Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Huyu mchungaji ni noma, cheki alichomwambia pedeshe

Featured Image
Mchungaji kamfuata pedeshe moja maarufu kwa
kumwaga pesa kwenye kumbi za muziki;
MCHUNGAJI: Kijana, tuko katika harakati za
kujenga kanisa, jitafutie nafasi katika ufalme wa
mbingu kwa kuchangia ujenzi huu. Na Mungu
atakubariki zaidi

PEDESHE: Samahani Mchungaji haitakuwa vizuri
mimi kuchangia kanisa, fedha zangu ni haramu,
huwa nazipata kwa utapeli na kuuza madawa ya
kulevya.
MCHUNGAJI: Yote ni heri, pesa yako tutatumia
kwa kujenga eneo la choo we toa tu!!!
AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Kenneth Murithi (Guest) on June 10, 2024

πŸ˜‚πŸ€£

Victor Kimario (Guest) on May 3, 2024

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Samuel Omondi (Guest) on April 19, 2024

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Moses Kipkemboi (Guest) on April 15, 2024

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Omari (Guest) on February 19, 2024

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Bernard Oduor (Guest) on December 30, 2023

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Carol Nyakio (Guest) on December 1, 2023

πŸ˜… Bado nacheka!

Charles Mchome (Guest) on November 28, 2023

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Nicholas Wanjohi (Guest) on November 27, 2023

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Victor Kimario (Guest) on November 20, 2023

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Peter Tibaijuka (Guest) on November 16, 2023

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Frank Macha (Guest) on October 29, 2023

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Mariam (Guest) on October 29, 2023

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Jane Muthoni (Guest) on October 19, 2023

πŸ˜„ Kali sana!

Warda (Guest) on August 10, 2023

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Sarah Karani (Guest) on August 4, 2023

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Charles Wafula (Guest) on July 31, 2023

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Chris Okello (Guest) on July 26, 2023

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Janet Wambura (Guest) on July 21, 2023

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Victor Kimario (Guest) on July 4, 2023

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Diana Mallya (Guest) on June 13, 2023

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Janet Mwikali (Guest) on May 23, 2023

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

John Lissu (Guest) on May 6, 2023

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Andrew Odhiambo (Guest) on April 22, 2023

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Dorothy Nkya (Guest) on April 17, 2023

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

George Wanjala (Guest) on April 11, 2023

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

James Kawawa (Guest) on April 9, 2023

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Mhina (Guest) on March 22, 2023

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Moses Mwita (Guest) on March 13, 2023

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Esther Cheruiyot (Guest) on March 13, 2023

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Alice Mwikali (Guest) on March 2, 2023

πŸ˜‚πŸ˜‚

Chris Okello (Guest) on January 11, 2023

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Anna Sumari (Guest) on December 18, 2022

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Francis Mrope (Guest) on December 15, 2022

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Mwakisu (Guest) on December 12, 2022

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Samson Mahiga (Guest) on December 8, 2022

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Josephine (Guest) on December 8, 2022

πŸ˜… Bado nacheka!

Anna Kibwana (Guest) on December 7, 2022

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Catherine Naliaka (Guest) on September 25, 2022

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Benjamin Kibicho (Guest) on September 12, 2022

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Violet Mumo (Guest) on September 11, 2022

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Alice Jebet (Guest) on August 5, 2022

🀣 Sikutarajia hiyo!

Isaac Kiptoo (Guest) on July 21, 2022

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Rahma (Guest) on July 17, 2022

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Andrew Odhiambo (Guest) on July 9, 2022

😊🀣πŸ”₯

Agnes Njeri (Guest) on June 16, 2022

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Joseph Kiwanga (Guest) on June 10, 2022

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Nchi (Guest) on June 6, 2022

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Fredrick Mutiso (Guest) on May 31, 2022

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Mazrui (Guest) on May 12, 2022

πŸ˜… Nilihitaji hii!

