Namna ya kusali Rozari kwa Bikira Maria Mama wa Msaada wa Daima
(Tumia rosari ya kawaida)
Mwanzo, kwenye Msalaba:
Kwa jina la Baba na la Mwana na la Roho Mtakatifu. Amina.
Kwenye chembe ndogo za awali:
K: Ee Mungu utuelekezee msaada W: Ee Bwana utusaidie hima
W: Atukuzwe Baba na Mwana na Roho Mtakatifu,
Kama mwanzo na sasa na siku zote na milele. Amina.
Maria ametusaidia,
Maria anataka kutusaidia,
Maria anaweza kutusaidia,
Maria atatusaidia.
KATIKA KILA FUNGU SALI SALA ZIFUATAZO:
Kwenye chembe kubwa:
Atukuzwe Baba na Mwana na Roho Mtakatifu,
Kama mwanzo na sasa, na siku zote, na milele. Amina.
Maria ametusaidia,
Maria anataka kutusaidia,
Maria anaweza kutusaidia,
Maria atatusaidia.
Ee Maria Mama wa Msaada wa daima
Sikiliza maombi ya roho zetu
Unaweza kutusaidia katika mahitaji yetu
Ee Maria kwa matumaini twakuita wewe.
Kwenye chembe ndogo:
Kama unasali mwenyewe: โEe Maria, utusaidie! (mara kumi)
Kama mnasali zaidi ya mmoja kwa pamoja: K; Ee Maria, W: Utusaidie. (mara kumi)
MWISHO SALI SALA ZIFUATAZO:
Salamu Maria
Salamu Maria, umejaa neema, Bwana yu nawe, umebarikiwa kuliko wanawake wote, na Yesu Mzao wa tumbo lako amebarikiwa. Maria Mtakatifu, Mama wa Mungu, utuombee sisi wakosefu, sasa, na saa ya kufa kwetu. Amina. (mara tatu)
Tunaukimbilia
Tunaukimbilia ulinzi wako, ee Mzazi Mtakatifu wa Mungu, usitunyime tukiomba katika shida zetu, utuokoe siku zote, kila tuingiapo hatarini, ee Bikira Mtukufu na mwenye baraka,. Amina.
Mwamini Bwana; anajua njia
NOVENA YA BIKIRA MARIA MAMA WA MSADA WA DAIMA SIKU YA PILI
๐โค๏ธ Mungu akubariki
Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe
๐๐ Nakushukuru Mungu
Rehema hushinda hukumu
Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake
Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote
Rehema zake hudumu milele
Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia
๐๐ Neema za Mungu zisikose
Amina
Mungu akubariki!
๐๐ Nakusihi Mungu
๐๐๐
๐โจโค๏ธ Tumwombe Mungu kila siku
Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha
Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia
๐โค๏ธ๐ Tumshukuru Mungu kwa yote
Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu
๐โค๏ธ Mungu ni mwaminifu
Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida
๐๐๐ Mungu akufunike na upendo
Mungu ni mwema, wakati wote!
Sifa kwa Bwana!
Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao
๐โจ Mungu atupe nguvu
๐โจ Neema ya Mungu iwe nawe
๐๐ Mungu akujalie amani
๐๐๐
Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe
Ahadi za Mungu ni za kweli daima
Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha
Upendo wa Mungu haukosei kamwe.
Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako
Tumaini ni nanga ya roho
Dumu katika Bwana.
Katika imani, yote yanawezekana
๐๐ Namuomba Mungu akupiganie
Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine
Wakati wa Mungu ni kamilifu
Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi
Baraka kwako na familia yako.
Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
Mwamini katika mpango wake.
Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu
Hauko peke yako; Mungu yuko nawe
๐๐โจ Neema yako ni ya kutosha
๐โค๏ธ๐ Asante Mungu kwa uhai
๐๐ Mungu wetu asifiwe
๐โค๏ธ๐ Bwana akujalie baraka
๐๐ Mbarikiwe sana
Nguvu hutoka kwa Bwana
Bwana yuko karibu na wote wanaomwita
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia
Kwa Mungu, yote yanawezekana
๐๐๐ซ Mungu ni mwema
Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi
๐โจ๐ Mungu atajibu maombi yako
๐โค๏ธโจ Mungu akujalie furaha
๐โค๏ธโจ Asante Mungu kwa kila kitu
Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako
๐๐โค๏ธ Nakuombea heri
Neema na amani iwe nawe.
Imani inaweza kusogeza milima
๐๐ Asante kwa neema zako Mungu
Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu
๐โค๏ธ๐ Baraka za Mungu ziwe nawe
Tembea kwa imani, si kwa kuona
๐โจ Mungu asikie maombi yetu
๐โจโค๏ธ Neema za Mungu zikufunike
๐โค๏ธ Mungu ni mkombozi
Nakuombea ๐
๐๐ Mungu alete amani
Endelea kuwa na imani!
Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia
๐โจ Mungu atakuinua
๐โค๏ธ Mungu ni mlinzi wetu
Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni
Neema ya Mungu inatosha kwako
Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini
Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika