Mambo manne ambayo ni ya mwisho katika maisha ni;
- Kifo
- Hukumu
- Mbinguni
- Motoni
Mambo haya yote yanaweza kutokea wakati wowote bila kujua wala kutarajia
Kifo
Kifo ni kitu ambacho kinaweza kumpata mtu yeyote wa umri wowote awe mtoto kijana au mzee na kwa wakati wowote.
Maranyingi watu hawapendi kuongelea kuhusu kifo kwakua ni kitu ambacho kinampata kila mtu na hakipingiki wala hakina mjadala.
Maranyingi watu hawapendi kuongelea kuhusu kifo kwakua ni kitu ambacho kinampata kila mtu na hakipingiki wala hakina mjadala.
Hukumu
Baada ya kifo, inafuata hukumu, kila mtu atahukumiwa kulingana na matendo yake kama ulitenda mema utaenda mbinguni, na kama umetenda mabaya utaenda motoni.
Mbingu
Kama mtu akifa akiwa katika hali usafi wa moyo anaelekea mbinguni. Haijalishi ni kwa kipindi gani aliishi hivyo. Ila ni kwa hali gani kifo kilimkuta. Kwa sababu hii kila mtu anatakiwa aishi katika hali ya usafi wa moyo kwani hajui ni wakati gani atakutwa na kifo.
Motoni
Kama mtu akifa katika hali ya dhambi anaenda motoni. Kwa hiyo inatupasa tutumie vyema msamaa na huruma ya Mungu katika maisha yetu ili mwishi wetu uwe mzuri wakati bado tukiwa na muda.
Kila unapoishi ni lazima ufikirie mambo haya ukizingatia hujui wakati yanaweza kukupata. Kwa hiyo, nilazima uishi ukiwa unatafakari haya
ili uwe na mwisho mzuri.
ili uwe na mwisho mzuri.
Endelea kuwa na imani!
Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia
Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha
Tembea kwa imani, si kwa kuona
Upendo wa Mungu haukosei kamwe.
Rehema zake hudumu milele
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
Imani inaweza kusogeza milima
Neema ya Mungu inatosha kwako
Dumu katika Bwana.
Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu
Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako
Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu
Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima
Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine
Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia
Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia
Tumaini ni nanga ya roho
Katika imani, yote yanawezekana
Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini
Kwa Mungu, yote yanawezekana
Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote
Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia
Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha
Baraka kwako na familia yako.
Mwamini katika mpango wake.
Hauko peke yako; Mungu yuko nawe
Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi
Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe
Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe
Wakati wa Mungu ni kamilifu
Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu
Nakuombea 🙏
Mwamini Bwana; anajua njia
Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao
Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni
Bwana yuko karibu na wote wanaomwita
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
Mungu ni mwema, wakati wote!
Ahadi za Mungu ni za kweli daima
Sifa kwa Bwana!
Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake
Neema na amani iwe nawe.
Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi
Mungu akubariki!
Rehema hushinda hukumu
Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika
Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida
Nguvu hutoka kwa Bwana
Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako