Madhara ya kuchora tattoo mwilini

Tattoo ni nini?
Hii ni uwekaji wa wino kwenye ngozi ya ndani kitaalamu kama dermis kubadilisha rangi kabisa maisha yako yote au kwa muda tu, inateemea na uwekaji..
Kwa dunia ya sasa kujichora tatoo ni kama fasheni fulani kwenye jamii, ukienda kuchora tattoo kuna uwezekano mkubwa sana isitoke maisha yako yote hivyo kwa usalama wako ni vizuri ukamuona mtaalamu wa tattoo ambaye ni maarufu na ana sifa kubwa katika shughuli hizo, anaweza kua ana gharama kubwa lakini binafsi itakusaidia.kwa sasa nchi ya marekani inaongoza kwa kua na watu wengi wenye tattoo duniani.

Hivyo kabla hujaamua kujichora tattoo basi madhara yake haya hapa..

Kansa ya ngozi; hapo mwanzoni wataalamu walikua wanasema hakuna mahusiano kati ya kansa ya ngozi na na tabia ya kujichora tattoo lakini hivi karibuni tafiti kutoka uingereza zinaonyesha kuna aina fulani za wino ambazo zinaweza kusababisha kansa zikitumika kuchora tattoo.

Allergy ya ngozi; haijalishi unaweka tattoo kwa muda au ya moja kwa moja kumetokea kesi nyingi za watu wanaopata allergy baada ya kupakwa tattoo, utafiti unaonyesha rangi nyekundu ndio inaongoza kwa kusababisha allergy hizo huku rangi zingine kama nyeusi, purple na zingine hazisababishi. mara nyingi allergy hizi huonekana mtu akikaa juani.

makovu; mwili unataambua tattoo kama adui wake hivyo hujaribu kuiondoa kwa njia mbalimbali na kwa kufanya hivyo husababisha makovu ya muda mrefu ambayo yanaweza kuleta magonjwa mengine ya ngozi.

Maambukizi ya ukimwi na ugonjwa wa hepatitis; tabia ya kurudia sindano zilezile wakati wa kuchora tattoo kunaweza kusababisha maambukizi ya virusi vya ukimwi na maambukizi ya virusi vinavyoshambulia ini kitaalamu kama hepatitis b. ugonjwa huu wa hepatitis b husababisha kansa ya ini ambayo haitibiki. ni vizuri kua makini ili uone kama sindano inayotumika kwako ni mpya.

Matatizo kipindi cha kufanya kipimo cha MRI; hichi kipimo ni cha mionzi na kirefu chake ni magnetic resonance imaging, hutumika kupima viungo vya mwili ambavyo havionekani kwa macho ndani ya mwili wa binadamu kama x ray inavyofanya. tatizo ni kwamba kipimo hiki kina sumaku kali kiasi kwamba mtu hatakiwi kuingia kwenye mtambo huo akiwa amevaa chuma chochote na hata kama kiko ndani ya mwili kitavutwa nje, sasa mara nyingi tattoo nyeusi hua imetengenezwa na compound kitaalamu kama iron oxide ambayo ina chembechembe za chuma. hii inaweza ikaleta changamoto kubwa kwenye vipimo.

Kubadilika kwa ngozi ya rangi; sehemu inayochorwa tattoo hubadilika moja kwa moja na kua na rangi tofauti, hakuna jinsi unaweza ukaitoa hiyo rangi tena, hata baada ya muda mrefu tattoo ikipungua nguvu lakini ngozi haiwezi kua kama zamani.

Hutaruhusiwa kuchangia damu; mara nyingi watu wenye tattoo hawaruhusiwi kuchangia damu kwani wana hatari ya kusambaza ugonjwa kwenda kwa mtu mwingine, kimsingi mtu aliyechora ndani ya muda mfupi ndio haruhusiwi lakini kwasababu wakati mwingine sio rahisi kutofautisha tattoo mpya na ya zamani basi hawa watu huwa hawaruhusiwi kabisa.mchezaji wa kimataifa christian ronaldo hachori tattoo kwa sababu ya hili.

