Amri ya Kumi ya Mungu: Makatazo na Amri

Amri ya Kumi ya Mungu inakataza nini?

Inakataza;

1. Uroho
2. Uchu wa mali
3. Kijicho
4. Tamaa mbaya ya kujipatia mali


Amri ya Kumi ya Mungu inaamuru nini

Amri ya Kumi ya Mungu inaamuru kuheshimu mali ya wengine na kumpenda Mungu kupita vitu vyote. (Mk 28:30).

50 thoughts on “Amri ya Kumi ya Mungu: Makatazo na Amri”

Leave a Reply to Hellen Nduta Cancel Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Shopping Cart