Soma vichekesho hivi;
Mwizi wa atm
Jamaa aliibiwa kadi yake ya benk akaulizwa kama ameripoti polisi akajibu “sijaripoti bado, mwizi mwenyewe hamfikii matumizi kama mke wangu.
Cheka kidogo
Njia rahisi kusahau matatizo yako (japo kwa muda mfupi) vaa viatu vinavyokubana.
Mlizi mbio mbio
Tulikuwa bar moja jana mlinzi kaingia spidi, akamwambia jamaa mmoja aliyekaa kaunta, Mlinzi: Mzee gari lako limeibiwa Mzee: Umemtambua aliyeiba? Mlinzi: Hapana lakini nimeandika namba za gari hizi hapa.
13, 13β¦
Jamaa alikuwa anapita nje ya wodi ya vichaa akasikia mtu anasema, 13, 13, 13, 13, 13, 13,β¦.. akaamua kuchungulia kwenye kitundu alichokiona ajue kuna nini, ile kuchungulia tu akamwagiwa mchanga wa machoni, sauti ikabadili ikaanza 14,14,14,14,14β¦β¦
WATAALAM
Jamaa alikuwa anaumwa sana, mkewe akamwita daktari, alipofika akamkuta jamaa kafumba macho;
Dokta: Huyu mbona amekwisha kufa?
Jamaa: Sijafa bwana
Mke: Hebu nyamaza bwana acha kubishana na wataalamu.
Ya leo mgonjwa
Dokta alipotembelea wodi ya mgonjwa wake aliyepata ajali. Mgonjwa akiwa amening’inizwa mikono juu akauliza “dokta ntaweza kweli kupiga kinanda nkitoka hospitali?”
Dokta: Bila shaka utaweza, wewe ni mpiga kinanda mzuri enh?
Mgonjwa: Hapana sijawahi kabisa bado.
4WD
Mwanaume alimnunulia pete ya almasi mkewe, rafiki akauliza “si ulisema anapenda gari yenye four wheel drive, mbona umenunua pete?” Mume akajibu “unadhani wapi ntapata rav4 feki?”
Ajali ilivyotokea
Trafiki polisi akihoji palipotokea ajali “ahaa! Sasa naanza elewa embu nielezee jinsi ajali ilivyotokea wewe ukiwa kama dereva mhusika.” Dereva akajibu “hata sikumbuki nlifumba macho”
Faini ya kukojoa
Polisi alimdaka jamaa anakojoa pembezoni mwa ukuta.
Polisi: Wewe unajua panakatazwa kukojoa hapa?
Jamaa: Sasa nimebanwa nifanyaje?
Polisi: Faini yake elfu tano.
Jamaa akatoa noti ya elfu 10.
Polisi: Sasa chenji tunaipataje?
Jamaa: Tafuta chenji unipe changu.
Polisi: Basi kojoa tenaβ¦
Mume anaenda kazini
Jamaa kaamka asubuhi sana Jumamosi, mvua inanyesha kang’ang’ania kuwa anaenda ofisini. Kawasha gari yake, kufika njiani hali ilikuwa mbaya kaamua kurudi. Kafika home kavua nguo kaingia tena kitandani, kamnong’oneza mkewe aliyekuwa usingizini; “Yaani hali ya hewa huko nje mbaya sana” Mke: Si ndio nimemshangaa huyu mpumbavu eti kaenda kaziniβ¦
Hasira za mtoto
Baba na mtoto:
Baba: Mwanangu ukiwa na hasira unafanya nini?
Mtoto: Naenda chooni.
Baba: Chooni? Kufanya nini?
Mtoto: Kusafisha.
Baba: Halafu ndio hasira zinaisha?
Mtoto: Ndio. Nasafisha choo kwa mswaki wako.
Mgonjwa na Dokta
Mgonjwa: Dokta nimekuja nahisi ninaumwa Malaria na kifua.
Dokta: Sasa ushajua unaumwa nini hapa umefuata nini kwangu?
Mgonjwa: Sasa si nimekuja kwa dokta.
Dokta: Wanaojua kuwa wanaumwa kama wewe wanapitiliza maabara.
Pilau la bachela
Bachela mmoja aliyekua akiishi kwa muda mrefu peke yake kwenye nyumba aliyopanga siku moja alitaka kupika pilau kwa mara ya kwanza. Sasa asijue nini kinachobadilisha rangi ya wali kuwa rangi ya brown, yeye akapika kama kawaida (wali) kisha wakati wa kula akavaa miwani yenye rangi ambayo ukiuangalia wali unauona kama pilau wakati anakula.
