Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Kali za leo: Misemo ya kuchekesha na kuvunja mbavu

Featured Image

1. Ati wee ni m-black mpaka ukiingia kwa dinga(gari), dirisha zinakuwa tinted!

2. Kwenu kuchafu mpaka mende zinatema mate.

3. Vile wewe mfupi, ukipiga picha ya passport inatokea full.

4. Ati(house) yenu ina gate lakini hakuna fence.

5. Baba alienda ku buy ngombe akaona ikikojoa akasema sitaki hiyo imetoboka.

6.Wee mblack mpaka ukikutana na mzungu afternoon anakusalimia: Good evening.

7. Mko wengi kwa house mpaka kuna rush hours na kukinyesha kunakuwa na jam.

8. Paka yenu noma mpaka ikishika panya inaomba chumvi, fork na pilipili.

9. We ni mrefu mpaka ukikunywa maziwa inafika kwa tumbo ikiwa mgando.

10.Wewe ni mweusi ukikanyanga makaa unawacha footprint nyeusi.

11. Kwenyu mkikunywa maji mnaitisha toothpick

12. We ni mbishi hadi ulikataa kuzaliwa uchi

13. Kwenu kuna insecurity ikifika usiku hadi geti mnaingiza ndani

14. Kwenu ni wengi sana hadi mmeweka round about ndani.

15. Wewe ni mlafi hadi maji uliyochemshia mayai unayafanya supu.

16. We ni mjinga sana hadi blood test ulifeli.

17. Una chogo refu hadi ukigeuka haraka unaweza kuliona.

18. Una kichwa kikubwa hadi ukiingia kwenye daladala konda anakwambia "abiria usiingie na mizigo, tunaweka juu kwenye carrier

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

James Mduma (Guest) on July 15, 2024

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Guest (Guest) on November 18, 2025

ABU MAHEMBE
%kweli ubishi@sio mzur
"nacheo sio tishio
"waziri mmoja arienda " "kwenye mradi wanyuki naasari kufika getini "mrinzi akamzuiya akamwambia haruhusiwi mtu kuingia kwasasa "wazir akafoka "nakusema kwani haujui mininani huku anamwonesha kitambulisho
"mlinzi kwakutii akamruhusu haya ingia mueshimiwa akaingia "baada yamda kidg wazir aliskika akiiita mlinzi mlinzi nyuki wamenivamia "mlinzi akamjibu waoneshe kitambulisho wakujue weninani hahahahahahaha

Guest (Guest) on November 15, 2025

ABU MAHEMBE
abu boy-
mashairi muziki
nambayangu
ni 0681305278
|||
minajua tupowengi tunaosaka shiring ira tukumbuke siwapitanjia nayaona mengi kuyasema siwezi hayamaisha nayopitiaa
,hata ingekuwa story haya maishayangu nisingeweza kuaditia unaepitia meng kumbuka kunamungu usisahau kuweka niaa
tufanyeni yote mabaya mazur ira kwake tutalejeaa mwanamke zaa kwauchungu mwanaume haso ira tukumbuke hiii nidunia
unashinda kutwa hujamtaja mungu tunasahau letu kudio duniani ametuleta iri tumwabudu ira kwenyepesa tumekimbilia shetani niache nilud kwamungu mimii dhambi najiogopea aisee naokoka naokoka naokokaa|||naokoka naokoka naokokaa|||| naokoka naokoka naokokaa
....?

Guest (Guest) on November 18, 2025

WOYOOOOOOOOOOO "wasomi mpo
"kunaswali apa atake "atakaeweza kujibu " "kunavocha ya 2000/=
%swali
"mke wakipofu "Anatembea nakiziwi
"naanae ijuwa siri hiyo "nibubu " "je? "bubu "atawezaje kuitoa siri hiyo kwakipofu "ingarikuwa hajui kusoma wara kuwandika "nahatoi sauti fowadiya "nawengine paka tupate "jibu apa
ABU MAHEMBE ME by 0678 1305 278

Guest (Guest) on November 17, 2025

ABU MAHEMBE
ikiingia nitam kama asari ikikaa sana inapoteza radha...
%huwezi kupata "kama hauna pesa
kira mwenyepesa anatafunatu
.inaiimgia imesimama wima inatoka imeregea uku inanata nata haina radha tena nayo sinyingine ni jojo bgg
acha kuwaza ujinga ww
hahahahaha

