Katika Amri ya nne ya Mungu tumeamriwa nini?
Tumeamriwa tuwaheshimu wazazi wetu na wakubwa wetu wote, tuwapende, tuwatii na tuwaombee. (Kut 20:12, Kol 3:20)
Amri ya Nne ya Mungu tumeamriwa nini?
Tumeamriwa tuwaheshimu wazazi wetu na wakubwa wote, tuwapende, tuwatii na tuwaombee. (Kut 20:12), Kol 3:20
Kwa sababu gani yatupasa kuwaheshimu Baba na Mama?
Yatupasa kuwaheshimu Baba na Mama kwa sababu;
1. Wameshirikiana na Mungu kutuleta duniani walipotuzaa
2. Wamewekwa na Mungu ili watulee na kutuongoza Mbinguni
3. Mungu ameamuru tuwapende wazazi mara baada ya Yeye. (Ayu 3:1-9)
Wazazi na wakubwa wameamriwa nini?
Wazazi na wakubwa wameamriwa watutunze na kutulea
Tuwaheshimu Baba na Mama kwa matendo gani?
Tuwaheshimu Baba na Mama kwa matendo ya adabu, heshima, utii na mapendo (Ayu 3:12)
Twawakosea Heshima Baba na Mama kwa kufanya nini?
Twawakosea Heshima Baba na Mama kwa;
1. Tukiwakasirisha na kuwatukana
2. Tukiwakaidi na kuwapiga
3. Tukiacha kuwaombea
4. Tukiacha kuwasaidia katika shida na uzee. (Kut 21:15-17)
Wazazi wawaleeje watoto wao katika imani ya Kikristo?
Wawalee hasa kwa mfano wao, kwa sala, kwa katekesi ya kifamilia na kushiriki maisha ya Kanisa
Lini tunakatazwa kuwatii watu?
Tunakatazwa kuwatii watu wanaotuamuru jambo lililokatazwa na Mungu (Mdo 5:29)
Katika Amri ya Nne ya Mungu tumekatazwa nini?
Tumekatazwa haya;
1. Kukaidi wazazi na wakubwa wetu
2. Kuwakasirisha.
3. Kuwadharau.
Wakubwa tunaopaswa kuwaheshimu ni kina nani?
Wakubwa hao ni;
1. Viongozi wa Kanisa
2. Viongozi wa Serikali
3. Walimu na walezi
4. Wakubwa wa kazi (War 13:1)
5. Viongozi wa Jumuiya
Upendo wa Mungu haukosei kamwe.
Mwamini katika mpango wake.
Hauko peke yako; Mungu yuko nawe
Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia
Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida
Bwana yuko karibu na wote wanaomwita
Dumu katika Bwana.
Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako
Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao
Neema ya Mungu inatosha kwako
Kwa Mungu, yote yanawezekana
Baraka kwako na familia yako.
Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe
Ahadi za Mungu ni za kweli daima
Imani inaweza kusogeza milima
Rehema hushinda hukumu
Sifa kwa Bwana!
Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu
Rehema zake hudumu milele
Mungu akubariki!
Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake
Mwamini Bwana; anajua njia
Nguvu hutoka kwa Bwana
Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi
Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni
Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini
Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima
Neema na amani iwe nawe.
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika
Endelea kuwa na imani!
Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu
Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu
Katika imani, yote yanawezekana
Wakati wa Mungu ni kamilifu
Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi
Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote
Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe
Tembea kwa imani, si kwa kuona
Nakuombea 🙏
Mungu ni mwema, wakati wote!
Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha
Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia
Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia
Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha
Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine
Tumaini ni nanga ya roho
Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia