Upendo na chuki havitangamani

Upendo wa kweli hauambatani na chuki. Huwezi kusema una Upendo wakati kuna watu wengine unawapenda na wengine unawachukia. Ni sawa na kusema kitambaa ni cheupe lakini kina madoa doa, maana yake sio cheupe.

50 thoughts on “Upendo na chuki havitangamani”

Leave a Reply to Margaret Mahiga Cancel Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Shopping Cart