Guest (Guest) on November 17, 2025

kwaumpendae2
. +"" ' " "+.+" " ""+ .
+ MAISHA + + MEMA + + + + + + NI KUPENDANA KUSALIMIANA kukumbukana kusameheana
*
*furaha yangu iwe kivuli chako upendo wangu iwe ndovazirako
nakuombea kwa MUNGU kira atakae kubariki nae abarikiwe kira atakae kulaani nae araniwe
dunia inawatu weng ira wenye utu niwachache sana kinacho mtamburisha mtu sio jinarake wara sura yake wala uzur wake kinacho mtambulisha mtu ni
*tabia nzur
*kaur nzur
*ustarabu
*uskivu
nipende nikupende dunia tunapita pesa wachie wao upendo nipe mimi wp imeandikwa mwanaume ndo awe napesatu hata mwanamke inatakiwa nae awe napesa ira mbona mimi nimekupenda japokuwa hauna pesa
ILOVYOU MI

NIYULE YULE TAJIRI WAUPENDO
MASKINI
WACHUKI
ABU MAHEMBE BY ME
0681305278
mesege tochat

Guest (Guest) on November 14, 2025

ABU MAHEMBE
"we dada njoo njoo nikuto
nikutongozee unisikilizee
alafu njoo njoo nikufii
nikufiikishe kwamama akuoneee
"usijali napenda kuu
kuuongea sana
"nimejaliwa uboo
uboongo waakili
hata ukinipa umwo asee utainyoi
"siombeletu hata nyuma "
napitaga mlango wetu wanyuma huwa nawah kufunga
"nami mwenzako sichagui pakumwaga namwaga moto popote nikimaliza kukuwagaaa
acheni kumanisha
hahahahahahahahahaha

Guest (Guest) on November 13, 2025

ABU MAHEMBE
"utani huu jamaa "alinikuta....
"nimekaa chini yamti
"nimeshika soda naiyangalia nataka ninywe akafika nakuninya nganya
"akanywaa yotee nikamuangaria "
"nikaanza kuria "akaniambia
aaaaa mtani unalia kisa soda nilikuwa nakutania ngoja bas nikakununulie nyingine " namimi nikamwambia shida sio soda minaona leo nisiku yamajanga "nimenda kazini nimefukuzwa kazi "nimetoka njee gari langu limeibiwa naludi nyumbani ety mkewangu ameniacha "ndo nimeweka sumu kwenye soda ninywe nife2 we umeenda kunywa "nayeye kuckia ivo akazimia alivozinduka namimi nikamwambia aaaaaa mtani unazimia nini namimi nilikuwa nakutania
akabaki ameduwaa

Guest (Guest) on November 17, 2025

%inagongwa hazarani
%kira anaejickia huigonga %haina choyo..
%hutoa mayoe makari %sana unapoigonga
%paka watoto %wanashangiria
%haijawahi kuvaa nguo
%inagongwa sana lakin %haizai mda wote %imeninginizwa angani %kila kipindi hugongwa %namti wachuma
%nayo sinyingine nikengele yashuleni
ha ha ha acha ujinga
ABU MAHEMBE

Guest (Guest) on November 13, 2025

ABU MAHEMBE "kunaomba omba "amekuja nyumbani
"akanikuta mimi " akaniambia naomba unisaidie kama unahata buku mia amsini mi napokea
"nikamwambia sina hela "akaniambi nisaidie basi hata nguo sina nguo "nikamwambia sina " ""akasema nisaidie hata chakula naskia njaa
"nikamwambia hamna chakula
"akasema eee braza "unaonaje tuongozane kuomba omba wote mana nawewe nikama mimitu hauna kilakitu duu?jamani naombeni hata buku nimpe aendee ila kwel

Salima (Guest) on June 26, 2024

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Peter Mwambui (Guest) on June 16, 2024

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Mwajuma (Guest) on May 26, 2024

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Joyce Nkya (Guest) on May 18, 2024

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Mwajuma (Guest) on May 8, 2024

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Ann Wambui (Guest) on April 21, 2024

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Anna Mchome (Guest) on April 8, 2024

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Kheri (Guest) on April 2, 2024

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Joseph Kiwanga (Guest) on April 1, 2024

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Maimuna (Guest) on March 31, 2024

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Grace Mligo (Guest) on March 29, 2024

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Rose Mwinuka (Guest) on March 2, 2024

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Charles Wafula (Guest) on February 16, 2024

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Thomas Mwakalindile (Guest) on January 13, 2024

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Joseph Kitine (Guest) on December 14, 2023

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Catherine Naliaka (Guest) on December 7, 2023

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Amani (Guest) on November 27, 2023

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Josephine (Guest) on October 30, 2023

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Jacob Kiplangat (Guest) on October 1, 2023

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Philip Nyaga (Guest) on September 7, 2023

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Alice Mwikali (Guest) on August 28, 2023

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Stephen Amollo (Guest) on August 25, 2023

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Robert Okello (Guest) on August 23, 2023

πŸ˜‚πŸ˜…

Biashara (Guest) on August 21, 2023

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Benjamin Kibicho (Guest) on July 20, 2023

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Elijah Mutua (Guest) on July 20, 2023

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Nancy Akumu (Guest) on July 11, 2023

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Andrew Odhiambo (Guest) on July 3, 2023

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Amani (Guest) on May 25, 2023

😁 Kicheko bora ya siku!

