Katika amri ya pili ya Mungu tumekatazwa nini?
Katika amri ya pili ya Mungu tunakatazwa kuapa bure kwa Jina la Mungu
Kiapo cha uongo ni nini?
Ni kuahidi kwa kiapo bila nia ya kutimiza au kuvunja ahadi iliyotelewa.
References:
Google ScholarResearchGate
Semantic Scholar
AckySHINE
Upendo wa Mungu haukosei kamwe.
Endelea kuwa na imani!
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe
Mwamini katika mpango wake.