Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Huyu bwana leo kapatikana, Jamani nyodo nyingine mbaya

Featured Image

Baada ya kumaliza Degree yake ya sheria Bwana Rwegashora aliamua kurudi nyumbani Bukoba mjini na kufungua ofisi yake kwa ajili ya huduma kwa wateja.
Siku moja akiwa ndani ya ofisi yake alimuona mtanashati na mdada mmoja mrembo anakuja ofisini kwake akajua ni mteja anamletea kesi.





Ndipo akanyanyua mkoni wa wa simu ya TTCL na kuanza kuongea huku anajizunguusha kwenye kiti cha kuzunguuka.
Wakati mdada alipokaribia Rwegashora alimkaribisha kwa ishara maana alijifanya yupo busy na kuongea na simu ya umuhimu.
Wakati anaongea na simu akisikika akisema No, No, No….. Absolutely No. Wajuulishe hao lay person wa New York kua siwezi kushuhulika na kesi ambayo itanilipa chini ya 50 million. Mimi ni profesional lawyer and im crossing the border to sarve international community.





Aka pose kidogo na akanywa maji kisha akaendelea…..
Naweza kuanza kukusanya primary evidence next weak but tell them watume kwanza ten million kwa kuanza…
Hahahahaha you dont know my Account
Mr Roger. Ok waambie watume kwenye Account ileile walionitumia million 100 last month…





Aka pose tena akameza fundo la maji na kurekebisha tai yake kisha akaendelea… Ok usisahau kumueleza muendesha mashtaka mkuu wa marekani kua nitakuja New York mwezi ujao maana nitapita kwanza Amsterdam kuwasilisha utetezi wa yule mteja wangu mholanzi kisha nitaenda Tokyo kulipia ile gari yangu niloagiza.





Wakati anaongea hayo yote yule mdada alikua ametulia na anamuangalia Bwana Rwegashora anavyojizunguusha kwenye
kiti chake huku akiongea kwa tambo kwenye ile simu ya TTCL.
Baada ya kumaliza kuongea na simu Bwana Rwegashora aliweka mkono wa simu yake ya TTCL chini kisha akamgeukia mdada mrembo.





Samahan sana kwa kukupotezea muda wako unajua tena kazi zetu zinaumiza kichwa sana kama unavyoona mwenyewe yaani niko busy sana ninapokea simu sana mpaka nimechoka na simu nyingi ni za wateja wa njee ya nchi.





Anyway nikusaidie nn? Mdada akajibu mimi ni mfanyakazi wa kampuni ya TTCL nimekuja kuunganisha line yako ya simu kwani haipo hewani tangu wiki iliyopita…!!!





Unadhani Bwana Rwegashora alifanyaje…???


AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Josephine Nduta (Guest) on July 5, 2024

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Monica Nyalandu (Guest) on July 1, 2024

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Stephen Kangethe (Guest) on May 29, 2024

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Guest (Guest) on December 20, 2025

next nini ili happen

Samuel Omondi (Guest) on May 28, 2024

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Simon Kiprono (Guest) on May 11, 2024

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Mwanaisha (Guest) on May 9, 2024

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

John Lissu (Guest) on April 18, 2024

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Patrick Akech (Guest) on April 7, 2024

πŸ˜… Bado ninacheka!

Henry Mollel (Guest) on March 21, 2024

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Peter Tibaijuka (Guest) on March 4, 2024

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Latifa (Guest) on February 16, 2024

πŸ˜† Hiyo punchline!

Victor Sokoine (Guest) on February 2, 2024

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Francis Njeru (Guest) on January 28, 2024

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Charles Mrope (Guest) on January 15, 2024

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Charles Mrope (Guest) on January 8, 2024

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Philip Nyaga (Guest) on January 5, 2024

πŸ˜… Bado nacheka!

Andrew Odhiambo (Guest) on December 27, 2023

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Catherine Naliaka (Guest) on December 21, 2023

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Mwajabu (Guest) on December 16, 2023

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Francis Mtangi (Guest) on December 15, 2023

😊🀣πŸ”₯

Wande (Guest) on November 30, 2023

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

David Nyerere (Guest) on November 28, 2023

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Francis Mrope (Guest) on November 19, 2023

Asante Ackyshine

Victor Mwalimu (Guest) on November 12, 2023

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Kenneth Murithi (Guest) on November 12, 2023

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Grace Majaliwa (Guest) on September 3, 2023

πŸ˜‚πŸ˜†

Lucy Kimotho (Guest) on August 12, 2023

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Samson Tibaijuka (Guest) on August 11, 2023

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Diana Mumbua (Guest) on August 8, 2023

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Carol Nyakio (Guest) on July 30, 2023

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Stephen Amollo (Guest) on July 20, 2023

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Elijah Mutua (Guest) on July 19, 2023

🀣 Hii imewaka moto!

