Angalizo; Tunapoongelea kuhusu pombe sio kwamba tunahamasisha kutumia pombe bali tuelewe kile tunachofanya kwa mapenzi ya Mungu!
pombe haikukataliwa ila itumike kwa kiasi.
Mhubiri 9:7
Wewe enenda zako, ule chakula chako kwa furaha, unywe mvinyo yako kwa moyo wa kuchangamka; kwa kuwa Mungu amekwisha kuzikubali kazi zako.
Tito 2:3
Vivyo hivyo na wazee wa kike wawe na mwenendo wa utakatifu; wasiwe wasingiziaji, wasiwe wenye kutumia mvinyo nyingi, bali wafundishao mema;
1Timotheo 5:21,23
“21 Nakuamuru mbele ya Mungu, mbele ya Kristo Yesu na mbele ya malaika watakatifu, uyazingatie maagizo haya bila kuacha hata moja, wala kumpendelea mtu yeyote katika kila unachotenda.
23 Tokea sasa usinywe maji tu lakini tumia mvinyo kidogo, kwa ajili ya tumbo lako, na magonjwa yakupatayo mara kwa mara.
Yoshua Bin Sira 31:25-29
“25 Usijionyeshe kuwa hodari wa kunywa pombe, maana imewaangamiza wengi.
26 Tanuru hupima ugumu wa chuma, na pombe hupima mioyo katika shindano la wenye kiburi.
27 Pombe ni kama uhai kwa mtu akinywa kwa kiasi, Maisha yafaa nini bila pombe?
Imeumbwa iwafurahishe watu.
28 Kunywa pombe kwa wakati wake na kwa kiasi, kwaleta shangwe moyoni na furaha rohoni.
29 Lakini kunywa pombe kupita kiasi, kunaleta kuumwa kichwa, uchungu na fedheha.”
Wakolosai 2:16-18a
“kwa hiyo basi, msikubali kupewa masharti na mtu yeyote kuhusu VYAKULA au VINYWAJI, siku za sherehe, sikukuu ya mwezi mpya au sabato.
17 mambo ya namna hiyo ni kivuli cha yale yatakayokuja; ukweli wenyewe ndiye kristo.
18 msikubali kuhukumiwa na mtu anayejitakia kuwa wa maana kwa sababu ya maono ya pekee….”
Luka 7:31-35
“31 Yesu akaendelea kusema, “Basi, nitawafananisha watu wa kizazi hiki na kitu gani? Ni watu wa namna gani?
32 Ni kama vijana waliokuwa wamekaa sokoni na kuambiana, kikundi kimoja na kingine:
‘Tumewapigieni ngoma lakini hamkucheza!
Tumeimba nyimbo za huzuni lakini hamkulia!’
33 Kwa maana Yohane alikuja, akawa anafunga na hakunywa divai, nanyi mkasema: ‘Amepagawa na pepo!’
34 Naye mwana wa Mtu amekuja anakula na kunywa, nanyi mkasema:
‘Mwangalieni mlafi huyu na mlevi; rafiki ya watoza ushuru na wenye dhambi!’
35 Hata hivyo, hekima ya Mungu imethibitishwa kuwa njema na wote wale wanaoikubali.”
#Note; mvyinyo itumike kwa kiasi, kama huwezi kutumia kwa kiasi, ni afadhali kuacha kabisa.
Rehema zake hudumu milele
Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako
Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida
Tumaini ni nanga ya roho
Ahadi za Mungu ni za kweli daima
Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika
Baraka kwako na familia yako.
Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu
Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe
Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu
Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu
Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima
Tembea kwa imani, si kwa kuona
Nakuombea 🙏
Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia
Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine
Mwamini Bwana; anajua njia
Nguvu hutoka kwa Bwana
Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia
Upendo wa Mungu haukosei kamwe.
Hauko peke yako; Mungu yuko nawe
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
Mwamini katika mpango wake.
Endelea kuwa na imani!
Kwa Mungu, yote yanawezekana
Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako
Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe
Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini
Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote
Sifa kwa Bwana!
Katika imani, yote yanawezekana
Bwana yuko karibu na wote wanaomwita
Imani inaweza kusogeza milima
Neema na amani iwe nawe.
Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao
Neema ya Mungu inatosha kwako
Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha
Mungu akubariki!
Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni
Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi
Dumu katika Bwana.
Mungu ni mwema, wakati wote!
Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha
Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia
Wakati wa Mungu ni kamilifu
Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake
Rehema hushinda hukumu
Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi
Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi