Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Angalia huyu mwalimu alichokifanya

Featured Image

Mwalimu aliingia darasani akiwa amechoka kinoma
akawambia wanafunzi.

'leo tutajifunza kipindi cha
dini " wanafunzi wakiwa wanajiandaa ili kuendelea
na kipindi mwalimu akajiegesha kwenye kiti klichokua
karibuu yake baada ya dakika kadhaa mwalimu alipitiwa
na usingizi, ghafla alingia mkurugenzi na
kusimama pembeni mwa kile kiti alichokalia mwalimu
ghafla kmya kikatawala darasani kiasi cha kunfanya
mwalimu ashtuke usingizini aliamka huku akipiga
miayo alpotupa jicho pembeni alimuona mkurugenzi
kasimama pemben! akiwa anababaika alifungua
kinywa na kusema ' Hivi ndivyo walivyolala wanafunzi
wa YESU walipokua wakimsubli kule mlimani, je
kuna mwenye swal? mkurugeni pale alipokua
akapiga makofi na kumsifia mwalimu kwa kufundisha
kwa vitendo.

Je % Ngapi unampa mwalimu kwa
kusolve kibarua chake.????

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Moses Kipkemboi (Guest) on July 3, 2024

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Victor Malima (Guest) on June 27, 2024

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

David Sokoine (Guest) on June 20, 2024

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Charles Mchome (Guest) on June 19, 2024

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Wande (Guest) on June 17, 2024

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Andrew Odhiambo (Guest) on June 4, 2024

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

John Lissu (Guest) on May 26, 2024

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Ruth Wanjiku (Guest) on May 26, 2024

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Betty Kimaro (Guest) on May 23, 2024

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Anthony Kariuki (Guest) on May 21, 2024

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Janet Mbithe (Guest) on April 28, 2024

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

James Mduma (Guest) on April 14, 2024

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Mohamed (Guest) on March 29, 2024

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Mariam Hassan (Guest) on March 23, 2024

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Sharon Kibiru (Guest) on March 15, 2024

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Paul Kamau (Guest) on March 4, 2024

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Janet Sumari (Guest) on February 22, 2024

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Jane Malecela (Guest) on February 7, 2024

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Sharon Kibiru (Guest) on January 24, 2024

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Victor Mwalimu (Guest) on January 19, 2024

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Janet Wambura (Guest) on January 11, 2024

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Victor Kamau (Guest) on December 25, 2023

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Nancy Komba (Guest) on December 5, 2023

πŸ˜… Bado ninacheka!

John Kamande (Guest) on September 1, 2023

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Rose Kiwanga (Guest) on August 26, 2023

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Janet Sumari (Guest) on August 24, 2023

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Nancy Kabura (Guest) on August 15, 2023

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Monica Lissu (Guest) on August 11, 2023

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Isaac Kiptoo (Guest) on August 8, 2023

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Ruth Mtangi (Guest) on July 31, 2023

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

James Kimani (Guest) on July 17, 2023

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Mwachumu (Guest) on July 14, 2023

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Christopher Oloo (Guest) on June 26, 2023

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

James Kimani (Guest) on June 25, 2023

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Joseph Kawawa (Guest) on June 13, 2023

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

George Ndungu (Guest) on May 31, 2023

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Grace Mushi (Guest) on May 13, 2023

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Carol Nyakio (Guest) on May 12, 2023

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Catherine Mkumbo (Guest) on April 6, 2023

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Lydia Mahiga (Guest) on March 24, 2023

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Salima (Guest) on March 18, 2023

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Raphael Okoth (Guest) on March 3, 2023

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Daudi (Guest) on February 24, 2023

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Susan Wangari (Guest) on February 18, 2023

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Frank Macha (Guest) on February 18, 2023

😁 Hii ni dhahabu!