Lydia Mutheu (Guest) on May 12, 2023

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Victor Kamau (Guest) on May 11, 2023

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Victor Kimario (Guest) on May 8, 2023

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Chiku (Guest) on May 7, 2023

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Khamis (Guest) on April 10, 2023

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Alice Mrema (Guest) on March 7, 2023

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Henry Mollel (Guest) on March 4, 2023

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Irene Makena (Guest) on February 24, 2023

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Alex Nyamweya (Guest) on January 21, 2023

πŸ˜… Bado ninacheka!

Alice Mrema (Guest) on December 28, 2022

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Raphael Okoth (Guest) on November 25, 2022

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Anna Malela (Guest) on November 9, 2022

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Ruth Mtangi (Guest) on October 31, 2022

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Edward Lowassa (Guest) on October 22, 2022

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Alice Mwikali (Guest) on October 4, 2022

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Anthony Kariuki (Guest) on September 29, 2022

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Ruth Mtangi (Guest) on September 22, 2022

🀣 Hii imenigonga vizuri!

John Mwangi (Guest) on July 14, 2022

πŸ˜… Nilihitaji hii!

David Kawawa (Guest) on July 10, 2022

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Jacob Kiplangat (Guest) on July 5, 2022

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Amina (Guest) on June 24, 2022

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Related Posts

Acha usumbufu…

Acha usumbufu…

UNAMNG'ANG'ANIZA MPENZI WAKO AKUWEKE KWNY PROFILE PICHA MLOPIGA PAMOJA

HIVI ULIDHANI MWL.NY... Read More

Baada ya walevi wawili kuokota kioo hiki ndicho kilifuata

Baada ya walevi wawili kuokota kioo hiki ndicho kilifuata

Angalia kilichotokea Walevi wawili waliokota kioo, mlevi wa 1 akaangalia muda mrefu kisha akasema "... Read More
Mme amemfuma fundi wa kitanda na mke wake, cheki walichokua wanafanya

Mme amemfuma fundi wa kitanda na mke wake, cheki walichokua wanafanya

Kuna mama mmoja ameolewa na wanapendana sana na mmeo. siku moja mme wake alisafiri kikazi (safari... Read More

Angalia hawa vichaa walichokifanya, Vichaa bwana, ni noma!

Angalia hawa vichaa walichokifanya, Vichaa bwana, ni noma!

Vichaa walipanga kutoroka, wakakubaliana wamnyonge mlinz... Read More

Pale umapofanya interview huku ukijua hutapata kazi

Pale umapofanya interview huku ukijua hutapata kazi

Pale unaitwa kufanya interview na unajua tuu hutapata kazi tuu…..
Interviewer: where were ... Read More

Mkalimani alivyoharibu ibada ya leo

Mkalimani alivyoharibu ibada ya leo

Leo nikaamua niingie misa ya asubuhi kwenye kanisa moja la kilokole kulikua na ugeni wa mchungaji... Read More

Askari na yeye kumbe muoga, cheki anachomjibu afande

Askari na yeye kumbe muoga, cheki anachomjibu afande

Askari wametumwa nyumba iliyokuwa kuna ugomvi wakafika wakatakiwa kuripoti ... Read More

Dunia ina mambo, soma hii

Dunia ina mambo, soma hii

Dunia ina mambo

Kuna mama mmoja kavamia bank uchi cha kushangaza hakuna anae kumbuka uso... Read More

Huyu mwanamke ni noma cheki alichomwambia mme wake baada ya kumnunulia nguo za ndani

Huyu mwanamke ni noma cheki alichomwambia mme wake baada ya kumnunulia nguo za ndani

Mume kaingia duka la nguo na kamnunulia mke wake chupi dazeni moja zote za rangi nyeusi, akaenda ... Read More

Watoto wa siku hizi ni shida! Angalia huyu mtoto anachomwambia baba yake

Watoto wa siku hizi ni shida! Angalia huyu mtoto anachomwambia baba yake

Ka ni wewe? DOGO: baba mi siendi tena shule inaonekana walimu hawana uhakika na majibu yao. BABA: ... Read More
Eti kwani wewe ni turubali?

Eti kwani wewe ni turubali?

Unakuta MTU mwaka Mzima

Umehudhuria,Β birthday... Read More

Hii sasa ni kali

Hii sasa ni kali

Siku izi kujuana kumezidi hata ukienda msibani kama hauna connection hauli msosi

πŸ˜‚πŸ˜... Read More