Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
โ˜ฐ
AckyShine

Eti kwani wewe ni turubali?

Featured Image
237 Comments

Alichokisema mtoto baada ya kusikia baba na mama wakiongea mambo yao usiku

Featured Image
MUME: Mke wangu naomba nikubusu MKE: Sitaki MUME: Ntakununulia pete ya gold MKE: Staki
236 Comments

Watu wana vimaneno

Featured Image
236 Comments

Huyu Jamaa kawaweza polisi kweli

Featured Image
237 Comments

Je hili ni kweli kuhusu mpenzi maskini na Tajiri?

Featured Image
238 Comments

Jamaa alikuwa na tabia ya kutembea na binamu yake cheki kilichomkuta

Featured Image
237 Comments

Kilichompata sista duu bishoo wakati akijidai kununua pete

Featured Image
Mwanamke mmoja aliingia duka la vito vya thamani, akaona pete moja ya dhahabu nzuri sana amabayo ilikuwa kwenye shelf ya chini, wakati anainama apate kuitazama vizuri kwa bahati mbaya (au nzuri!), shuzi likamtoka- druuuuuu,
236 Comments

Alichofanya maasai baada ya kupanda Tax

Featured Image

Baada ya kupanda daladala aina ya DSM kutoka Mbagala chalambe mpaka Mwenge na kulipa sh 500.Masai akachukua tax wakati wa kurudi.walipofika sasa shughuli ilikuwa hivi.

Masai: we dureva? Naulisa Ng'ombe na mbusi ipi ngali?
Dereva: Ni ng'ombe ghali Masai.

236 Comments

Angalia huyu secretary anavyomjibu bosi wake

Featured Image
Boss mmoja aliingia kazini kwake kasahau kufunga zipu ya suruali yake sasa secretary wake akamfuata na mazungumzo yakawa hivi: SECRETARY: Boss leo umesahau kufunga geti nyumbani kwakoโ€ฆ Boss akabaki anashangaaโ€ฆ Baadae wakati anakwenda chooni kujisaidia ile anataka kufungua zipu akaikuta iko wazi ndio akajua alichokuwa ameambiwa na Secretary wake.
236 Comments

Angalia sababu ya mwanamme kubadili jina na Kuitwa jina la kike, hii dunia ina mambo kweli

Featured Image
237 Comments