Abdillah (Guest) on January 27, 2023

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Frank Sokoine (Guest) on January 17, 2023

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Mohamed (Guest) on January 11, 2023

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Joseph Njoroge (Guest) on January 3, 2023

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Josephine (Guest) on December 28, 2022

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Bahati (Guest) on December 3, 2022

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Monica Lissu (Guest) on November 15, 2022

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Grace Wairimu (Guest) on October 31, 2022

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Paul Kamau (Guest) on October 25, 2022

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Andrew Odhiambo (Guest) on August 9, 2022

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Agnes Lowassa (Guest) on August 5, 2022

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Sarah Achieng (Guest) on July 14, 2022

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Victor Kimario (Guest) on July 4, 2022

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Wilson Ombati (Guest) on June 28, 2022

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Grace Mligo (Guest) on June 27, 2022

πŸ˜… Bado nacheka!

Related Posts

Eti kwa nini Watu hawapostigi hii? Hata selfie sijaonaga

Eti kwa nini Watu hawapostigi hii? Hata selfie sijaonaga

Vijana mkiwa mnaendesha magari mna post mukiwa mpo beach mna post mkiwa kwenye masherehe mna pos... Read More

Sababu ya watu kupenda mapenzi kuliko vita

Sababu ya watu kupenda mapenzi kuliko vita

Mwalimu aliuliza swali "Kwanini watu wanapenda MAPENZI kuliko VITA? Mwanafunzi mmoja akajibu:- "Kw... Read More
Soma hii, kama wewe ndio mzazi wa huyu msichana ungefanyaje?

Soma hii, kama wewe ndio mzazi wa huyu msichana ungefanyaje?

Wewe ni mza... Read More

Alichokisema mwizi baada ya kushinda bahati nasibu

Alichokisema mwizi baada ya kushinda bahati nasibu

Hapa mtaani kuna mwizi sugu ameshinda mil.10 za bahati nasibu ??.
Alipoulizwa atafanya nini ... Read More

Ungekua wewe ndio baba wa Huyu mtoto ungemjibu nini?

Ungekua wewe ndio baba wa Huyu mtoto ungemjibu nini?

MTOTO: Hivi Baba wewe umezaliwa wapi?????
BABA: Mbeya

<... Read More
Hawa ndio wanaume wanaoweza kushinda vishawishi

Hawa ndio wanaume wanaoweza kushinda vishawishi

Wanaume wenye kushinda vishawishi ni;

Wanaume ambao mnaweza kula wali hadi mwisho bila kugu... Read More

Angalia huyu jamaa alivyoachika na msichana wake kwa kujidai kuongea kingereza na mwishowe kuchanganya maneno

Angalia huyu jamaa alivyoachika na msichana wake kwa kujidai kuongea kingereza na mwishowe kuchanganya maneno

MSICHANA: Mbona jana nimekupigia simu hujapokea?
JAMAA: please beby forget me.
MSichAnA... Read More

Nilichojibu kwenye interview walipoulizia status

Nilichojibu kwenye interview walipoulizia status

Nimetoka kufanya interview wakaniuliza status yangu nikaawabia status yangu ni Hey there... Read More

Kizungu nacho ni sheeeedeer

Kizungu nacho ni sheeeedeer

Mtalii: Do you have vegetables here.
Mtafsiri: Mnavyo vijimeza hapa.
Waiter: Vijimeza v... Read More

Mipango ya mke na mume ya pasaka

Mipango ya mke na mume ya pasaka

Mke: Unampango gani na pasaka hii mmewangu..
Mume: Nitafanya kama yesu..
Mke: Unamaanis... Read More

Nilichokifanya leo

Nilichokifanya leo

Leo nmemlipa konda nauli, akasahau kunishusha kituoni. Na mimi nkakaa KIMYAAA kumkomoa…..

... Read More
Gari na mke nini muhimu?

Gari na mke nini muhimu?

GARI YA MILIONI 50
UNALAZA NJE…
mke wa laki sita
unalala nae ndani….
BANG... Read More