Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Cheki huyu mzee alichomfanyia muuzaji wa pharmacy

Featured Image
Mzee kaingia pharmacy,
MZEE: Mambo mwanangu, kuna kitu naomba uonje nitakulipa
MFAMASIA: Kitu gani?….Mzee akatoa kichupa na kijiko akaweka …majimaji yaliyomo kwenye
kichupa kwenye kijiko na kumwambia mfamasia aonje, mfamasia akatia yale maji mdomoni na kuyazungusha zungusha mdomoni akionja;

MZEE: Nipe jibu, ina utamu wa sukari au chumvi au pilipili?
MFAMASIA: Kama chumvichumvi
MZEE: Hakuna sukari
MFAMASIA: Sukari hakuna kabisa
MZEE: Loh asante chukua hii alfu tano nashukuru sana, dokta alinambia nipime mkojo wangu kama nina kisukari, kumbe sina asante bwana mdogo
AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Jafari (Guest) on July 11, 2024

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Peter Otieno (Guest) on July 7, 2024

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Jamila (Guest) on July 6, 2024

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Stephen Malecela (Guest) on July 6, 2024

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Lucy Kimotho (Guest) on June 22, 2024

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Mary Njeri (Guest) on June 12, 2024

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Christopher Oloo (Guest) on May 10, 2024

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Nancy Kawawa (Guest) on May 3, 2024

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Samuel Were (Guest) on April 24, 2024

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Janet Sumari (Guest) on March 8, 2024

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Lucy Mahiga (Guest) on February 29, 2024

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Joy Wacera (Guest) on December 23, 2023

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Agnes Sumaye (Guest) on December 18, 2023

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Kahina (Guest) on December 12, 2023

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Sumaya (Guest) on December 10, 2023

😁 Hii ni dhahabu!

Mary Mrope (Guest) on October 30, 2023

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Irene Makena (Guest) on October 25, 2023

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Vincent Mwangangi (Guest) on October 16, 2023

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Edith Cherotich (Guest) on October 12, 2023

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Francis Mtangi (Guest) on October 11, 2023

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Rose Amukowa (Guest) on August 14, 2023

🀣πŸ”₯😊

Moses Kipkemboi (Guest) on July 4, 2023

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Nancy Komba (Guest) on July 1, 2023

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Jackson Makori (Guest) on June 24, 2023

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Diana Mallya (Guest) on June 18, 2023

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Rose Lowassa (Guest) on May 31, 2023

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Amani (Guest) on May 15, 2023

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

George Ndungu (Guest) on May 13, 2023

😁 Kicheko bora ya siku!

Baraka (Guest) on April 14, 2023

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Rose Mwinuka (Guest) on April 10, 2023

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

David Musyoka (Guest) on April 2, 2023

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Robert Ndunguru (Guest) on February 20, 2023

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Alice Mwikali (Guest) on February 9, 2023

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Patrick Akech (Guest) on February 2, 2023

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Monica Adhiambo (Guest) on February 1, 2023

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Lucy Kimotho (Guest) on January 29, 2023

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Grace Majaliwa (Guest) on January 25, 2023

πŸ˜… Bado nacheka!

Lucy Mushi (Guest) on November 27, 2022

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Daudi (Guest) on November 8, 2022

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Edward Chepkoech (Guest) on November 2, 2022

🀣 Hii imewaka moto!

Kijakazi (Guest) on September 27, 2022

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Hassan (Guest) on September 23, 2022

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Robert Ndunguru (Guest) on September 7, 2022

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Samson Tibaijuka (Guest) on September 4, 2022

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Ruth Kibona (Guest) on August 20, 2022

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Agnes Lowassa (Guest) on August 3, 2022

πŸ˜‚ Kali sana!

