Nimefika hapa Polisi Station nimefarijika sana na Kustuka baada ya kumkuta Askari hapa Kaunta anasoma Biblia nikajisikia fahari kuona anasoma neno kituo cha Polisi. Nikamuukiza Afande ni Nani alimuua Goliathi? Akasema Muulize Afande Mwita mlango namba 2 ndo anausika na Kesi za Mauaji.😂😂
References:
Google ScholarResearchGate
Semantic Scholar
AckySHINE
😅 Bado nacheka!
🤣😭😆
Hii ni dhahabu ya vichekesho! 😄
😁 Hii ni hazina ya kichekesho!
🤣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!