Mungu aliumba Dunia kwa siku sita hatua kwa hatua kama ifuatavyo;
Siku ya kwanza
Mungu aliumba nuru, nuru ikawa mchana na giza usiku
Mungu aliumba nuru, nuru ikawa mchana na giza usiku
Siku ya pili
Mungu akaumba anga, anga likakaa juu na maji na ardhi vikawa chuini
Mungu akaumba anga, anga likakaa juu na maji na ardhi vikawa chuini
Siku ya tatu
Mungu akatenga maji na nchi kavu, maji yakawa bahari na nchi ikawa ardhi, akaoytesha mimea ya kila aina katika nchi
Siku ya nne
Mungu aliumba jua mwezi na nyota, jua liangaze mcana na mwezi na nyota ziangaze usiku.
Mungu aliumba jua mwezi na nyota, jua liangaze mcana na mwezi na nyota ziangaze usiku.
Siku ya tano
Mungu aliumba samaki na ndege
Mungu aliumba samaki na ndege
Siku ya sita
Mungu aliumba wanyama kisha akaumba mtu
Mungu aliumba ulimwengu ili adhihirishe utukufu wake na kutushirikisha wema, ukweli na uzuri wake.
Aidha Mungu aliumba ulimwengu kwa uwezo wake kwa kusema neno bila kutumia chochote. (Mwa. 1:1…)
Mungu akubariki!
Mwamini Bwana; anajua njia
Neema ya Mungu inatosha kwako
Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia
Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima
Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe
Rehema hushinda hukumu
Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida
Mwamini katika mpango wake.
Ahadi za Mungu ni za kweli daima
Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake
Endelea kuwa na imani!
Imani inaweza kusogeza milima
Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia
Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe
Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote
Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha
Bwana yuko karibu na wote wanaomwita
Wakati wa Mungu ni kamilifu
Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu
Kwa Mungu, yote yanawezekana
Tumaini ni nanga ya roho
Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini
Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha
Nakuombea 🙏
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika
Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu
Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni
Sifa kwa Bwana!
Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu
Tembea kwa imani, si kwa kuona
Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi
Neema na amani iwe nawe.
Nguvu hutoka kwa Bwana
Rehema zake hudumu milele
Upendo wa Mungu haukosei kamwe.
Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako
Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi
Katika imani, yote yanawezekana
Dumu katika Bwana.
Mungu ni mwema, wakati wote!
Hauko peke yako; Mungu yuko nawe
Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao
Baraka kwako na familia yako.
Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia
Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako
Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine