Tafakari Kuhusu Wakati wa Shida
Leo tunatafakari kuhusu wakati wa shida. Maisha ya mtu yanabadilika wakati wowote kwa namna yoyote. Yanaweza yakawa mazuri mpaka ukashangaa au yanaweza yasiwe mazuri kama unavyotarajia. Yote hayo ni sehemu ya maisha.
“Nimejifunza kuwa na kuridhika na hali yoyote niliyo nayo. Najua jinsi ya kuwa na hali duni, najua jinsi ya kuwa na hali ya wingi. Katika hali zote na mambo yote, nimefundishwa jinsi ya kushiba na jinsi ya kuwa na njaa, jinsi ya kuwa na wingi na jinsi ya kupungukiwa.” (Wafilipi 4:11-12)
Kumbuka Wakati wa Matatizo
Unapokua na matatizo makubwa katika maisha, kumbuka haya yafuatayo:
1. Mungu Yupo na Anakuona
Mungu yupo na anakuona. Mwambie matatizo yako, huo ndio wakati wake wa kuonyesha uwepo wake na nguvu zake. Wewe tu kusema na Mungu kwa utayari na uwazi, hivyo utakao kuwezesha kupata au kutatua tatizo lako.
“Naomba BWANA akujibu siku ya dhiki, jina la Mungu wa Yakobo likuinue.” (Zaburi 20:1)
“Mchungueni Bwana na nguvu zake, utafuteni uso wake siku zote.” (1 Mambo ya Nyakati 16:11)
“Bwana ni ngome yao katika wakati wa shida.” (Zaburi 37:39)
2. Matendo na Maamuzi Yako
Maneno, vitendo, na maamuzi yako ndiyo yanaweza yakawa njia ya kutatua matatizo yako. Usiogope kuchukua hatua zinazohitajika. Tafuta hekima na uongozi kutoka kwa Mungu katika kila hatua unayochukua.
“Yehova atakuelekeza siku zote, na kukusibisha katika nchi yenye ukame, na kukuimarisha mifupa yako. Utakuwa kama bustani iliyomwagiliwa, na kama chemchemi ya maji ambayo maji yake hayatapungua.” (Isaya 58:11)
“Mtumaini Bwana kwa moyo wako wote, wala usizitegemee akili zako mwenyewe. Katika njia zako zote mkiri yeye, naye atayanyosha mapito yako.” (Mithali 3:5-6)
“Nawafundisha njia iliyo njema na adili; msiiachilie sheria yangu.” (Mithali 4:11-13)
3. Matatizo Hayako Sio Mwisho wa Maisha
Tatizo lako sio mwisho wa maisha yako, sio mwisho wa yote mazuri ya jana, leo, na kesho. Bado unayo mambo mengi mazuri yanakungojea. Mungu anapanga mambo mazuri kwa ajili ya wale wanaompenda na kumtumainia.
“Maana ninajua mipango niliyo nayo kwa ajili yenu, asema Bwana, ni mipango ya amani na si ya mabaya, ili niwape tumaini katika siku zenu za usoni.” (Yeremia 29:11)
“Na tusiache kutenda mema, kwa maana tutavuna kwa wakati wake tusipozimia roho.” (Wagalatia 6:9)
“Bwana atakamilisha mambo yangu; Ee Bwana, fadhili zako ni za milele; usiache kazi ya mikono yako.” (Zaburi 138:8)
4. Uangalizi wa Tatizo
Kumbuka tatizo lako linaweza likawa sio kubwa ila wewe ndio unaliona kubwa. Wewe sio wa kwanza kuwa na tatizo kama hilo, wengine hayo ndo maisha yao. Angalia kwa mtazamo wa matumaini na uombe hekima ya Mungu ili uweze kuona njia ya kutoka kwenye tatizo lako.
“Mkipungukiwa na hekima, na aombe kwa Mungu, naye atampa kwa ukarimu wala hachukii.” (Yakobo 1:5)
“Kwa hiyo hatulegei; bali ijapokuwa utu wetu wa nje unachakaa, lakini utu wetu wa ndani unafanywa upya siku kwa siku.” (2 Wakorintho 4:16)
“Nayaweza mambo yote katika yeye anitiaye nguvu.” (Wafilipi 4:13)
Kwa hivyo, wakati wa shida, ni muhimu kujikumbusha kwamba Mungu yupo, anakusikiliza, na yupo tayari kukusaidia. Usiache matumaini, endelea kuamini na kutenda kwa hekima na imani, ukijua kwamba matatizo yako ni sehemu ya safari yako ya kiroho na Mungu anapanga mazuri mbele yako.
Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika
Nguvu hutoka kwa Bwana
Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia
Katika imani, yote yanawezekana
Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia
Mungu ni mwema, wakati wote!
Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu
Endelea kuwa na imani!
Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha
Bwana yuko karibu na wote wanaomwita
Katika imani, yote yanawezekana
Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
Bwana yuko karibu na wote wanaomwita
Rehema zake hudumu milele
Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao
Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu
Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe
Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi
Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu
Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni
Mwamini Bwana; anajua njia
Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako
Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha
Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake
Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini
Ahadi za Mungu ni za kweli daima
Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia
Upendo wa Mungu haukosei kamwe.
Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi
Neema ya Mungu inatosha kwako
Hauko peke yako; Mungu yuko nawe
Mwamini katika mpango wake.
Neema na amani iwe nawe.
Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao
Tumaini ni nanga ya roho
Nakuombea 🙏
Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe
Imani inaweza kusogeza milima
Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia
Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako
Kwa Mungu, yote yanawezekana
Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine
Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
Neema ya Mungu inatosha kwako
Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini
Nguvu hutoka kwa Bwana
Rehema hushinda hukumu
Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia
Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe
Upendo wa Mungu haukosei kamwe.
Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika
Neema na amani iwe nawe.
Imani inaweza kusogeza milima
Mwamini Bwana; anajua njia
Hauko peke yako; Mungu yuko nawe
Nakuombea 🙏
Rehema hushinda hukumu
Dumu katika Bwana.
Kwa Mungu, yote yanawezekana
Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu
Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine
Mwamini katika mpango wake.
Mungu akubariki!
Tembea kwa imani, si kwa kuona
Dumu katika Bwana.
Wakati wa Mungu ni kamilifu
Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe
Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote
Endelea kuwa na imani!
Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote
Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni
Rehema zake hudumu milele
Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako
Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu
Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia
Sifa kwa Bwana!
Tumaini ni nanga ya roho
Ahadi za Mungu ni za kweli daima
Mungu ni mwema, wakati wote!
Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi
Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida
Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha
Baraka kwako na familia yako.
Tembea kwa imani, si kwa kuona
Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia
Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
Wakati wa Mungu ni kamilifu
Sifa kwa Bwana!
Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima
Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu
Baraka kwako na familia yako.
Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia
Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako
Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake
Mungu akubariki!