Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Huyu mgeni wa huyu jamaa ni shida

Featured Image

Pale unapokuwa umefulia sana…

Mgeni anakutembelea Maskani kwako….Unaamua Kuchukua Ile Sh 600 iliyobaki na kwenda Dukani Kumnunulia Soda Unaondoka na Chupa Mbili Unanunua Fanta Moja kwaajil ya Mgeni na Ile Chupa ya Sprite Unaijaza Maji ili Ukirudi Uweze kumpa Kampani Mgeni……Unafika Seblen Unampa Ile soda ya Fanta Mgeni anakuambia Fanta huwa situmii Nipe hiyo sprite …..Bwana….Bwana. …Bwana….Weee πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Dorothy Mwakalindile (Guest) on June 1, 2024

🀣 Sikutarajia hiyo!

Rose Amukowa (Guest) on May 30, 2024

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Issa (Guest) on April 30, 2024

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Ann Wambui (Guest) on April 7, 2024

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Patrick Akech (Guest) on March 29, 2024

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Nashon (Guest) on March 29, 2024

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Edith Cherotich (Guest) on February 11, 2024

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Alex Nakitare (Guest) on January 29, 2024

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Sharifa (Guest) on January 8, 2024

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Elizabeth Mtei (Guest) on November 24, 2023

πŸ˜‚πŸ˜†

Charles Mrope (Guest) on November 20, 2023

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Margaret Anyango (Guest) on November 11, 2023

🀣 Sikutarajia hiyo!

Rose Kiwanga (Guest) on November 4, 2023

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Mary Sokoine (Guest) on October 31, 2023

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Dorothy Nkya (Guest) on October 20, 2023

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Rose Amukowa (Guest) on October 14, 2023

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Andrew Mahiga (Guest) on October 12, 2023

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

James Kawawa (Guest) on October 10, 2023

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Joseph Kitine (Guest) on October 3, 2023

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Joseph Kitine (Guest) on September 29, 2023

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Salima (Guest) on September 24, 2023

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Lucy Wangui (Guest) on September 23, 2023

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Stephen Kikwete (Guest) on September 22, 2023

πŸ˜† Hiyo punchline!

Betty Akinyi (Guest) on August 12, 2023

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Grace Njuguna (Guest) on July 25, 2023

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Joseph Kawawa (Guest) on July 19, 2023

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Wilson Ombati (Guest) on July 2, 2023

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Catherine Naliaka (Guest) on June 7, 2023

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Mariam Kawawa (Guest) on May 22, 2023

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Peter Otieno (Guest) on April 23, 2023

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Elizabeth Malima (Guest) on March 25, 2023

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Lydia Mutheu (Guest) on March 23, 2023

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Elizabeth Mrope (Guest) on March 6, 2023

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Martin Otieno (Guest) on March 5, 2023

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Grace Mushi (Guest) on February 26, 2023

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Esther Cheruiyot (Guest) on February 13, 2023

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Elizabeth Malima (Guest) on February 11, 2023

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Joyce Mussa (Guest) on February 9, 2023

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Wande (Guest) on January 8, 2023

πŸ˜… Bado ninacheka!

Yahya (Guest) on December 8, 2022

😁 Kicheko bora ya siku!

Samuel Omondi (Guest) on November 9, 2022

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Emily Chepngeno (Guest) on October 31, 2022

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Sarah Karani (Guest) on September 23, 2022

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Henry Mollel (Guest) on August 29, 2022

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Andrew Mahiga (Guest) on August 28, 2022

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Farida (Guest) on August 25, 2022

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Jane Muthui (Guest) on August 6, 2022

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Amir (Guest) on July 17, 2022

πŸ˜… Nilihitaji hii!

James Kimani (Guest) on July 14, 2022

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Rehema (Guest) on July 9, 2022

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Safiya (Guest) on July 3, 2022

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Zainab (Guest) on June 20, 2022

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Lucy Mahiga (Guest) on May 23, 2022

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

John Mushi (Guest) on April 23, 2022

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Lydia Mzindakaya (Guest) on April 6, 2022

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Fredrick Mutiso (Guest) on March 31, 2022

πŸ˜‚πŸ˜…

Mary Sokoine (Guest) on March 17, 2022

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

James Kimani (Guest) on March 1, 2022

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Joyce Aoko (Guest) on February 28, 2022

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Richard Mulwa (Guest) on February 26, 2022

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Related Posts

Misemo ya kina dada

Misemo ya kina dada

Misemo ya kina dada

walianza na halohalooo!
Wakaja unalo babu weee!
Ikafuata utaj... Read More

Vichekesho vya kukuondoa mawazo leo

Vichekesho vya kukuondoa mawazo leo

Soma vichekesho hivi;

Mwizi wa atm

Jamaa aliibiwa kadi yake ya benk akaulizwa kama ... Read More

Wabongo ni noma! Angalia huyu mbongo anachokifanya

Wabongo ni noma! Angalia huyu mbongo anachokifanya

Basi juzi kati hapa sehemu ndogo ya ukuta wa Ikulu ya Magogoni ilianguka!.. Wakapelekwa contractors ... Read More
Angalia huyu mgonjwa

Angalia huyu mgonjwa

Mngojwa: daktari Nina tatizo la kusahausahau kila dakika.

Daktari: hilo tatizo lilianza lin... Read More

Angalia huyu mwanafunzi anachomjibu huyu mwalimu wake

Angalia huyu mwanafunzi anachomjibu huyu mwalimu wake

1. Ticha:"Punda ni mnyama anaefugwa nyumbani,lakini akiwa mwituni anaitwa pundamilia….Je sungur... Read More

Kilichotokea baada ya jambazi kuvamia kanisa

Kilichotokea baada ya jambazi kuvamia kanisa

Jambazi mmoja aliingia kanisani na bunduki akapiga risasi juu ya bati akasema "asiyempenda YESU a... Read More

Biashara ambayo imefeli

Biashara ambayo imefeli

*TEACHER*: _nielezee biashara ambayo imefeli kutokana na uzembe
*STUDENT*: Changudoa akipata... Read More

Kilichompata huyu jammaa baada ya simu yake kuita msikitini

Kilichompata huyu jammaa baada ya simu yake kuita msikitini

Jamaa alisahau kuzima simu akiwa msikitini anaswali GHAFLA simu ikaita akaingiza mkono ili aikat... Read More

Eti ni kweli hii ni sababu wanaume wana Upendo Sana?

Eti ni kweli hii ni sababu wanaume wana Upendo Sana?

Wanaume wana upendo kwa kweli.

Mwanaume hata akipewa kundi la wanawake 90 achague mmoja!! H... Read More

Mume mgonjwa kazua mpya baada ya kuruhusiwa kwenda nyumbani kutoka hospitali alipokuwa kalazwa

Mume mgonjwa kazua mpya baada ya kuruhusiwa kwenda nyumbani kutoka hospitali alipokuwa kalazwa

John aliruhusiwa kwenda nyumbani kutoka hospital ya Vichaa, akapakiwa ktk ambulance hadi karibu na n... Read More
Dunia ina mambo, soma hii

Dunia ina mambo, soma hii

Dunia ina mambo

Kuna mama mmoja kavamia bank uchi cha kushangaza hakuna anae kumbuka uso... Read More

Huyu mme ni shida

Huyu mme ni shida

MKE..mume wangu unaweza kuua simba kwasababu yangu???

MME: Hapana mke wangu, sema kingineRead More