Maisha ya kiroho yanahitaji Mipango (Strategy)

Kama yalivyo maisha ya kimwili, maisha ya kiroho pia yanahitaji mipango. Kila siku panga utafanya nini kiroho, mfano unaweza kupanga sala, kusaidia masikini, kuwa mpole au mwema. Vivyo hivyo kila wiki, kila mwezi na kila mwaka mpya panga cha kufanya kiroho naye Mungu atakubariki na kukupangia zaidi. Huwezi kufanikiwa kiroho kama hujui unafanya nini kiroho.

50 thoughts on “Maisha ya kiroho yanahitaji Mipango (Strategy)”

Leave a Reply to Henry Sokoine Cancel Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Shopping Cart