Kurani inamtaja mwanamke mmoja tu, tena mara 34: ni Mariamu, mama wa nabii Isa. Akichanganywa na dada wa Haruni na Musa, aliyekuwa na jina hilohilo, anatajwa kama binti Imrani. Pia habari nyingine kadhaa zinapishana na zile za Injili.
Hata hivyo anapewa heshima ya pekee, kama inavyoonekana katika sura ya 3:43: “Na kumbukeni malaika waliposema, ‘Ewe Mariamu, kwa hakika Mwenyezi Mungu amekuchagua na kukutakasa na kukutukuza kuliko wanawake wa walimwengu”. Tena katika aya 3:46: “Na kumbukeni waliposema malaika: ‘Ewe Mariamu, bila shaka Mwenyezi Mungu anakupa habari njema za Neno litokalo kwake, jina lake Masihi Isa mwana wa Mariamu, mwenye heshima katika dunia na ahera, na yu miongoni mwa waliokaribishwa’”.
Aliambiwa amefanywa “ishara” pamoja na mwanae, ingawa haisemwi ni ishara ya nini. Sura ya 19, yenye jina lake, inaeleza kwamba Malaika Jibrili (Gabrieli) akimpasha habari ya mimba alisema, ‘Hakika mimi ni mjumbe wa Mola wako ili nikupe mwana mtakatifu’. Akasema, ‘Ninawezaje kupata mtoto hali hajanigusa mwanamume yeyote, wala mimi si mwasherati?’ Akasema, ‘Ni kama hivyo; Mola wako amesema: Haya ni rahisi kwangu, na ili tukufanya ishara kwa mwanadamu na rehema itokayo kwetu, na ni jambo lililokwisha hukumiwa’ ” (19:19-21). “Na mwanamke yule aliyejilinda tupu yake na tukampulizia roho yetu na tukamfanya yeye na mwanawe ishara kwa walimwengu” (21:91).
Pamoja na kusifiwa kwa usafi wake, anaongezewa sifa za imani na unyenyekevu: “Na Mariamu binti Imrani aliyejilinda uchi wake, na tukampulizia humo Roho yetu na kayasadikisha maneno ya Mola wake, na vitabu vyake; na alikuwa miongoni mwa wanyenyekevu” (66:12).
Upendo wa Mungu haukosei kamwe.
Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu
Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine
Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia
Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima
Mwamini Bwana; anajua njia
Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia
Tembea kwa imani, si kwa kuona
Imani inaweza kusogeza milima
Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini
Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu
Wakati wa Mungu ni kamilifu
Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu
Dumu katika Bwana.
Kwa Mungu, yote yanawezekana
Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi
Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia
Mungu ni mwema, wakati wote!
Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako
Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao
Nakuombea 🙏
Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake
Hauko peke yako; Mungu yuko nawe
Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi
Bwana yuko karibu na wote wanaomwita
Katika imani, yote yanawezekana
Mwamini katika mpango wake.
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe
Sifa kwa Bwana!
Mungu akubariki!
Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni
Baraka kwako na familia yako.
Ahadi za Mungu ni za kweli daima
Endelea kuwa na imani!
Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika
Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha
Rehema hushinda hukumu
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia
Rehema zake hudumu milele
Neema ya Mungu inatosha kwako
Tumaini ni nanga ya roho
Neema na amani iwe nawe.
Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida
Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe
Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako
Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote
Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha
Nguvu hutoka kwa Bwana