Bangi si mchezo!
Jamaa kaikoleza si ikamtuma avue nguo!
Akavua nguo zote akaenda kwenye kioo, kujitazama akaona kama kavaa suti!
then akaenda kama alivyo zaliwa kwa masela wenzake akawauliza vp suti imenikaa? Mvuta bangi mwenzie akamwambia “imekutoa kinyama ila tai umeifunga chini sana”.
Editor: Melkisedeck Leon Shine. About Me | Contact Me | LinkedIn | TikTok | WhatsApp
Read and Write Comments
Recommended Posts
Madhara ya kubeba nauli kamili tuu. Cheki kilichonipata
Cheki hawa wachungaji
Unakumbuka hizi enzi za utoto?
Huyu mke kwa kupenda hela! Cheki anachomwambia mume wake
Angalia huyu ticha wa Hesabu alichofanyiwa
Kilichotokea baada ya mzungu na mbongo kukaa siti moja, bongo wasanii wengi
Cheki huyu jamaa alivyoumbuka kwenye harusi
Ungekua wewe ndio baba wa Huyu mtoto ungemjibu nini?