Unaweza kukosa fursa mbalimbali; kuna kampuni mbalimbali duniani haziwapi watu kazi kwasababu wamechora tattoo kulingana na imani za kampuni husika lakini pia kazi yeyote ya jeshi duniani hairuhusu tattoo hivyo kama wewe unayesoma hapa umeshachora tattoo ujue kazi ya jeshi huna tena.

Tattoo huingiliana na matumizi ya dawa fulani; kama wewe unatumia dawa za kuzuia damu isingane mwilini ukichora tattoo inaweza kufanya utoke damu nyingi sana kwani dawa hizo huzuia uwezo wa mwili kukausha damu na kuponyesha vidonda.

Magonjwa ya ngozi; wakati mwingine bacteria huweza kuvamia sehemu zenye vidonda vya tattoo na kusababisha kutopona haraka, dalili huweza kua homa kali, maunivu makali na sehemu ya tattoo kuvimba.

Damu kuganda juu ya ngozi[haematoma]; hii husababishwa na kuvuja kwa damu nyingi chini ya ngozi, huonekana sana pembeni pembeni ya sehemu ambapo rangi ya tatoo imepita na huchelewesha kupona kwa kidonda.

Nini kifanyike kwa wanaopenda tattoo?

Siku hizi kuna tattoo zinachorwa juu ya ngozi kama hina na kuondoka baada ya muda fulani, hizi hazina madhara kabisa, huchorwa kwa bei ndogo na hukupa nafasi ya wewe kubadilisha tatoo za aina mbalimbali kwenye sehemu moja ya mwili.

Je tattoo inafutika?

Ni ngumu sana kuifuta tattoo na hii ni changamoto kwa watu ambao wamechora tattoo za majina au sura za wapenzi wao wa zamani. kuna kikaa kinaitwa laser ambacho kinaweza kutumika kufuta tattoo yote au sehemu ndogo tu ya tattoo. mara nyingi rangi nyeusi zinaweza kutoka ukilinganisha na rangi zingine. maumivu yanayotumiaka kuiondoa tattoo ni makali kuliko maumivu ya kuiweka na hapa kwetu tanzania siana uhakika kama huduma hii ya kuondoa tattoo ipo.

If you have any question or need more information, ask/search it here

More results...

