VIAMBAUPISHI
Unga 6 Vikombe
Sukari ya kusaga 2 vikombe
Siagi 500 gm
Baking powder 1 Kijiko cha chai
Kastadi ½kikombe
MAPISHI
Koroga siagi na sukari katika mashine ya keki (cake mixer) mpaka iwe laini (creamy).
Mimina mchanganyiko uliopiga kwa mashine kwenye bakuli.
Tia unga na baking powder na Kastadi.
Kata usanifu (design) unaopenda halafu panga kwenye sahani ya kupikia (baking tray).
Pika (bake) katika oven moto wa 350° F kama muda wa dakika 15 hivi huku unazitazama tazama.
Editor: Melkisedeck Leon Shine. About Me | Contact Me | LinkedIn | TikTok | WhatsApp
Read and Write Comments
Recommended Posts
Jinsi ya kutengeneza Biskuti Za Tende Na Ufuta
MAPISHI YA LADU
Mapishi ya Ugali, dagaa (wabichi) na matembele
Upishi na Majani ya kijani: Vyakula Vyenye Virutubisho na Ladha Nzuri
Jinsi ya kupika Eggchop
Jinsi ya kutengeneza Biskuti Za Tangawizi
Mapishi ya Half cake (Keki)
Vidokezo vya kukusaidia ule mboga za majani zaidi