Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Angalia huyu jamaa anavyojiona msomi, huyu kamuotea, hapa amekwama

Featured Image

USIJIONE MJUAJI SAAAA…NA.
Jamaa kamaliza chuo anarudi nyumbani kwa wazee, kufika
nyumbani.

kwa furaha waliopata wazazi, mama aliamua
kurosti kuku WAWILI(2) kwa ajili yao.
Mezani jamaa akataka kuwadhihirishia kuwa yeye ni msomi,
akawaambia "hawa kuku unaona wako wawili ila kwa kutumia
sheria za arthematic na geometric kuna kuku watatu mezani"
mama"hee embu tuoneshe mwanangu"
jamaa akachukua kuku ya kwanza akainua juu "ngapi?"
wazazi"moja" akainua wa pili "ngapi?" wazazi "mbili"
akawarudisha akisema"wazee wangu nadhani japo shule
hamkwenda ila mnajua moja+mbili=tatu so tuna kuku watatu
mezani"
baba"mmh kweli mwanangu umesoma. SASA TUFANYE IVI
MIMI NACHUKUA KUKU MOJA NA MAMA YAKO WA PILI WE
UTAKULA UYO WA TATU ULIYOSEMA"

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Monica Nyalandu (Guest) on June 14, 2024

πŸ˜‚πŸ˜‚

Muslima (Guest) on June 14, 2024

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Mary Sokoine (Guest) on June 6, 2024

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Monica Adhiambo (Guest) on May 14, 2024

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

David Chacha (Guest) on April 13, 2024

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Jabir (Guest) on March 24, 2024

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Catherine Mkumbo (Guest) on March 22, 2024

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Stephen Kangethe (Guest) on March 4, 2024

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Anna Sumari (Guest) on February 12, 2024

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Victor Mwalimu (Guest) on February 11, 2024

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Jane Muthoni (Guest) on February 2, 2024

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Lydia Mahiga (Guest) on January 21, 2024

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Nancy Kawawa (Guest) on January 6, 2024

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Henry Sokoine (Guest) on December 19, 2023

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Vincent Mwangangi (Guest) on December 19, 2023

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Henry Sokoine (Guest) on December 2, 2023

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Lucy Mushi (Guest) on November 14, 2023

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Lucy Wangui (Guest) on November 11, 2023

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Christopher Oloo (Guest) on September 15, 2023

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Rehema (Guest) on August 16, 2023

🀣 Hii imewaka moto!

Thomas Mwakalindile (Guest) on July 2, 2023

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Dorothy Nkya (Guest) on July 1, 2023

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Patrick Mutua (Guest) on June 29, 2023

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Husna (Guest) on June 8, 2023

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Zakaria (Guest) on May 21, 2023

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Mwanakhamis (Guest) on May 20, 2023

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Stephen Malecela (Guest) on May 20, 2023

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Sarah Mbise (Guest) on May 9, 2023

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Michael Onyango (Guest) on April 11, 2023

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

John Malisa (Guest) on March 20, 2023

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Edward Lowassa (Guest) on February 11, 2023

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Martin Otieno (Guest) on February 8, 2023

πŸ˜† Hiyo punchline!

Mary Kendi (Guest) on January 8, 2023

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Elizabeth Malima (Guest) on January 7, 2023

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Khalifa (Guest) on December 12, 2022

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Agnes Lowassa (Guest) on December 10, 2022

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Joyce Mussa (Guest) on November 28, 2022

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Janet Mbithe (Guest) on November 12, 2022

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Kevin Maina (Guest) on October 22, 2022

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Lucy Mushi (Guest) on October 5, 2022

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Samson Mahiga (Guest) on September 29, 2022

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Jane Muthoni (Guest) on September 29, 2022

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Peter Tibaijuka (Guest) on September 18, 2022

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

George Ndungu (Guest) on September 8, 2022

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Issack (Guest) on September 7, 2022

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Charles Mchome (Guest) on September 1, 2022

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

John Lissu (Guest) on August 29, 2022

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Edward Chepkoech (Guest) on August 23, 2022

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Margaret Anyango (Guest) on August 14, 2022

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Violet Mumo (Guest) on August 6, 2022

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Faiza (Guest) on July 18, 2022

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Janet Mbithe (Guest) on July 15, 2022

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Maulid (Guest) on July 6, 2022

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Salum (Guest) on June 24, 2022

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Chris Okello (Guest) on June 6, 2022

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Ali (Guest) on May 14, 2022

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Alex Nakitare (Guest) on April 21, 2022

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Sharon Kibiru (Guest) on April 18, 2022

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Grace Njuguna (Guest) on April 10, 2022

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Peter Mwambui (Guest) on March 26, 2022

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Related Posts

Bongo usanii mwingi!!!

Bongo usanii mwingi!!!

BONGO USANII UMEZIDI DAAH!!

…yani nakupeleka dinner unakula sana vipaja vya kuku na chips... Read More

Huyu mchungaji ni noma, cheki alichomwambia pedeshe

Huyu mchungaji ni noma, cheki alichomwambia pedeshe

Mchungaji kamfuata pedeshe moja maarufu kwa kumwaga pesa kwenye kumbi za muziki; MCHUNGAJI: Kijana, ... Read More
Huyu mgeni wa huyu jamaa ni shida

Huyu mgeni wa huyu jamaa ni shida

Pale unapokuwa umefulia sana…

Mgeni anakutembelea Maskani kwako….Unaamua Kuchukua Ile S... Read More

Kali za leo: Misemo ya kuchekesha na kuvunja mbavu

Kali za leo: Misemo ya kuchekesha na kuvunja mbavu

1. Ati wee ni m-black mpaka ukiingia kwa dinga(gari), dirisha zinakuwa tinted!

2. Kwenu kuc... Read More

Utani wa wachaga

Utani wa wachaga

Wachaga wamegawanyika kama ifuatavyo, sio wote wajanja. Kuna:-

1. WAROMBO; Hawa wajanja san... Read More

Je, Chuoni kwako Kukoje?

Je, Chuoni kwako Kukoje?

FACT!
1.Ukiona geto lina feni, sabufa, meza ya plastic na kitanda ch sita kwa sita na Pc UJU... Read More

Kuwa na Binti aliyeacha shule

Kuwa na Binti aliyeacha shule

Kuwa na binti aliyeacha shule ni BALAA.

Anaweza kukuacha kwa s... Read More

Mambo ya kijijini haya!

Mambo ya kijijini haya!

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Ameniomba nimfungulie akaunt facebook cheki nilichomjibu

Ameniomba nimfungulie akaunt facebook cheki nilichomjibu

Leo nimechoka zangu alafu shangazi amekuja anataka nimuunganishe facebook. Imebidi nimwambie
Read More

Duh, huyu mama alichokifanya

Duh, huyu mama alichokifanya

Mke:Β Naelekea london, nikuletee zawadi gani?

Mume:Β kitu... Read More

Hapo sasa akili itakuja

Hapo sasa akili itakuja

Pale unapo gundua kuwa yule ulie mtukana kwenye bajaji ndio boss anaeenda kukufanyia inte... Read More

Huyu jamaa amekomeshwa, majambazi ni shida!

Huyu jamaa amekomeshwa, majambazi ni shida!

CHEKA KIDOGO
Majambaz waliliteka gar moja lililokua limeshehen abiria
Baada ya abiria k... Read More