Unaweza kutumia Lozi na maziwa kutibu shinikizo la chini la damu kama ifuatavyo;
- Loweka lozi 5 mpaka 6 kwenye kikombe cha maji kwa usiku mmoja
- Asubuhi menya hizo lozi na uzisage
- Chukua hizo lozi ulizosaga na uweke ndani ya kikombe cha maziwa
- Chemsha mchanganyiko huu kwa dakika kadhaa
- Kunywa kinywaji hiki kila siku asubuhi
Editor: Melkisedeck Leon Shine. About Me | Contact Me | LinkedIn | TikTok | WhatsApp
Read and Write Comments
Recommended Posts
Jinsi ya kutibu chunusi kwa kutumia Mtindi na asali
Vyakula vinavyowezesha ubongo ufanye kazi kwa ufanisi
Jinsi ya kutibu chunusi kwa kutumia limau au limao
Mambo ya Msingi kuyajua kuhusu Ugonjwa wa Kipindupindu
Matumizi ya Tangawizi kutibu shinikizo la chini la damu
Faida za kila kitu kwenye mti wa papai
Faida 10 za kula tende kiafya
Faida za kula karanga mbichi