VIAMBAUPISHI
Unga 2 ½ gilasi
Sukari ¾ gilasi
Samli 1 gilasi
Mayai 2
Baking powder 2 kijiko vya chai
Vanilla 1 ½ kijiko cha chai
Maganda ya chungwa 1
MAPISHI
Tia kwenye machine ya kusagia (blender) mayai, sukari, vanilla, samli na maganda ya chungwa, saga vizuri.
Tia unga kwenye bakuli pamoja na baking powder, mimina vitu ulivyosaga kwenye bakuli, changanya.
Punguza unga uliochanganya kidogo weka pembeni.
Unga uliobakia tia kwenya tray ya kuchomeya, utandaze vizuri, tia jam juu yake.
Chukua la kukwaruzia carrot (grater) ukwaruze unga uliuopunguza juu ya jam.
Choma kwa muda dakika 20 moto wa 180 C.
Acha ipowe kidogo, zikate vipande vya mraba (square) Tayari kwa kula.
Editor: Melkisedeck Leon Shine. About Me | Contact Me | LinkedIn | TikTok | WhatsApp
Read and Write Comments
Recommended Posts
Mapishi ya Wali, samaki, bilinganya na spinach
Jinsi ya kutengeneza Keki Ya Mbegu Za Mchicha
Mapishi ya Wali Mweupe Kwa Mchuzi Wa Kuku Wa Balti
Mapishi ya Wali Wa Mboga Na Samaki Wa Pink Salmon
Jinsi ya kuandaa Vileja Vya Tambi
Jinsi ya kupika Biskuti Za Ufuta Na Jam
Mapishi ya Kachori
Mapishi ya Chai ya maziwa, mandazi, uyoga na mayai