James Malima (Guest) on May 10, 2022

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Mjaka (Guest) on April 26, 2022

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Christopher Oloo (Guest) on April 12, 2022

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Daniel Obura (Guest) on April 8, 2022

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Vincent Mwangangi (Guest) on April 6, 2022

🀣πŸ”₯😊

Susan Wangari (Guest) on February 11, 2022

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Victor Sokoine (Guest) on December 12, 2021

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Nora Kidata (Guest) on November 25, 2021

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Charles Mboje (Guest) on November 18, 2021

🀣 Hii imewaka moto!

Maimuna (Guest) on November 10, 2021

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Related Posts

Hii ndio ngoma droo kwa wanaume kati ya wanawake

Hii ndio ngoma droo kwa wanaume kati ya wanawake

{ NGOMA DROO}
Sikuizi utawasikia wadada wakisema kuachwa na mwanaume asie na pesa nisawa na ... Read More

Soma alichokisema mlevi baada ya kukuta watu wakimpiga mwizi

Soma alichokisema mlevi baada ya kukuta watu wakimpiga mwizi

Mlevi mmoja aliona wananchi wakipiga mwizi akawaambia "mwacheni msimpige, hii tabia yenu ya kupi... Read More

Huyu mama mkwe kazidi sasa

Huyu mama mkwe kazidi sasa

Eti kuna mkaka alitembelewa na mama yake mzazi. Wakiwa sebuleni yeye, mama na mke wake, mke wake ... Read More

Ungekua wewe ndio boss wa huyu jamaa ungempa kazi? Ungemjibu nini?

Ungekua wewe ndio boss wa huyu jamaa ungempa kazi? Ungemjibu nini?

*Boss*:-kijana unataka nini ndani ya ofisi zangu?
*Jamaa*:-Samahani naomba kazi ya ulinzi nd... Read More

Jamaa amkomesha boss wake

Jamaa amkomesha boss wake

Kuna jamaa alifutwa kazi…

Ikawa kila siku anaenda nyumbani kwa boss wake na kunya mlango ... Read More

Punguzeni pombe. Cheki kilichompata huyu

Punguzeni pombe. Cheki kilichompata huyu

Jamani punguzeni pombe,kuna jirani yangu amerudi amelewa sasa nachungulia dirishani naona anagong... Read More

Dongo kwako kama una degree moja Halafu unachagua kazi

Dongo kwako kama una degree moja Halafu unachagua kazi

Mtu una degree 1 unachagua kazi! Wakati thermometer ina degree 100, inafanya kazi kwenye kwapa.<... Read More

Biashara ambayo imefeli

Biashara ambayo imefeli

*TEACHER*: _nielezee biashara ambayo imefeli kutokana na uzembe
*STUDENT*: Changudoa akipata... Read More

Huyu bibi kweli kiboko, cheki alichofanya akiwa na babu

Huyu bibi kweli kiboko, cheki alichofanya akiwa na babu

Bibi na Babu walisafiri wakielekea kwa mtoto wao ambae hawajamuona zamani.<... Read More

Mambao ya saluni ni shida, cheki kilichotokea kwa huyu

Mambao ya saluni ni shida, cheki kilichotokea kwa huyu

DADA alienda Salon wakati anasukwa akaingia
MKAKA mtanashati,
DADA akaamua kujaribu bah... Read More

Darasa lolote lile halikosi watu kama hawa

Darasa lolote lile halikosi watu kama hawa

Darasa lolote lile (hasa vyuoni) lazima liwe na wanafunzi wafuatao:
1. Mrembo wa darasa.
Read More

Mume mgonjwa kazua mpya baada ya kuruhusiwa kwenda nyumbani kutoka hospitali alipokuwa kalazwa

Mume mgonjwa kazua mpya baada ya kuruhusiwa kwenda nyumbani kutoka hospitali alipokuwa kalazwa

John aliruhusiwa kwenda nyumbani kutoka hospital ya Vichaa, akapakiwa ktk ambulance hadi karibu na n... Read More