Generic selectors
Exact matches only
Search in title
Search in content
Post Type Selectors
Filter by Categories
1000+ Best Jokes That You Will Find Absolutely Hilarious
1000+ Best Quotes to Brighten your Day
1000+ Inspiring Real Stories
1000+ Riddles with Answers
Afya na Ustawi wa Wanaume
Afya na Ustawi wa Wanawake
Afya ya Akili na Ustawi
Afya ya Mwili na Mazoezi
All you need to Know About Virgin Mary Mother of God Jesus Christ
Amazing Real African Stories
Best Christian Quotes to Support your Faith
Best Health and Wellness Improvement Tips
Business and Entrepreneurship Secrets
Business Innovations Development Secrets
Business Planning and Strategic Management Tips
Career Development and Success Techniques
Chemsha Bongo: Maswali na Majibu
Christian Articles to Build your Faith
Christian Reflections to Build your Faith
Christian Teachings to Strengthen Your Faith
Climate and Environment
Communication and Interpersonal Skills Techniques
Community and Social Development
Decision Making and Problem Solving Strategies
Detailed Elaboration of Global Contemporary Issues
Dhana ya Muungano wa Mataifa ya Afrika: Mikakati ya Kuunda "United States of Africa"
Digital Marketing Tips
Disease Prevention and Management
Dondoo za Mapishi na Lishe
Dondoo za Urembo na Mitindo
Emotional Well-being Techniques
Entrepreneurship Development: Secrets of Becoming a Successful Entrepreneur
Fahamu kwa Undani Kuhusu Bikira Maria: Mama wa Yesu Kristo na Mama wa Mungu
Family/Parenting, Love and Relationship Techniques
Finance and Money Matters Techniques
Financial Management and Wealth Creation Tips
Financial Management Tips for Your Business
Fitness and Exercise
Funny Questions with answers
Global Cooperation for Peace and Unity
Global Poverty Alleviation and Sustainable Development
Global Sustainable Resources Utilization and Environment Conservation
Hadithi nzuri za Mafundisho kwa Ajili ya Watoto
Hadithi za Kiswahili: Historia, Mapenzi na Maisha
Hadithi za Kusisimua za Matukio ya Kweli ya Kihistoria
Hadithi za Kusisimua: Hadithi za Biblia
Hali ya Hewa na Mazingira
Health and Lifestyle Tips and Techniques
Healthy Aging and Longevity
Healthy Cooking and Meal Preparation
Healthy Habits and Behavior Change
Ifahamu Huruma ya Mungu
Injili na Mafundisho ya Yesu
Inspiring Historical Stories From all Over the World
Inspiring Stories From All Over the World
International Relations and Cooperation
Intimacy and Connection Building Tips
Jinsi ya Kuboresha namna Unavyowasiliana: Ujuzi wa Mawasiliano
Jinsi ya Kujijengea Mtazamo na Fikra Chanya
Kujenga Jamii na MIji Endelevu
Kupunguza Umaskini na Maendeleo Endelevu
Kuvunjika kwa Mahusiano ya Mapenzi: Kuvunjika na Uponyaji
Kuzuia na Usimamizi wa Magonjwa
Lishe na Ulaji wa Afya
Maendeleo ya Jamii na Kijami
Mafundisho Makuu ya Dini: Makala za Dini
Mafundisho Makuu ya Upendo Wa Kipekee Wa Mungu
Mafundisho ya Katekisimu
Mafundisho ya Msingi ya Kanisa Katoliki: Makala za Katoliki
Mafundisho ya Nguvu ya Damu ya Yesu
Mahusiano ya Kimataifa na Ushirikiano
Maintenance of Spirituality and Inner Peace
Makala za Tafakari Kwa Wakatoliki
Malezi na Afya ya Familia
Mambo Muhimu ya Msingi Unayopaswa Kufahamu Kuhusu Afrika
Mambo ya Sasa ya Amerika ya Kaskazini na Kusini
Management of African Natural Resources for African Economic Development
Masomo ya Misa ya Kanisa Katoliki
Mastering Leadership and Human Resources Management
Matumizi Endelevu ya Rasilimali na Uhifadhi wa Mazingira
Mbinu za Kilimo na Ufugaji Kukuongezea Mapato
Mbinu za Kubadilisha Mfumo wa Mawazo na Kujenga Tabia Chanya ya Waafrika
Mbinu za Kuboresha Afya na Ustawi wako Binafsi
Mbinu za Kuboresha Afya ya Kihisia Katika Mahusiano
Mbinu za Kufanya Maamuzi na Kutatua Matatizo: Uamuzi na Ushughulikiaji wa Matatizo
Mbinu za Kujengea Afrika na Waafrika Uhuru na Uwezo wa Kujitegemea
Mbinu za Kukufanya Uwe Mjasiriamali Mwenye Mafanikio: Maendeleo ya Ujasiriamali
Mbinu za kukuza Ujasiri wa Kibinafsi na Heshima ya Kujiamini
Mbinu za Kuongeza Ukaribu na Ushirikiano
Mbinu za Kupangilia Biashara na Usimamizi Mkakati
