Soma hii, kama wewe ndio mzazi wa huyu msichana ungefanyaje?

Wewe ni mzazi mwanao anasoma kidato cha tatu mkoani umemsafirisha leo kwenda shule baada ya masaa matano ukasikia gari alilo panda mwanao limepata ajali wamekufa watu wote upo ktk harakati za kuandaa msiba,

mwanao anakupigia simu baba/mama mimi mzima sijafa mpenzi wangu ABDUL aliniambia nishuke Chalinze ili niwe nae kwa siku mbili alafu niende shule je, wewe mzazi unge mfanyaje mwanao?

Subscribe
Notify of
guest

236 Comments
Most Voted
Newest Oldest
Inline Feedbacks
View all comments
Saidi

😁 Kicheko bora ya siku!

Zakia

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Sumaya

😆 Naihifadhi hii!

Nuru

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Bernard Oduor

🤣 Hii imewaka moto!

Shopping Cart
0
    0
    Your Cart
    Your cart is emptyReturn to Shop