Alex Nyamweya (Guest) on July 20, 2022

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

David Ochieng (Guest) on May 22, 2022

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Irene Makena (Guest) on May 3, 2022

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Robert Ndunguru (Guest) on April 14, 2022

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Faith Kariuki (Guest) on April 1, 2022

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Rahma (Guest) on March 22, 2022

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Asha (Guest) on March 4, 2022

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Benjamin Kibicho (Guest) on March 2, 2022

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

John Lissu (Guest) on February 10, 2022

Asante Ackyshine

Stephen Kikwete (Guest) on January 14, 2022

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Khatib (Guest) on January 2, 2022

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Mwalimu (Guest) on December 26, 2021

πŸ˜† Kali sana!

Diana Mumbua (Guest) on December 23, 2021

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Hellen Nduta (Guest) on November 17, 2021

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Related Posts

Wanawake wanavyopenda hela, hadi kutoka kwa nyani na ngedere

Wanawake wanavyopenda hela, hadi kutoka kwa nyani na ngedere

Kama Nyani na ngedere wangekuwa na pesa…

Trust me Kuna wanawa... Read More

Sitasahau mwaka huu

Sitasahau mwaka huu

Sitasahau mwaka ule ambapo nilipeleka barua ya maombi yangu ya kazi kwenye kampuni moja ... Read More

Angalia huyu Jamaa alichomfanyia mke wake jana

Angalia huyu Jamaa alichomfanyia mke wake jana

Jana niligombana na mke wng, Akaniambia nibebe kila kitu changu niondoke, Bas kiustaarabu... Read More

Angalia kilichonikuta nilipoenda kwa mganga

Angalia kilichonikuta nilipoenda kwa mganga

Usije ukaenda kwa mganga, mwenzako yamenikuta, yani masharti niliyopewa, acha tu,
yalikua hi... Read More

Nilichojibu kwenye interview walipoulizia status

Nilichojibu kwenye interview walipoulizia status

Nimetoka kufanya interview wakaniuliza status yangu nikaawabia status yangu ni Hey there... Read More

Angalia anachojibu huyu babu. Wazee wengine bwana

Angalia anachojibu huyu babu. Wazee wengine bwana

Babu: Mjukuu wangu ngoja nikusimulie hadithi ya mimi babu yako kwenye vita ya kagera
Mjukuu:... Read More

Angalia huyu dada alivyoumbuka, Duh! Alijua haoni!!!

Angalia huyu dada alivyoumbuka, Duh! Alijua haoni!!!

Dem anatoka kuoga akiwa na kanga moja tu anaskia hodi,kufungua mlango akakuta ni jirani yake fra... Read More

Kilichompata huyu jammaa baada ya simu yake kuita msikitini

Kilichompata huyu jammaa baada ya simu yake kuita msikitini

Jamaa alisahau kuzima simu akiwa msikitini anaswali GHAFLA simu ikaita akaingiza mkono ili aikat... Read More

Jinsi Mapenzi yanavyoweza kukupa stress

Jinsi Mapenzi yanavyoweza kukupa stress

Mapenzi ni balaa

Mapenzi ujue yanawez kukupa stress adi mama ako akikuuliz what's wrongπŸ€”... Read More

Angalia nilivyookoa maisha ya mtu leo

Angalia nilivyookoa maisha ya mtu leo

Nmeokoa maisha ya mtu asubuhi ya leo huwezi amini.Nmekutana na ombaomba nikamuuliza atajisikiaje ... Read More

Ulevi noma! Angalia huyu mlevi alichomfanyia huyu jamaa usiku! Ungekua wewe ungefanyaje?

Ulevi noma! Angalia huyu mlevi alichomfanyia huyu jamaa usiku! Ungekua wewe ungefanyaje?

Jamaa alikuwa amelaa na mkewe saa tisa ya usiku akastuka baada ya kusikia mtu anabisha hodi kwenda k... Read More
Omba omba sio barabarani tuu

Omba omba sio barabarani tuu

Boy:- baby ivi nikifa utakuja msibani?

Girl:-ntakuja ukinitumia n... Read More