Mzee wa miaka 60 alimwambia mkewe, leo nataka tukumbukie enzi zetu kutongozana, mke akajibu sawa, inabidi unisubiri mwembeni saa 1 usiku nitapita, mzee akafika saa 1 alikaa hadi saa 5 usiku, aliporudi nyumbani akamuuliza mkewe kwa hasira; sasa tumepanga nin halafu haujatokea ?
Mke; leo mama alinikataza nictoke nyumbani usiku nijisomee ! Babu hoiiβ¦
Editor: Melkisedeck Leon Shine. About Me | Contact Me | LinkedIn | TikTok | WhatsApp
Read and Write Comments
Recommended Posts
Ujinga wa ndoto ndio huu
Ulishawahi kukutana na hii? Maana yake ni nini?
Kweli mitandao imeharibu watu, angalia huyu anachokisema sasa
Dunia ina mambo, soma hii
Ulishawahi kupenda kwa namna hii??!!
Kilichonitokea leo baada ya kuona nungunungu
Kilichompata sista duu bishoo wakati akijidai kununua pete
Mimi ndio nimeelewa hivi!