SALA YA KUTUBU
Date: January 1, 2017
Author: DIN - Melkisedeck Leon Shine
Mungu wangu ninatubu sana, niliyokosa kwako, kwani ndiwe mwema, ndiwe mwenye kupendeza, wachukizwa na dhambi, basi sitaki kukosa tena, nitafanya kitubio, naomba neema yako nipate kurudi wkako. Amina.
Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.
Related Posts
- Bwana utuhurumie
- Bwana utuhurumie
- Kristo utuhurumie
- Bwana utuhurumie...
Read More
Kwa ajili ya Baba Mtakatifu wetu ..(N); Bwana, umpe moyo wako wa uchungaji ...
Read More
Tusali kila siku sala hizi, angalau kwa mwezi wa saba (Julai) kila mwaka, mwezi wa kuhesh...
Read More
Kwa jina la Babaβ¦..
Ee Baba yetu Mungu mkuu,umenilinda usiku huu.
Nakushukuru kwa moyo, ee Baba,M...
Read More
Read More
Kumheshimu Mungu wangu, Namtolea roho yangu, Nifanye kazi nipumzike, Amri zake tu nishike, Wazo n...
Read More
Ee Baba yetu Mungu Mkuu, Umenilinda usiku huu, Ninakushukuru kwa moyo, Ee Baba, Mwana na Roho, Ni...
Read More
Roho ya Kristo unitakase
Mwili wa Kristo uniokoe
Damu ya Kristo unifurahishe
Maji ...
Read More
Ee Bikira Maria uliyekingiwa dhambi ya asili, utuombee sisi wenye kukimbilia kwako, uwaombee na w...
Read More
Ufuatao ni mtiririko wa Novena ya Roho Mtakatifu kwa siku zote tisa.
Kusali nov...
Read More
Tuusifu Utatu Mtakatifu wa Mungu Mwenyezi, Baba, Mwana na Roho Mtakatifu, milele na milele, Amina...
Read More
Nasadiki kwa Mungu, Baba Mwenyezi,/ mwumba mbingu na dunia./ Na kwa Yesu Kristu, Mwanaye wa pekee...
Read More
Jane Muthui (Guest) on April 8, 2018
πβ€οΈπ Baraka za Mungu ziwe nawe
Monica Nyalandu (Guest) on January 13, 2018
Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako
Thomas Mtaki (Guest) on October 23, 2017
Katika imani, yote yanawezekana
Victor Malima (Guest) on April 11, 2017
πβ€οΈ Mungu ni mlinzi wetu
Zainab (Guest) on March 9, 2017
πππ
Lucy Kimotho (Guest) on January 30, 2017
Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima
Kenneth Murithi (Guest) on January 15, 2017
Neema ya Mungu inatosha kwako
Josephine Nekesa (Guest) on January 6, 2017
Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu
Moses Mwita (Guest) on November 21, 2016
Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi
Lydia Mzindakaya (Guest) on September 2, 2016
Ahadi za Mungu ni za kweli daima
Elijah Mutua (Guest) on August 29, 2016
πβ€οΈ Mungu ni mwaminifu
Joseph Kitine (Guest) on May 29, 2016
πβ¨β€οΈ Tumwombe Mungu kila siku
Charles Mrope (Guest) on May 13, 2016
Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu
John Mwangi (Guest) on April 30, 2016
πβ€οΈπ Tumshukuru Mungu kwa yote
Samuel Were (Guest) on April 25, 2016
Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida
Jane Malecela (Guest) on April 13, 2016
πβ€οΈπ Asante Mungu kwa uhai
Grace Wairimu (Guest) on March 29, 2016
πβ¨ Mungu atupe nguvu
Moses Kipkemboi (Guest) on January 21, 2016
Baraka kwako na familia yako.
Grace Minja (Guest) on January 18, 2016
Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika
Josephine Nekesa (Guest) on January 2, 2016
ππ Mungu alete amani
David Sokoine (Guest) on November 11, 2015
Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao
Agnes Sumaye (Guest) on August 19, 2015
πβ¨π Mungu atajibu maombi yako
Linda Karimi (Guest) on August 9, 2015
Dumu katika Bwana.