Namna pekee ya kuwa na Amani ni kuishi Mapenzi ya Mungu,
Kwa njia hii Moyo wako hautafadhaika, hautayumbishwa na hautajuta kwa kuwa utakua upo katika njia ya Mungu na njia ya Mungu haina Majuto kwa kuwa ni njema.
Njia zetu zinakua na Majuto kwa sababu hazifuati mapenzi njia na matakwa ya Mungu.
Editor: Melkisedeck Leon Shine. About Me | Contact Me | LinkedIn | TikTok | WhatsApp
Read and Write CommentsViews: 0