Bangi si mchezo, Angalia kilichowakuta hawa

Bangi si mchezo!
Jamaa kaikoleza si ikamtuma avue nguo!
Akavua nguo zote akaenda kwenye kioo, kujitazama akaona kama kavaa suti!
then akaenda kama alivyo zaliwa kwa masela wenzake akawauliza vp suti imenikaa? Mvuta bangi mwenzie akamwambia “imekutoa kinyama ila tai umeifunga chini sana”.

236 thoughts on “Bangi si mchezo, Angalia kilichowakuta hawa”

Leave a Reply to Hassan Cancel Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Shopping Cart