Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

SALA YA MTU ALIYEKABILIWA NA MATATIZO MBALIMBALI

Featured Image

Ewe Mtakatifu Yuda Tadei,/ mtume mtukufu na shahidi wa Kristo,/ umesifika pote kwa wepesi wako wa kutoa misaada/ kwa wanaokukimbilia katika matatizo yao mazito./ Pia ni mwombezi wa waliopondeka moyo./

Mimi ni mmoja wa hao./ Nakujia na moyo uliojaa shida na matatizo./ Nakusihi kwa moyo wote/ unisaidie kwa maombezi yako yenye nguvu/ kufikia utatuzi unaofaa kadiri ya mapenzi ya Mungu./ Maisha yangu yamejaa misalaba,/ siku kwa siku matatizo hayapungui./ Moyo wangu umekuwa bahari ya siki chungu sana./ Mapito yangu nayaona yamejaa miiba mikali./ Roho yangu imezama katika dimbwi la machozi na kite./ Nafsi yangu imezingirwa na giza nene./ Ghasia na kukatishwa tamaa ya kuishi/ hunyemelea roho yangu./ Maongozi ya Mungu na imani naviona vinanitoka kidogo kwa kidogo./

Nikielemewa na mawazo kama hayo/ najikuta sina nguvu za kuishi,/ na maisha kwangu ni msalaba mzito/ ninaouogopa hata kuunyakua./ Wewe unaweza kabisa kunitoa katika balaa hili./ Sitaacha kukusihi/ hadi hapo utakaponisaidia/ au kunijulisha mapenzi ya Mungu kwangu./ Natangulia kutoa shukrani kwa jibu liwalo lote.

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Elijah Mutua (Guest) on July 22, 2024

Rehema zake hudumu milele

Ann Awino (Guest) on May 8, 2024

πŸ™πŸ’– Mungu wetu asifiwe

David Chacha (Guest) on March 26, 2024

πŸ™βœ¨β€οΈ Neema za Mungu zikufunike

Betty Kimaro (Guest) on January 26, 2024

πŸ™β€οΈ Mungu ni mkombozi

David Sokoine (Guest) on October 8, 2023

πŸ™πŸ’–πŸ’« Mungu ni mwema

Nancy Kabura (Guest) on August 29, 2023

πŸ™β€οΈπŸŒŸ Asante Mungu kwa uhai

Mary Kidata (Guest) on August 26, 2023

Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako

Rose Waithera (Guest) on April 17, 2023

πŸ™β€οΈ Mungu ni mlinzi wetu

Alex Nyamweya (Guest) on March 9, 2023

Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu

Jane Muthoni (Guest) on January 20, 2023

Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako

Ann Awino (Guest) on January 12, 2023

πŸ™πŸ’–βœ¨ Neema yako ni ya kutosha

Betty Cheruiyot (Guest) on January 2, 2023

πŸ™β€οΈ Mungu ni mwaminifu

Grace Majaliwa (Guest) on November 15, 2022

πŸ™πŸ’– Asante kwa neema zako Mungu

David Nyerere (Guest) on August 1, 2022

Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia

Grace Mligo (Guest) on June 27, 2022

Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika

Janet Wambura (Guest) on May 27, 2022

Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe

Esther Cheruiyot (Guest) on May 26, 2022

Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia

Mercy Atieno (Guest) on May 14, 2022

πŸ™βœ¨πŸ’– Mungu atajibu maombi yako

Joy Wacera (Guest) on December 1, 2021

Nakuombea πŸ™

Charles Mboje (Guest) on November 29, 2021

πŸ™πŸŒŸ Mbarikiwe sana

Kevin Maina (Guest) on November 18, 2021

Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha

Linda Karimi (Guest) on August 30, 2021

Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu

Alice Mrema (Guest) on July 17, 2021

Baraka kwako na familia yako.

Ann Awino (Guest) on May 7, 2021

πŸ™πŸ™πŸ™

Patrick Kidata (Guest) on May 4, 2021

Endelea kuwa na imani!

Janet Mbithe (Guest) on April 19, 2021

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Catherine Mkumbo (Guest) on January 26, 2021

Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine

Alex Nyamweya (Guest) on January 12, 2021

πŸ™βœ¨ Mungu atakuinua

Grace Majaliwa (Guest) on December 29, 2020

Tembea kwa imani, si kwa kuona

Michael Mboya (Guest) on December 13, 2020

Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia

Philip Nyaga (Guest) on November 22, 2020

πŸ™πŸ’– Nakushukuru Mungu

John Malisa (Guest) on October 23, 2020

Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao

Sharon Kibiru (Guest) on October 23, 2020

Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake

Kevin Maina (Guest) on September 29, 2020

πŸ™πŸŒŸβ€οΈ Nakuombea heri

Victor Mwalimu (Guest) on March 14, 2020

πŸ™β€οΈπŸ’– Tumshukuru Mungu kwa yote

Grace Njuguna (Guest) on December 25, 2019

Amina

David Ochieng (Guest) on October 20, 2019

Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia

George Mallya (Guest) on September 12, 2019

Neema na amani iwe nawe.