Mbinu za Kusimamia Pesa na Mambo ya Kifedha kwenye Mahusiano
Mbinu za Kutunza Familia na Malezi ya Watoto
Mbinu za Kuwa na Maendeleo ya Kazi na Mafanikio
Mbinu za kuwa na Maisha Mazuri ya Kikristo
Mbinu za kuwa na Misingi imara ya Upendo na Mapenzi
Mbinu za Mauzo na Masoko Kuboresha Biashara Yako
Mbinu za Mawasiliano na Ujuzi wa Mahusiano
Mbinu za Ubunifu Katika Biashara na Maisha: Maendeleo ya Ubunifu
Mbinu za Ujasiriamali na Biashara Kufanya tofauti
Mbinu za Uongozi na Ushawishi
Mbinu za Uongozi na Usimamizi wa Rasilimali Watu
Mbinu za Usimamizi wa Fedha Katika Biashara
Mbinu za Utatuzi wa Migogoro
Mbinu za Uwezo wa Kihisia na Ujuzi wa Kujitambua
Meditation and Yoga
Men’s Health and Wellness
Mental Health and Well-being
Methali za Kiswahili na Maana zake
Mikakati ya Uhifadhi wa Utamaduni na Urithi wa Kiafrika
Mipango na Mikakati ya Usimamizi wa Maliasili za Afrika
Misemo ya AckySHINE
Misingi ya Ndoa Yenye Mafanikio: Ndoa na Kujitolea
Nguvu na Uwezo wa Roho Mtakatifu
Njia za Kujenga Udini na Amani Yako ya Ndani
North and South America Contemporary Issues
Nukuu ya Mistari ya Biblia
Nukuu za Dini
Nutrition and Healthy Eating
Parenting and Family Health
Pembejeo Bora za Kilimo: Bidhaa za Kilimo
Personal Development Strategies and Tips
Promotion of Good Governance and Management of Social Services
Promotion of Sustainable Cities and Communities
Recommended African Development Strategies for Building Independent and Self Reliance Africa Community
Recommended Beauty and Fashion Tips
Recommended Christian Daily Readings
Recommended Conflict Resolution Tips
Recommended Emotional Intelligence and Self-Awareness Tips
Recommended Family and Parenting Techniques
Recommended Leadership and Influence Techniques
Recommended Relationships and Social Skills Techniques
Recommended Strategies for Preservation of African Culture and Heritage
Recommended Technique to Build Self-Confidence and Self-Esteem
Relationship Breakups and Healing Tips
Sala za Katoliki: Sala Muhimu Kwa Mkristu Mkatoliki
Sales and Marketing Tips for Your Business
Sayansi, Teknolojia, na Ubunifu
Science, Technology and Innovation
Selected Christian Prayers to Support your Prayer Life
Shine Ads
Siri ya kuwa na Familia Nzuri ya Kikristo
Siri za Familia, Mapenzi na Mahusiano
Siri za Kuwa na Afya Bora na Utimamu
Siri za Mahusiano Bora na Ujuzi wa Mambo ya Kijamii
Siri za Nguvu ya Jina la Yesu
Siri za Usimamizi wa Fedha na Utengenezaji wa Utajiri
SMS za AckySHINE: SMS Nzuri za Mapenzi na Mahaba Kwa Mpenzi Wako
Special Dedications: 1000+ SMS Messages to Build your Love Life
Stadi za Maisha: Mbinu za Maisha ya Kipekee
Strategies on Changing Mentality and Building Positive Mindset
Strategies to Strengthen your Marriage and Build Commitment
Strategies to Unite Africa: Building a Better World for African Community
Strategies Towards Formation Of The United States Of Africa
sw-picha
Tabia Njema za Afya na Badiliko la Mwenendo
Tafakari ya Kina na Yoga
The Best Love and Romance Techniques
Tips to Develop Positive Mindset and Positive Thinking
Ujana na Makuzi | Mapenzi na Ngono Salama
Ukombozi kutoka Utumwa Wa Dhambi na Shetani
Umoja na Ushirikiano wa Jumuiya ya Kanisa
Umoja wa Afrika: Mikakati ya Kuunganisha nchi na Watu wa Afrika
Understanding African Development: All You Need to Know About Africa
Understanding Communication Skills and Technics
Upishi na Maandalizi ya Milo yenye Afya
Usawa wa Kazi na Maisha
Ushirikiano wa Kimataifa kwa Amani na Umoja
Usimamizi wa Uzito na Taswira ya Mwili
Utawala Bora na Usimamizi wa Huduma za Kijamii
Uzee Mwema na Maisha Marefu
Vichekesho vipya 1000+: Vichekesho vya AckySHINE
Videos in English
Videos za Kiswahili
Weight Management and Body Image
Women’s Health and Wellness
Work-Life Balance
Yafahamu kwa Undani Mambo ya Sasa ya Kimataifa
Melkisedeck Leon Shine

Editor: Melkisedeck Leon Shine. About Me | Contact Me | LinkedIn | TikTok | WhatsApp

Read and Write Comments

Views: 0

Leave a Comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Shopping Cart