Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Kweli shilingi yaua, Huyu jamaa kapatikana, angalia anachomjibu mke wake,

Featured Image
Jamaa alikuwa anagombana na mkewe,hatimae
akamwambia kwa ukali
"Unajua nimechoka sasa, haya kusanya nguo
zako na……..

Kabla hajamalizia sentensi simu
ya mkewe ikaita, kumbe alikuwa ni baba yake.
Basi mzee akaanza kuongea na binti yake huku
jamaa anasikia

"Aisee mwanangu nimebahatika kuuza ile
nyumba yangu sasa nimeona niwatumie milioni
20 mjaribu kuanzisha mradi na mwenzio.
Haya mwambie yeye nitampigia kesho kama
ana mradi mwingine nimpe hela kidogo".Baada
ya simu kukatwa mke akamgeukia jamaa
akamuuliza,"eeenhee!!! ulikuwa unasema
umenichoka nikusanye nguo zangu halafu
iweje? Jamaa kwa upole akajibu "Nilikuwa
nasema ukusanye nguo zako na unipe nifue".
AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Mohamed (Guest) on July 12, 2024

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Rabia (Guest) on July 1, 2024

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Anna Malela (Guest) on June 20, 2024

😊🀣πŸ”₯

Catherine Mkumbo (Guest) on June 14, 2024

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Athumani (Guest) on June 9, 2024

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Jacob Kiplangat (Guest) on May 22, 2024

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Mohamed (Guest) on April 21, 2024

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Dorothy Nkya (Guest) on April 16, 2024

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Baridi (Guest) on April 15, 2024

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Anna Sumari (Guest) on March 21, 2024

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Biashara (Guest) on March 21, 2024

πŸ˜‚ Kali sana!

Zawadi (Guest) on March 16, 2024

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Nancy Komba (Guest) on February 16, 2024

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Zakaria (Guest) on January 25, 2024

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Samuel Omondi (Guest) on January 24, 2024

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Mary Sokoine (Guest) on January 14, 2024

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Mzee (Guest) on November 1, 2023

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Francis Mrope (Guest) on October 19, 2023

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

David Ochieng (Guest) on September 28, 2023

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

David Sokoine (Guest) on September 23, 2023

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Grace Njuguna (Guest) on September 18, 2023

😁 Hii ni dhahabu!

Joseph Mallya (Guest) on September 8, 2023

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Frank Sokoine (Guest) on August 31, 2023

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Lucy Kimotho (Guest) on August 14, 2023

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Jackson Makori (Guest) on July 30, 2023

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Rose Lowassa (Guest) on June 24, 2023

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Elizabeth Mrema (Guest) on June 23, 2023

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

George Mallya (Guest) on June 8, 2023

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Fadhili (Guest) on June 3, 2023

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Jabir (Guest) on May 22, 2023

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Elizabeth Mrema (Guest) on May 21, 2023

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Miriam Mchome (Guest) on May 17, 2023

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Sumaya (Guest) on April 27, 2023

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Joyce Mussa (Guest) on April 22, 2023

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Mwanajuma (Guest) on April 20, 2023

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Maulid (Guest) on April 15, 2023

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Francis Mrope (Guest) on April 7, 2023

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Joseph Kawawa (Guest) on February 18, 2023

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Brian Karanja (Guest) on February 10, 2023

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Linda Karimi (Guest) on February 9, 2023

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

David Chacha (Guest) on January 29, 2023

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Frank Sokoine (Guest) on January 27, 2023

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Salima (Guest) on December 15, 2022

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

David Ochieng (Guest) on December 4, 2022

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Nancy Kabura (Guest) on October 29, 2022

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Esther Nyambura (Guest) on October 28, 2022

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Henry Mollel (Guest) on October 14, 2022

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Irene Makena (Guest) on September 30, 2022

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Michael Mboya (Guest) on September 19, 2022

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Alice Wanjiru (Guest) on September 18, 2022

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Dorothy Mwakalindile (Guest) on September 14, 2022

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Lucy Mahiga (Guest) on September 7, 2022

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Martin Otieno (Guest) on September 6, 2022

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Sharifa (Guest) on August 13, 2022

πŸ˜… Bado nacheka!

John Mushi (Guest) on August 7, 2022

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Janet Sumari (Guest) on June 24, 2022

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Mary Kidata (Guest) on June 14, 2022

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Shamsa (Guest) on June 8, 2022

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Joseph Njoroge (Guest) on May 25, 2022

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Joseph Mallya (Guest) on May 16, 2022

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Related Posts

Kuna watu makauzu ila huyu kazidi.. Soma hii!

Kuna watu makauzu ila huyu kazidi.. Soma hii!

Kakubaliana vizuri na msichana fulani hivi kuwa aibuke gheto, mchizi kajipanga vizuri kabisa…. ... Read More

Misemo ya kina dada

Misemo ya kina dada

Misemo ya kina dada

walianza na halohalooo!
Wakaja unalo babu weee!
Ikafuata utaj... Read More

Hiki ndicho kifo mbele ya Mwanamke

Hiki ndicho kifo mbele ya Mwanamke

Hiki ndiyo kifo.

KIFO NI NINI..

Kifo ni pale girlfriend w... Read More

Angalia sababu ya mwanamme kubadili jina na Kuitwa jina la kike, hii dunia ina mambo kweli

Angalia sababu ya mwanamme kubadili jina na Kuitwa jina la kike, hii dunia ina mambo kweli

Rashidi alimpa ujauzito mwanafunzi, akashtakiwa.
Kumbe Rashidi ana bibi yake mtaalamu wa yal... Read More

Unakumbuka hizi Sheria zetu za mpira utotoni?

Unakumbuka hizi Sheria zetu za mpira utotoni?

1.Mwenye mpira Lazima acheze ata kama hajui mpira
2.Dogo mnene Lazima aw... Read More

Maujanja ya kumkalisha mwanamme wako nyumbani weekend haya hapa

Maujanja ya kumkalisha mwanamme wako nyumbani weekend haya hapa

Siku hizi wa naume licha ya kukimbia nyumba zao kwa kisingizio cha kazi maajabu weekend hasa Juma... Read More

Cheki nilichomfanyia huyu dereva tax

Cheki nilichomfanyia huyu dereva tax

Nilipanda tax leo.dereva tax akaanza kuongea…

Naipenda sana kazi yang... Read More

Mkalimani alivyoharibu ibada ya leo

Mkalimani alivyoharibu ibada ya leo

Leo nikaamua niingie misa ya asubuhi kwenye kanisa moja la kilokole kulikua na ugeni wa mchungaji... Read More

Hii ndiyo bongo sasa!!

Hii ndiyo bongo sasa!!

Hii ndio Bongo

Ilikuwa Ijumaa mida ya saa 10 jioni, mzee mmoja aliingia na kibinti kizuri k... Read More

Angalia huyu mgeni anachokifanya, wageni wengine ni hatari

Angalia huyu mgeni anachokifanya, wageni wengine ni hatari

Hata kama ni Mgeni this is too much. Mwenyeji: Karibu mgeni karibu ukae,utapenda chai au soda? Mgeni... Read More
Angalia Kiingereza kilivyoniponza

Angalia Kiingereza kilivyoniponza

Shikamoo kingereza..!

Baada ya kufika Kempiski nikaona menu imeandikwa:

Saute... Read More

Hapo sasa akili itakuja

Hapo sasa akili itakuja

Pale unapo gundua kuwa yule ulie mtukana kwenye bajaji ndio boss anaeenda kukufanyia inte... Read More