Ee Mt. Yosefu, Baba Mlishi wa Mwokozi wangu, na mchumba safi wa Mama wa Mungu, leo ninakuchagua wewe, kama mwombezi wangu kwa Mungu Mwenyezi, na pia kama mfano wangu, na mlinzi wangu, na baba yangu, katika bonde hili la ugenini.
Ee Mt. Yosefu, ambaye Bwana alikufanya mlinzi wa Familia yake, ninakuomba uwe mlinzi wangu mwema katika mambo yangu yote. Uniwashie moyoni mwangu moto wa mapendo makuu kwa Yesu, na uniwezeshe kumtumikia kwa bidii na kwa uaminifu kwa mfano wako. Nisaidie katika udhaifu wangu katika kumheshimu Mama Maria kama Mwombezi wangu.
Daima uwe kiongozi wangu katika njia ya fadhila na ibada, na unijalie, baada ya kukufuasa kwa uaminifu katika njia ya haki, nipate ulinzi wako wenye nguvu katika saa ya kufa kwangu.
Amina
Amani kwa familia
ππ Mungu alete amani
πβ¨π Mungu atajibu maombi yako
Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia
πππ
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
Katika imani, yote yanawezekana
πβ€οΈ Mungu ni mwaminifu
πβ¨β€οΈ Neema za Mungu zikufunike
πβ¨ Neema ya Mungu iwe nawe
Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe
Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako
Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu
ππβ€οΈ Nakuombea heri
ππ Neema za Mungu zisikose
Rehema hushinda hukumu
Mwamini katika mpango wake.
Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake
πβ€οΈ Mungu ni mlinzi wetu
ππ Mbarikiwe sana
Hauko peke yako; Mungu yuko nawe
πβ€οΈπ Baraka za Mungu ziwe nawe
πππ
Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu
Upendo wa Mungu haukosei kamwe.
Kwa Mungu, yote yanawezekana
πβ¨ Mungu atakuinua
Amina
Tembea kwa imani, si kwa kuona
Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako
Mungu ni mwema, wakati wote!
Neema ya Mungu inatosha kwako
πβ€οΈ Mungu akubariki
Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote
Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia
Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu
πβ€οΈπ Tumshukuru Mungu kwa yote
ππ Mungu wetu asifiwe
Mungu akubariki!
ππβ¨ Neema yako ni ya kutosha
Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida
Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia
πβ€οΈπ Bwana akujalie baraka
Tumaini ni nanga ya roho
πβ€οΈβ¨ Asante Mungu kwa kila kitu
Ahadi za Mungu ni za kweli daima
Imani inaweza kusogeza milima
πβ€οΈ Mungu ni mkombozi
Mwamini Bwana; anajua njia
ππ Namuomba Mungu akupiganie
πβ¨β€οΈ Tumwombe Mungu kila siku
Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine
ππ Nakushukuru Mungu
Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima
Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao
Baraka kwako na familia yako.
πβ€οΈβ¨ Mungu akujalie furaha
πβ¨ Mungu asikie maombi yetu
ππ Mungu akujalie amani
Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika
Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha
Sifa kwa Bwana!
Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni
Bwana yuko karibu na wote wanaomwita
Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia
Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini
Rehema zake hudumu milele
Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe
Wakati wa Mungu ni kamilifu
πππ Mungu akufunike na upendo
Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi
Dumu katika Bwana.
πβ€οΈπ Asante Mungu kwa uhai
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
Endelea kuwa na imani!
πβ¨ Mungu atupe nguvu
Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha
Neema na amani iwe nawe.
Nguvu hutoka kwa Bwana
ππ Nakusihi Mungu
Nakuombea π
πππ« Mungu ni mwema
Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi
ππ Asante kwa neema zako Mungu