Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Kweli shilingi yaua, Huyu jamaa kapatikana, angalia anachomjibu mke wake,

Featured Image
Jamaa alikuwa anagombana na mkewe,hatimae
akamwambia kwa ukali
"Unajua nimechoka sasa, haya kusanya nguo
zako na……..

Kabla hajamalizia sentensi simu
ya mkewe ikaita, kumbe alikuwa ni baba yake.
Basi mzee akaanza kuongea na binti yake huku
jamaa anasikia

"Aisee mwanangu nimebahatika kuuza ile
nyumba yangu sasa nimeona niwatumie milioni
20 mjaribu kuanzisha mradi na mwenzio.
Haya mwambie yeye nitampigia kesho kama
ana mradi mwingine nimpe hela kidogo".Baada
ya simu kukatwa mke akamgeukia jamaa
akamuuliza,"eeenhee!!! ulikuwa unasema
umenichoka nikusanye nguo zangu halafu
iweje? Jamaa kwa upole akajibu "Nilikuwa
nasema ukusanye nguo zako na unipe nifue".
AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Mohamed (Guest) on July 12, 2024

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Rabia (Guest) on July 1, 2024

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Anna Malela (Guest) on June 20, 2024

😊🀣πŸ”₯

Catherine Mkumbo (Guest) on June 14, 2024

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Athumani (Guest) on June 9, 2024

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Jacob Kiplangat (Guest) on May 22, 2024

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Mohamed (Guest) on April 21, 2024

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Dorothy Nkya (Guest) on April 16, 2024

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Baridi (Guest) on April 15, 2024

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Anna Sumari (Guest) on March 21, 2024

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Biashara (Guest) on March 21, 2024

πŸ˜‚ Kali sana!

Zawadi (Guest) on March 16, 2024

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Nancy Komba (Guest) on February 16, 2024

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Zakaria (Guest) on January 25, 2024

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Samuel Omondi (Guest) on January 24, 2024

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Mary Sokoine (Guest) on January 14, 2024

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Mzee (Guest) on November 1, 2023

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Francis Mrope (Guest) on October 19, 2023

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

David Ochieng (Guest) on September 28, 2023

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

David Sokoine (Guest) on September 23, 2023

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Grace Njuguna (Guest) on September 18, 2023

😁 Hii ni dhahabu!

Joseph Mallya (Guest) on September 8, 2023

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Frank Sokoine (Guest) on August 31, 2023

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Lucy Kimotho (Guest) on August 14, 2023

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Jackson Makori (Guest) on July 30, 2023

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Rose Lowassa (Guest) on June 24, 2023

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Elizabeth Mrema (Guest) on June 23, 2023

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

George Mallya (Guest) on June 8, 2023

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Fadhili (Guest) on June 3, 2023

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Jabir (Guest) on May 22, 2023

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Elizabeth Mrema (Guest) on May 21, 2023

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Miriam Mchome (Guest) on May 17, 2023

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Sumaya (Guest) on April 27, 2023

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Joyce Mussa (Guest) on April 22, 2023

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Mwanajuma (Guest) on April 20, 2023

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Maulid (Guest) on April 15, 2023

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Francis Mrope (Guest) on April 7, 2023

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Joseph Kawawa (Guest) on February 18, 2023

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Brian Karanja (Guest) on February 10, 2023

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Linda Karimi (Guest) on February 9, 2023

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

David Chacha (Guest) on January 29, 2023

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Frank Sokoine (Guest) on January 27, 2023

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Salima (Guest) on December 15, 2022

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

David Ochieng (Guest) on December 4, 2022

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Nancy Kabura (Guest) on October 29, 2022

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Esther Nyambura (Guest) on October 28, 2022

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Henry Mollel (Guest) on October 14, 2022

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Irene Makena (Guest) on September 30, 2022

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Michael Mboya (Guest) on September 19, 2022

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Alice Wanjiru (Guest) on September 18, 2022

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Dorothy Mwakalindile (Guest) on September 14, 2022

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Lucy Mahiga (Guest) on September 7, 2022

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Martin Otieno (Guest) on September 6, 2022

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Sharifa (Guest) on August 13, 2022

πŸ˜… Bado nacheka!

