John aliruhusiwa kwenda nyumbani kutoka hospital ya
Vichaa, akapakiwa ktk ambulance hadi karibu na
nyumbani kwake, akaulizwa kwako unapakumbuka?
akajibu ndio nyumba yangu ilee, mara wakatoka
watoto wawili wamevaa uniform akasema watoto
wangu walee wanakwenda shule..
Akatoka mwanamke akasema na mke wangu yulee,
Ghafla akatoka mwanaume john akasema mimi
yuleeeeeeeeโฆ. naenda kazini!! JE, NI KWELI
AMEPONA??
References:
Google ScholarResearchGate
Semantic Scholar
AckySHINE
๐คฃ Kichekesho bora kabisa!
๐๐ ๐
Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! ๐
๐๐คฃ๐๐
๐ Nilihitaji kicheko hicho!