Dhamiri adilifu ni nini?
Dhamiri adilifu, iliyo ndani kabisa mwa mtu, ni uamuzi wa akili ambao kwa wakati wake unamuagiza mtu atende mema na kukwepa maovu
Katika hukumu zake dhamira ifuate nini?
Katika hukumu zake dhamira ifuate daima Injili, Amri za Mungu na za Kanisa na wajibu zetu.
Twajenga na kutunza dhamira zetu namna gani?
Twajenga na kutunza dhamira zetu kwa;-
1. Kufuata sauti ya Roho Mtakatifu
2. Kuzingatia mafundisho ya dini
3. Kuzingatia mila na desturi njema tulizopata katika malezi.
4 Kufuata mifano na tabia njema ya wenzetu na ya Watakatifu
2. Kuzingatia mafundisho ya dini
3. Kuzingatia mila na desturi njema tulizopata katika malezi.
4 Kufuata mifano na tabia njema ya wenzetu na ya Watakatifu
Hadhi ya nafsi ya mtu inadai nini kuhusu dhamiri adilifu?
Hadhi ya nafsi ya mtu inadai unyofu wa dhamiri adilifu, yaani upande wa akili na sheria ya Mungu
Dhamiri adilifu inaundwa namna gani iwe nyofu na ya kweli?
Dhamiri nyofu inayosema kweli inaundwa kwa;
1. Malezi
2. Upokeaji wa neno la Mungu
3. Upokeaji wa Mafundisho ya Kanisa
4. Sala
5. Utafiti wa dhamiri
2. Upokeaji wa neno la Mungu
3. Upokeaji wa Mafundisho ya Kanisa
4. Sala
5. Utafiti wa dhamiri
Dhamiri adilifu inatengenezwa na kusaidiwa na nini?
Dhamiri adilifu inatengenezwa na vipaji vya Roho Mtakatifu na kusaidiwa na mashauri ya watu wenye busara.
Dhamiri inatakiwa kufuata daima masharti gani?
Dhamira inatakiwa kufuata daima masharti yafuatayo
1. Hairuhusiwi kutenda maovu kusudi yapatikane mema
2. Yoyote muyatakayo mtendewe na watu, ninyi watendeeni vivyo hivyo. (Mt 7:12)
3. Upendo hufuata daima nia na heshima kwa jirani na kwa dhamira yake
2. Yoyote muyatakayo mtendewe na watu, ninyi watendeeni vivyo hivyo. (Mt 7:12)
3. Upendo hufuata daima nia na heshima kwa jirani na kwa dhamira yake
Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia
Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu
Tembea kwa imani, si kwa kuona
Nakuombea 🙏
Baraka kwako na familia yako.
Katika imani, yote yanawezekana
Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote
Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini
Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi
Mungu ni mwema, wakati wote!
Sifa kwa Bwana!
Tumaini ni nanga ya roho
Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia
Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao
Hauko peke yako; Mungu yuko nawe
Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine
Mwamini katika mpango wake.
Upendo wa Mungu haukosei kamwe.
Ahadi za Mungu ni za kweli daima
Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida
Mungu akubariki!
Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia
Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika
Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako
Endelea kuwa na imani!
Rehema zake hudumu milele
Mwamini Bwana; anajua njia
Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia
Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu
Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake
Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha
Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe
Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe
Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha
Kwa Mungu, yote yanawezekana
Rehema hushinda hukumu
Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu
Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi
Neema na amani iwe nawe.
Bwana yuko karibu na wote wanaomwita
Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako
Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
Nguvu hutoka kwa Bwana
Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni
Neema ya Mungu inatosha kwako
Wakati wa Mungu ni kamilifu
Imani inaweza kusogeza milima
Dumu katika Bwana.