John Mushi (Guest) on August 7, 2022

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Janet Sumari (Guest) on June 24, 2022

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Mary Kidata (Guest) on June 14, 2022

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Shamsa (Guest) on June 8, 2022

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Joseph Njoroge (Guest) on May 25, 2022

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Joseph Mallya (Guest) on May 16, 2022

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Related Posts

Alichokisema mwizi baada ya kushinda bahati nasibu

Alichokisema mwizi baada ya kushinda bahati nasibu

Hapa mtaani kuna mwizi sugu ameshinda mil.10 za bahati nasibu ??.
Alipoulizwa atafanya nini ... Read More

Cheki tulichokifanya jana

Cheki tulichokifanya jana

JANA APA HOME

JENERETA LILIWASHWA

ACHA TUHANGAIKE KULIKUNA

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚... Read More

Kauli 10 mbaya za walimu darasani, unakumbuka ipi hapa?

Kauli 10 mbaya za walimu darasani, unakumbuka ipi hapa?

1:Mkimaliza kuongea niambieni niendelee kufundisha

2:Baba yako kauza ng'ombe ili alete ng'o... Read More

Hii ndio ngoma droo kwa wanaume kati ya wanawake

Hii ndio ngoma droo kwa wanaume kati ya wanawake

{ NGOMA DROO}
Sikuizi utawasikia wadada wakisema kuachwa na mwanaume asie na pesa nisawa na ... Read More

Tatizo la kukuta nywele kwenye chakula

Tatizo la kukuta nywele kwenye chakula

Hapa ni shida

KUKUTA NYWELE KWENYE CHAKULA SIO TATIZO,TATIZO NI KUWAZA ITAKUWA IMET... Read More

Hii kazi kweli kweli, Ungekua wewe ungefanyaje?

Hii kazi kweli kweli, Ungekua wewe ungefanyaje?

UNATOKA SEBULENI UNAENDA ZAKO CHOONI UNAINGIA TU HIVI GHAFLA UNAKUTANA NA MZIGO MKUBWA WA... Read More

Cheki huyu mzee alichomfanyia muuzaji wa pharmacy

Cheki huyu mzee alichomfanyia muuzaji wa pharmacy

Mzee kaingia pharmacy, MZEE: Mambo mwanangu, kuna kitu naomba uonje nitakulipa MFAMASIA: Kitu gani?β... Read More
Acha usumbufu…

Acha usumbufu…

UNAMNG'ANG'ANIZA MPENZI WAKO AKUWEKE KWNY PROFILE PICHA MLOPIGA PAMOJA

HIVI ULIDHANI MWL.NY... Read More

Sio kwa wivu huu

Sio kwa wivu huu

Wanawake nilianza kuwachukia tokea shule ya msingi.

Ni pale mwanamke wangu aliponiacha na k... Read More

Huyu bwana leo kapatikana, Jamani nyodo nyingine mbaya

Huyu bwana leo kapatikana, Jamani nyodo nyingine mbaya

Baada ya kumaliza Degree yake ya sheria Bwana Rwegashora aliamua kurudi nyu... Read More

Soma alichokisema mlevi baada ya kukuta watu wakimpiga mwizi

Soma alichokisema mlevi baada ya kukuta watu wakimpiga mwizi

Mlevi mmoja aliona wananchi wakipiga mwizi akawaambia "mwacheni msimpige, hii tabia yenu ya kupi... Read More

Angalia huyu mwalimu alichokifanya

Angalia huyu mwalimu alichokifanya

Mwalimu aliingia darasani akiwa amechoka kinoma
akawambia wanafunzi.

'leo tutajifunza ... Read More