Mwizi na chizi
Mwizi kaiba TV na kuanza kukimbia nayo, kumbe ile nyumba mlikuwa na chizi, akaanza kumkimbiza yule mwizi. Kila mwizi akiongeza mbio chizi nae huyo, mwishowe mwizi akasalimu amri na kusimama, yule chizi akamsogelea na kumwambia.. Daah umesahau remote hii hapa mwizi kafleti.
Chemsha bongo
Baba akimuuliza chemsha bongo mwanae anayesoma shule ya chekechea “haya niambie kitu gani hakiwezi kuliwa wakati wa breakfast?” Mtoto akajibu “hiyo mbona rahisi baba, si lunch na dinner”
Hii joke imenikumbusha enzi zile! ππ
Enzi zip?
Juliana cheyo
ww mimi fatu unanikumbka
PWWW
ni maukali sana
WAPI
Napenda vile mnaweka jokes kila siku! ππ
ππππ
Nice
Mna kipaji cha ucheshi! ππ
πππ π€£
ππ€£ππ
Mambo ni fire
Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! π
π Ninakufa hapa!
π Dhahabu ya vichekesho!
vichesho vipya
π€£πππ
π Umeshinda mtandao leo!
Hii imenifurahisha sana! ππ
Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! π
π Siwezi kuacha kucheka!
π Umenishika vizuri!
Hii ni kali sana! ππ€£
Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! π
Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! ππ
Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! π€£π
Chemsha bongo
Ucheshi wenu unanifurahisha! ππ
π Ninashiriki mara moja!
OY OY
Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! ππ€£
Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! ππ
Hii joke ni ya kufurahisha! π€£π€£
π Siwezi kuacha kucheka!
π€£ππ
Huyu alikuwa na point! ππ
Nimecheka hadi nimepata furaha! ππ
Hii imenikumbusha enzi zile! π π
π Ninaihifadhi hii!
ππ€£ππ
π€£ Hii kichekesho ni nzuri sana!
π Bado nacheka!
Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! π€£
Hii imenipa kicheko cha siku! ππ€£
Nimecheka hadi nimemiss kicheko! ππ
Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! π
π Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!
π Nacheka hadi chini!
Hii ni joke ya kufurahisha sana! ππ
Umesema kweli! ππ
π Ninahitaji kuihifadhi hii milele!
π Siwezi kuacha kucheka na hii!
π€£ Ninashiriki hii sasa hivi!
Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! π
Hii imenipa kicheko cha siku! ππ
ππ€£ππ
Nimecheka hadi nina furaha sana! ππ
Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! π
Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! π€£
π Kicheko bora ya siku!
π Nacheka hadi chini sasa hivi!
π Kichekesho gani!
Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! ππ
Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! π
Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! ππ
Nimefurahia sana hii! π π
π Lazima nihifadhi hii!
Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! π€£
Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! π
Kweli ni jokes za ukweli! ππ
Hii imenikuna hadi nina furaha sana! ππ
Napenda jokes zenu! ππ
Hii imenichekesha sana! π€£π
Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! ππ
Nimefurahia hii sana! ππ
π Hii imenifanya siku yangu iwe bora!
π Hii ni ubunifu wa hali ya juu!
π Umenishika vizuri!
π€£ Kichekesho bora kabisa!
Nimecheka hadi nimesahau shida! π€£π
Kama kawaida! Bado nacheka! π
π Kichekesho kamili!
Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! π
π Sikutarajia hiyo ikitokea!
Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! ππ
π Bado nacheka!
Kila siku napenda jokes zenu! ππ
Umetisha! ππ
Mna talent ya jokes! ππ
Hii imenipa furaha ya siku! ππ
π Hiyo punchline!
Nimefurahia sana hii joke! π π
πππ
π€£ Hii imewaka moto!
π€£ Hii imenigonga vizuri!
πππ
Hii imenikuna! ππ
Huu ucheshi hauna kifani! π€£π₯
Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! ππ
π Bado nacheka, siwezi kuacha!
Nimecheka hadi machozi π€£π
Hii ni ya kufurahisha sana! ππ
ππ€£ππ
Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! π€£π
Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! ππ
Kweli mna kipaji cha ucheshi! ππ€£
Hii imenipa furaha ya siku! ππ
Hii imenifurahisha sana! π€£π
Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! ππ
π€£ Sikutarajia hiyo!
Nimecheka hadi machozi yanatoka! π€£π
π Kali sana!
ππ€£ππ
π Hii imenifanya siku yangu iwe bora!