Robert Okello (Guest) on July 7, 2023

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Betty Kimaro (Guest) on June 30, 2023

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Dorothy Mwakalindile (Guest) on June 14, 2023

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Monica Adhiambo (Guest) on June 12, 2023

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Jaffar (Guest) on May 4, 2023

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Sarah Karani (Guest) on April 10, 2023

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Martin Otieno (Guest) on March 12, 2023

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Stephen Mushi (Guest) on February 8, 2023

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

John Kamande (Guest) on February 3, 2023

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Paul Ndomba (Guest) on January 21, 2023

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Betty Akinyi (Guest) on January 15, 2023

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Vincent Mwangangi (Guest) on November 19, 2022

🀣 Sikutarajia hiyo!

Rukia (Guest) on November 13, 2022

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Daniel Obura (Guest) on November 1, 2022

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Nora Kidata (Guest) on November 1, 2022

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Margaret Anyango (Guest) on October 16, 2022

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Mary Mrope (Guest) on October 14, 2022

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Benjamin Kibicho (Guest) on October 1, 2022

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Baraka (Guest) on September 9, 2022

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Josephine Nekesa (Guest) on September 7, 2022

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Victor Kimario (Guest) on September 7, 2022

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Rose Mwinuka (Guest) on September 4, 2022

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Sarah Karani (Guest) on August 30, 2022

😁 Hii ni dhahabu!

Zulekha (Guest) on August 19, 2022

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Sarah Karani (Guest) on August 11, 2022

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Rose Lowassa (Guest) on July 24, 2022

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Farida (Guest) on July 23, 2022

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Related Posts

Ungekua wewe ndio baba wa Huyu mtoto ungemjibu nini?

Ungekua wewe ndio baba wa Huyu mtoto ungemjibu nini?

MTOTO: Hivi Baba wewe umezaliwa wapi?????
BABA: Mbeya

<... Read More
Tofauti ya mwanamke wa Kizaramo, Kitanga, Kihaya, na wa Kichaga

Tofauti ya mwanamke wa Kizaramo, Kitanga, Kihaya, na wa Kichaga

Mwanamke wakizaramo: Unampa hela ana nunua dela anaenda ana msutia jirani, anali... Read More

Mabinti wengine kwa kupenda hela! cheki huyu anachokifanya

Mabinti wengine kwa kupenda hela! cheki huyu anachokifanya

Phone call gal: hellow Boy: sweety mambo vipi? Girl: poa Boy: utakuwa free weekend? nilikuwa nataka ... Read More
Kilichotokea baada ya kuzamia sherehe

Kilichotokea baada ya kuzamia sherehe

Pale unapozamia kwenye Dinner Party ya Jumuiya Fulani, sasa Lengo la Jumuiya hiyo ni kupata Fedha... Read More

Mzunguko wa elimu kiafrikaafrika

Mzunguko wa elimu kiafrikaafrika

01.πŸ‘‰ Wale wanafunzi walioongoza Mashuleni, wanaenda kwenye Engineering na Medical school.

<... Read More
Kifahamu Kidada kimbea kilichofukuzwa kazi

Kifahamu Kidada kimbea kilichofukuzwa kazi

Unafahamu?

Kile kidada kimbea kinachosemaga salio lako halitoshi kimefukuzwa kazi s... Read More

Cheki huyu jamaa alivyoumbuka akiwa ndani ya dala dala baada ya kupokea simu ya mkewe

Cheki huyu jamaa alivyoumbuka akiwa ndani ya dala dala baada ya kupokea simu ya mkewe

Jamaa kapokea simu kutoka kwa mke wake ndani ya daladala

jamaa: hellow hellow ( jamaa ak... Read More

Kilichowakuta boss, mke wake na mfanyakazi wao

Kilichowakuta boss, mke wake na mfanyakazi wao

Bakari ni house boy mara nyingi huiba wine ya boss wake na kisha kuongeza maji kwenye chupa ili b... Read More

Cheki huyu mzee alichomfanyia muuzaji wa pharmacy

Cheki huyu mzee alichomfanyia muuzaji wa pharmacy

Mzee kaingia pharmacy, MZEE: Mambo mwanangu, kuna kitu naomba uonje nitakulipa MFAMASIA: Kitu gani?β... Read More
Mzee wa kichaga na hela zake. Angalia anachofanya

Mzee wa kichaga na hela zake. Angalia anachofanya

Mzee moja alikuwa kila usiku anapita mbele ya bank anasimama,kisha anapiga honi,akitoka askari ml... Read More

Huyu panya wa tatu ni noma

Huyu panya wa tatu ni noma

πŸ€ πŸ€ πŸ€Β Panya watatu walikua wakibishana nani Ni noma zaidi

Read More

Hili nalo neno kwa wavulana

Hili nalo neno kwa wavulana

Hili nalo neno

Demu wako anakuja kwako kasuka nywele za 30,000 na hujampa hata mia,we unaka... Read More