1. Awe na pesa nyingi
2.Siyo lazima awe mzuri wa sura
3. Ajenge ukweni
4.Awe mpole
5.Asimuonee wivu mke wake
6.Awe mwenye upendo wa dhati
7.Asishike simu ya mke wake.
8.Akimkuta na mwanaume apite tu, akitaka kujua ni nani asubiri nyumbani
9.Awe anamskiliza mke wake kwa kika kitu.
10.Asipende mwanamke mwingine zaid yake
UKIMPATA MWANAUME MWENYE SIFA HIZO KAPIME DNA LAZIMA ATAKUWA NI BABA AKO.
😂😂😂😂😂😂😂😂
References:
Google ScholarResearchGate
Semantic Scholar
AckySHINE
Kila siku napenda jokes zenu! 😆😂
🤣🔥😊
😆 Ninakufa hapa!
😅 Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!
Kama kawaida! Bado nacheka! 😄