Lucy Kimotho (Guest) on September 1, 2019

Sifa kwa Bwana!

Mary Kidata (Guest) on August 29, 2019

Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida

Victor Kimario (Guest) on August 18, 2019

πŸ™πŸ™πŸ™

Faith Kariuki (Guest) on July 17, 2019

Rehema hushinda hukumu

Anna Mahiga (Guest) on May 25, 2019

πŸ™β€οΈπŸ’– Baraka za Mungu ziwe nawe

Henry Sokoine (Guest) on April 13, 2019

Imani inaweza kusogeza milima

Samuel Omondi (Guest) on April 5, 2019

Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu

Mariam Kawawa (Guest) on April 1, 2019

Kwa Mungu, yote yanawezekana

Victor Malima (Guest) on March 20, 2019

πŸ™βœ¨β€οΈ Tumwombe Mungu kila siku

Edward Lowassa (Guest) on February 2, 2019

πŸ™β€οΈ Mungu akubariki

Betty Akinyi (Guest) on January 29, 2019

Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni

Brian Karanja (Guest) on January 6, 2019

Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima

Josephine Nduta (Guest) on January 2, 2019

πŸ™βœ¨ Neema ya Mungu iwe nawe

Andrew Mahiga (Guest) on November 4, 2018

Hauko peke yako; Mungu yuko nawe

Miriam Mchome (Guest) on July 14, 2018

Mungu akubariki!

Joseph Njoroge (Guest) on June 16, 2018

πŸ™β€οΈβœ¨ Asante Mungu kwa kila kitu

Victor Sokoine (Guest) on April 15, 2018

Dumu katika Bwana.

Agnes Sumaye (Guest) on April 7, 2018

Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe

Joseph Kitine (Guest) on February 4, 2018

Ahadi za Mungu ni za kweli daima

George Wanjala (Guest) on December 18, 2017

Mungu ni mwema, wakati wote!

David Sokoine (Guest) on November 19, 2017

Bwana yuko karibu na wote wanaomwita

Nancy Akumu (Guest) on September 26, 2017

Upendo wa Mungu haukosei kamwe.

Related Posts

ROZARI, MATENDO NA LITANI YA MAMA BIKIRA MARIA

ROZARI, MATENDO NA LITANI YA MAMA BIKIRA MARIA

Read More
SALA KWA MTAKATIFU MIKAELI MALAIKA MKUU

SALA KWA MTAKATIFU MIKAELI MALAIKA MKUU

Mtakatifu Mikaeli Malaika Mkuu, utulinde katika vita, uwe kinga yetu katika maovu na maoteo ya sh... Read More

Novena ya Noeli

Novena ya Noeli

Novena ya Noeli (maarufu kama novena ya Mt. Andrea)

Husaliwa kuanzia tar 30 Nov hadi usiku ... Read More

SALA YA KUOMBEA FAMILIA

SALA YA KUOMBEA FAMILIA

Ewe Mungu Mwenyezi, sisi kama familia tunakushukuru kwa zawadi ya Mama Kanisa Katoliki ambaye sik... Read More

Sala fupi ya Asubuhi

Sala fupi ya Asubuhi

Tuusifu Utatu Mtakatifu wa Mungu Mwenyezi, Baba, Mwana na Roho Mtakatifu, milele na milele, Amina... Read More

Sala kwa wenye kuzimia

Sala kwa wenye kuzimia

Ee Yesu mwenye huruma, mpenda roho za watu, nakuomba kwa ajili ya kuzimia kwa Moyo wako Mtakatifu... Read More

ROZARI YA MATESO SABA YA BIKIRA MARIA

ROZARI YA MATESO SABA YA BIKIRA MARIA

Tumia Rozari ya Mateso Saba ya Bikira Maria iliyo na mafungu 7 yaani mateso 7 yenye Salamu Maria... Read More

ROZARI YA MOYO MTAKATIFU WA YESU

ROZARI YA MOYO MTAKATIFU WA YESU

Tumia tasbihi ya kawaida yenye chembe ndogo 53.

Kwenye Msalaba Sali:

... Read More
Sala ya Saa Tisa

Sala ya Saa Tisa

✝⌚✝

Sala ya saa tisaπŸ™πŸΎ

Kwa jina la Baba na la Mwana na la Roho Mtakatifu.... Read More

SALA YA MATUMAINI

SALA YA MATUMAINI

Mungu wangu,

natumaini kwako nitapewa kwa njia ya Yesu Kristu,

neema zako duniani na ... Read More

SALA KWA BIKIRA MARIA KATIKA UKIWA WAKE

SALA KWA BIKIRA MARIA KATIKA UKIWA WAKE

Nakusikitikia sana Mama Mtakatifu Maria kwa sababu ya ukiwa wako mkuu. Uchungu wako ulikuwa mkubw... Read More

Sala kwa Mtakatifu Yosefu

Sala kwa Mtakatifu Yosefu

Ee Yosef mwenye heri, tunakimbilia kwako, katika masumbuko yetu, na kishaomba shime ya Mchumba wa... Read More