Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

SALA YA MATUMAINI

Featured Image

Mungu wangu,

natumaini kwako nitapewa kwa njia ya Yesu Kristu,

neema zako duniani na utukufu mbinguni,

kwani ndiwe uliyeagana hayo nasi,

nawe mwamini. Amina

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Anna Mahiga (Guest) on August 24, 2017

πŸ™βœ¨πŸ’– Mungu atajibu maombi yako

Joyce Mussa (Guest) on June 19, 2017

πŸ™πŸ’–πŸ’« Mungu ni mwema

Violet Mumo (Guest) on March 8, 2017

Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao

Mary Sokoine (Guest) on March 1, 2017

Mwamini Bwana; anajua njia

Faith Kariuki (Guest) on February 19, 2017

πŸ™β€οΈ Mungu ni mkombozi

David Musyoka (Guest) on February 10, 2017

Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha

Esther Nyambura (Guest) on December 1, 2016

πŸ™βœ¨ Neema ya Mungu iwe nawe

Joseph Kiwanga (Guest) on November 30, 2016

πŸ™πŸŒŸ Namuomba Mungu akupiganie

Andrew Mchome (Guest) on October 10, 2016

Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia

Peter Tibaijuka (Guest) on June 7, 2016

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Sarah Achieng (Guest) on June 3, 2016

πŸ™β€οΈβœ¨ Mungu akujalie furaha

Mariam Kawawa (Guest) on May 18, 2016

Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi

David Ochieng (Guest) on April 28, 2016

Mwamini katika mpango wake.

Lydia Wanyama (Guest) on February 21, 2016

Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako

John Lissu (Guest) on February 14, 2016

Imani inaweza kusogeza milima

Moses Kipkemboi (Guest) on December 21, 2015

Neema na amani iwe nawe.

Francis Njeru (Guest) on December 16, 2015

Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu

Jacob Kiplangat (Guest) on October 31, 2015

πŸ™β€οΈπŸŒŸ Asante Mungu kwa uhai

Victor Kamau (Guest) on September 11, 2015

πŸ™βœ¨β€οΈ Tumwombe Mungu kila siku

John Lissu (Guest) on June 24, 2015

πŸ™β€οΈπŸ’– Bwana akujalie baraka

Alice Wanjiru (Guest) on May 31, 2015

Katika imani, yote yanawezekana

George Mallya (Guest) on May 24, 2015

πŸ™πŸ’– Mungu wetu asifiwe

Joseph Kawawa (Guest) on May 8, 2015

Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia

Related Posts

Sala ya Medali ya Mwujiza

Sala ya Medali ya Mwujiza

Ee Bikira Maria uliyekingiwa dhambi ya asili, utuombee sisi wenye kukimbilia kwako, uwaombee na w... Read More

Sala fupi ya Asubuhi

Sala fupi ya Asubuhi

Tuusifu Utatu Mtakatifu wa Mungu Mwenyezi, Baba, Mwana na Roho Mtakatifu, milele na milele, Amina... Read More

Malkia wa Mbingu

Malkia wa Mbingu

Malkia wa mbingu, furahi, aleluya. Kwani uliyestahili kumchukua, Aleluya. Amefufuka alivyosema, A... Read More

Kumbuka ee Bikira Mwenye Rehema

Kumbuka ee Bikira Mwenye Rehema

Read More

SALA ZA IBADA KWA BIKIRA MARIA WA MATESO

SALA ZA IBADA KWA BIKIRA MARIA WA MATESO

ROZARI YA MATESO SABA YA BIKIRA MARIA

Tumia Rozari ya Mateso Saba ya Bikira Maria iliyo ... Read More

ROSARI YA BIKIRA MARIA MAMA WA MSAADA WA DAIMA

ROSARI YA BIKIRA MARIA MAMA WA MSAADA WA DAIMA

Namna ya kusali Rozari kwa Bikira Maria Mama wa Msaada wa Daima

(Tumia rosari ya kawaida... Read More

LITANIA YA BIKIRA MARIA MAMA WA MATESO

LITANIA YA BIKIRA MARIA MAMA WA MATESO

Bwana utuhurumie Bwana utuhurumie
Kristo utuhurumie Bwana utuhurumie
Bwana utuhurumie B... Read More

SALA MBELE YA KITI CHA ENZI CHA MUNGU

SALA MBELE YA KITI CHA ENZI CHA MUNGU

Sali Atukuzwe 7 kwa heshima ya Malaika 7 wateule ujipatie neema ya kuepa dhambi mbaya saba na kut... Read More

SALA MUHIMU ZA MKRISTO ZA KILA SIKU ASUBUHI

SALA MUHIMU ZA MKRISTO ZA KILA SIKU ASUBUHI

SALA YA ASUBUHI

Tuusifu Utatu Mtakatifu wa Mungu Mwenyezi, Baba, Mwana na Roho Mtakatifu,... Read More

Kanuni ya imani

Kanuni ya imani

Nasadiki kwa Mungu, Baba Mwenyezi,/ mwumba mbingu na dunia./ Na kwa Yesu Kristu, Mwanaye wa pekee... Read More

SALA YA UHAI KWA MT. YOSEFU

SALA YA UHAI KWA MT. YOSEFU

(Sala hii inafaa sana kwa ajili ya kutetea uhai wa watoto wachanga wakiwa tumboni mwa mama za... Read More

SALA KWA MALAIKA WAKO MLINZI

SALA KWA MALAIKA WAKO MLINZI

Malaika wa Mungu Mlinzi wangu mpenzi,
Ambaye upendo wake unanifanya niwepo hapa,
Uwe na... Read More