Hii imenibamba sana! ππ
Nimecheka hadi machozi yanatoka! π€£π
Hii ni joke ya kipekee sana! ππ
Kweli mna ucheshi! ππ€£
π€£ Hiyo twist mwishoni, ingawa!
ππ€£
π€£ Ninaituma sasa hivi!
Hii ndio nilihitaji leo! Asante! π
Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! βπ
π Hii ni hazina ya kichekesho!
πππ π
π€£ππ
Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! π
Nimecheka hadi nina furaha sana! π€£π
π€£ Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!
Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! π€£π
π Nimeipenda kabisa hii!
π€£ Nalia kwa kicheko kweli!
Kijana mumoja aliombakuombewa akachaguliwa kijana mumoja amwombee akaanza kusema kwa jinzi la yesu na modoya shetan
Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! β°
π πππ
Hii imenikuna sana! ππ
ππ€£π₯
Kweli mna ucheshi wa kipekee! ππ€£
π Nacheka hadi nalia!
Hizi jokes ni za ukweli! ππ
π Siwezi kuacha kucheka!
Nimeipenda hii joke! ππ
Hii kichekesho inastahili tuzo! π
Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! ππ€£
π Bado nacheka!
Hii imenifurahisha sana! ππ
Hii imenichekesha sana! ππ
Hii imenifurahisha kweli! ππ
π Naihifadhi hii!
Hii imenigonga vizuri, punchline gani! π
Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! π
Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! π
π€£ Ujuzi wa hali ya juu!
Sikutarajia hiyo punchlineβkichekesho! π€£
Hizi jokes zinabamba sana! ππ
Ucheshi wenu unanifurahisha sana! ππ
π€£π€£ππ
π Hali imeboreshwa papo hapo!
Hii ni joke ya kipekee sana! ππ
π Ninaihifadhi kwa baadaye!
Hii ni ya kufurahisha! ππ
Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! ππ€£
Hii ni bomba sana! π€£π
Hii kichekesho imenifurahisha sanaβimebamba! π€£
Hii imenipa kicheko cha siku! ππ
Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! π€£π
Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! π°
Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! π
Hii imenipa kicheko cha siku! ππ€£
Hii ni dhahabu ya vichekesho! π
π Siwezi kusubiri kushiriki hii!
π Imeongezwa kwenye vipendwa!
πππ€£
Kweli mnajua kuchekesha watu! π€£π
π€£ Sikutarajia hiyo!
π Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!
π Nalia kwa kweli hapa!
π Hali imeboreshwa papo hapo!
π€£ Ninashiriki hii na kila mtu!
Napenda jinsi mnavyofikiria! π€π
Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! π―
Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! π
π€£π€£π
π Nilihitaji hii!
Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! π€£
π ππ
Huyu mtu ni mcheshi sana! ππ
πππ€£
π Hii ni kali sana!
π Bado ninacheka!
ππ
π Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!
π Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!
π€£ Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!
Nimependa hii! Endelea kuzileta! π
ππ ππ
π Ninacheka sana sasa hivi!
Hii ni joke ya kipekee! π€£π
Nimecheka hadi mbavu zinauma ππ
Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! π
π€£ππ
Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! π
π πππ
Asante Ackyshine
π€£π₯π
Hii ni joke ya maana sana! ππ
π Naihifadhi hii!
ππ
Kweli mna kipaji cha ucheshi! ππ
π Nilihitaji kicheko hiki, asante!
Nimecheka hadi nina furaha sana! ππ
Hizi jokes ni za kipekee sana! ππ
ππππ
Nimecheka kwa sauti! π€£π€£
π Hakika hii ni kichekesho changu kipya!
π€£π€£ππ
π Umeimaliza kabisa!
Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! π
Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! π
ππ π
ππ
π€£ Hii kichekesho ni nzuri sana!
Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! ππ€£
π Hii imenichekesha kwa sauti kweli!
π Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!
Kweli mnajua kuchekesha! ππ
Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! ππ
π Hiyo punchline ilikuwa kali!
Kweli mna ucheshi wa kipekee! ππ€£
Hii imenikuna hadi nina furaha! ππ
Hii ni ya maana sana! ππ
π Kali sana!
π Hii imenigonga kweli!
π Hii ni ya kuhifadhi!
Hii ni joke ya ukweli kabisa! ππ€£
Ucheshi wa hali ya juu! ππ
π Kali sana!
Haha, hii ni ya kuhifadhi! π
ππ€£π
Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! π π
π Nitaiiba hii bila shaka!
ππ
π Hii ni dhahabu!
Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! ππ
Hii imenibamba sana! π π€£
π Nilihitaji kicheko hicho!