neema ya kufahamu aina ya maisha ambayo Mungu anapenda mimi niishi. Usiniache nidanganyike katika jambo muhimu kama hili, ambalo furaha yangu hapa duniani inalitegemea, na hata pia wokovu wa roho yangu.
Unijalie, nikiangazwa na matakwa matakatifu na nikiwa mwaminifu katika kuyatimiza, nikumbatie aina ya maisha ambayo Mungu ameniandalia na yatakayoniongoza kwenye furaha ya milele.
Amina.
References:
Google ScholarResearchGate
Semantic Scholar
AckySHINE
🙏🌟 Mungu akujalie amani
Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine
🙏❤️ Mungu ni mlinzi wetu
🙏🌟 Namuomba Mungu akupiganie
Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao