Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

SALA YA KUTUBU

Featured Image

Mungu wangu ninatubu sana, niliyokosa kwako, kwani ndiwe mwema, ndiwe mwenye kupendeza, wachukizwa na dhambi, basi sitaki kukosa tena, nitafanya kitubio, naomba neema yako nipate kurudi wkako. Amina.

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Jane Muthui (Guest) on April 8, 2018

πŸ™β€οΈπŸ’– Baraka za Mungu ziwe nawe

Monica Nyalandu (Guest) on January 13, 2018

Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako

Thomas Mtaki (Guest) on October 23, 2017

Katika imani, yote yanawezekana

Victor Malima (Guest) on April 11, 2017

πŸ™β€οΈ Mungu ni mlinzi wetu

Zainab (Guest) on March 9, 2017

πŸ™πŸ™πŸ™

Lucy Kimotho (Guest) on January 30, 2017

Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima

Kenneth Murithi (Guest) on January 15, 2017

Neema ya Mungu inatosha kwako

Josephine Nekesa (Guest) on January 6, 2017

Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu

Moses Mwita (Guest) on November 21, 2016

Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi

Lydia Mzindakaya (Guest) on September 2, 2016

Ahadi za Mungu ni za kweli daima

Elijah Mutua (Guest) on August 29, 2016

πŸ™β€οΈ Mungu ni mwaminifu

Joseph Kitine (Guest) on May 29, 2016

πŸ™βœ¨β€οΈ Tumwombe Mungu kila siku

Charles Mrope (Guest) on May 13, 2016

Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu

John Mwangi (Guest) on April 30, 2016

πŸ™β€οΈπŸ’– Tumshukuru Mungu kwa yote

Samuel Were (Guest) on April 25, 2016

Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida

Jane Malecela (Guest) on April 13, 2016

πŸ™β€οΈπŸŒŸ Asante Mungu kwa uhai

Grace Wairimu (Guest) on March 29, 2016

πŸ™βœ¨ Mungu atupe nguvu

Moses Kipkemboi (Guest) on January 21, 2016

Baraka kwako na familia yako.

Grace Minja (Guest) on January 18, 2016

Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika

Josephine Nekesa (Guest) on January 2, 2016

πŸ™πŸŒŸ Mungu alete amani

David Sokoine (Guest) on November 11, 2015

Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao

Agnes Sumaye (Guest) on August 19, 2015

πŸ™βœ¨πŸ’– Mungu atajibu maombi yako

Linda Karimi (Guest) on August 9, 2015

Dumu katika Bwana.

Related Posts

Litani ya Bikira Maria

Litani ya Bikira Maria

  • Bwana utuhurumie
  • Bwana utuhurumie
  • Kristo utuhurumie
  • Bwana utuhurumie... Read More
LITANIA YA KUWAOMBEA MAPADRE WOTE II

LITANIA YA KUWAOMBEA MAPADRE WOTE II

Kwa ajili ya Baba Mtakatifu wetu ..(N); Bwana, umpe moyo wako wa uchungaji ... Read More

Sala za kuheshimu Damu Takatifu ya Yesu

Sala za kuheshimu Damu Takatifu ya Yesu

Tusali kila siku sala hizi, angalau kwa mwezi wa saba (Julai) kila mwaka, mwezi wa kuhesh... Read More

Sala ya Asubuhi ya kila siku

Sala ya Asubuhi ya kila siku

Kwa jina la Baba….. Ee Baba yetu Mungu mkuu,umenilinda usiku huu. Nakushukuru kwa moyo, ee Baba,M... Read More
ROZARI, MATENDO NA LITANI YA MAMA BIKIRA MARIA

ROZARI, MATENDO NA LITANI YA MAMA BIKIRA MARIA

Read More
Kuweka nia njema

Kuweka nia njema

Kumheshimu Mungu wangu, Namtolea roho yangu, Nifanye kazi nipumzike, Amri zake tu nishike, Wazo n... Read More

Majitoleo ya Asubuhi

Majitoleo ya Asubuhi

Ee Baba yetu Mungu Mkuu, Umenilinda usiku huu, Ninakushukuru kwa moyo, Ee Baba, Mwana na Roho, Ni... Read More

SALA YA MTAKATIFU INYASI

SALA YA MTAKATIFU INYASI

Roho ya Kristo unitakase
Mwili wa Kristo uniokoe
Damu ya Kristo unifurahishe
Maji ... Read More

Sala ya Medali ya Mwujiza

Sala ya Medali ya Mwujiza

Ee Bikira Maria uliyekingiwa dhambi ya asili, utuombee sisi wenye kukimbilia kwako, uwaombee na w... Read More

NOVENA YA ROHO MTAKATIFU KWA SIKU ZOTE TISA

NOVENA YA ROHO MTAKATIFU KWA SIKU ZOTE TISA

Ufuatao ni mtiririko wa Novena ya Roho Mtakatifu kwa siku zote tisa.

Kusali nov... Read More

Sala fupi ya Asubuhi

Sala fupi ya Asubuhi

Tuusifu Utatu Mtakatifu wa Mungu Mwenyezi, Baba, Mwana na Roho Mtakatifu, milele na milele, Amina... Read More

Kanuni ya imani

Kanuni ya imani

Nasadiki kwa Mungu, Baba Mwenyezi,/ mwumba mbingu na dunia./ Na kwa Yesu Kristu, Mwanaye wa pekee... Read More