Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Kuna watu makauzu ila huyu kazidi.. Soma hii!

Featured Image

Kakubaliana vizuri na msichana fulani hivi kuwa aibuke gheto, mchizi kajipanga vizuri kabisa…. mara saa nne hivi mdada kasema hana nauli.
Mshkaji kajikunja kamtumia Elfu tano maana mwenye shida alikuwa ni yeye……
Baada ya nusu saa yule dada akamtumia meseji.
"Jamani mpenzi, kumbe baba hatoki nilijua atatoka… sorry bae sitaweza kuja kwa leo… sooo sorry!"
Mshkaji jiii! hajajibu kitu…..

Baada ya muda kidogo meseji ikaingia katika simu ya binti, akajua mchizi kajibu. Mh! kutazama ni meseji kutoka Mpesa.

"CA90F0511 IMETHIBITISHWA Tshs 5000 ILIYOTUMWA KIMAKOSA KATIKA ACCOUNT YAKO IMETOLEWA SALIO LAKO NI Tshs 5"

Halafu ndo ikaingia meseji ya mshkaji.
"BASI POA SIKU NYINGINE KAMA VIPI"

#dada wa watu mashavu yakamshuka… hakuamini kilichotokea…. yaani jamaa keshawapigia Voda na pesa fasta imezuiliwa……

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Nicholas Wanjohi (Guest) on January 4, 2018

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Esther Nyambura (Guest) on December 10, 2017

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

David Kawawa (Guest) on October 9, 2017

πŸ˜„ Kichekesho gani!

James Kawawa (Guest) on September 30, 2017

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Grace Mligo (Guest) on September 27, 2017

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Habiba (Guest) on September 2, 2017

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Hawa (Guest) on July 17, 2017

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

James Kimani (Guest) on July 16, 2017

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Mwanakhamis (Guest) on June 28, 2017

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Benjamin Masanja (Guest) on June 22, 2017

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Stephen Malecela (Guest) on June 20, 2017

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Joy Wacera (Guest) on June 2, 2017

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Joseph Kitine (Guest) on May 18, 2017

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Joseph Mallya (Guest) on May 5, 2017

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Agnes Lowassa (Guest) on March 25, 2017

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Francis Njeru (Guest) on February 21, 2017

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Maimuna (Guest) on January 23, 2017

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Khalifa (Guest) on January 19, 2017

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Shukuru (Guest) on December 6, 2016

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Joy Wacera (Guest) on November 2, 2016

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Janet Sumaye (Guest) on October 29, 2016

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Lydia Mahiga (Guest) on September 22, 2016

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

George Tenga (Guest) on September 2, 2016

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Betty Kimaro (Guest) on July 27, 2016

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Samuel Were (Guest) on July 18, 2016

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Mary Kendi (Guest) on July 15, 2016

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Stephen Kikwete (Guest) on July 10, 2016

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Peter Otieno (Guest) on May 10, 2016

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Shukuru (Guest) on April 20, 2016

🀣 Sikutarajia hiyo!

Alex Nyamweya (Guest) on April 18, 2016

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Edward Lowassa (Guest) on March 19, 2016

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Stephen Kangethe (Guest) on March 17, 2016

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Patrick Akech (Guest) on March 14, 2016

πŸ˜… Bado ninacheka!

Lydia Mzindakaya (Guest) on February 3, 2016

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Joyce Mussa (Guest) on January 24, 2016

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Margaret Mahiga (Guest) on January 23, 2016

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Rose Mwinuka (Guest) on January 19, 2016

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Joy Wacera (Guest) on December 16, 2015

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Stephen Mushi (Guest) on November 30, 2015

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Mwajabu (Guest) on November 21, 2015

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Victor Mwalimu (Guest) on November 11, 2015

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Peter Otieno (Guest) on October 29, 2015

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Alice Mrema (Guest) on October 16, 2015

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Patrick Akech (Guest) on October 8, 2015

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Jackson Makori (Guest) on October 5, 2015

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Alice Jebet (Guest) on September 18, 2015

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Charles Mboje (Guest) on August 24, 2015

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Dorothy Nkya (Guest) on August 10, 2015

🀣 Sikutarajia hiyo!

Josephine Nduta (Guest) on July 28, 2015

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Emily Chepngeno (Guest) on July 24, 2015

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Brian Karanja (Guest) on July 9, 2015

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Omari (Guest) on June 22, 2015

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Benjamin Masanja (Guest) on June 3, 2015

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Edward Lowassa (Guest) on May 22, 2015

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

John Lissu (Guest) on May 16, 2015

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Peter Mbise (Guest) on April 15, 2015

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Related Posts

Duh. mjamzito ana kazi

Duh. mjamzito ana kazi

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ukimuona mjamzito katema mate ujue mtoto kajamba

... Read More
Njia nne za kufikisha Habari kwa haraka

Njia nne za kufikisha Habari kwa haraka

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Sasa Hawa wadada Wapo in Relationship Na Nan!!??

Sasa Hawa wadada Wapo in Relationship Na Nan!!??

Asilimia 76% Ya Wasichana Kila Ukiwatongoza Wanakwambia Wapo In relationship SAWA ATUKATAI…Read More

Tofauti ya mwanamke wa Kizaramo, Kitanga, Kihaya, na wa Kichaga

Tofauti ya mwanamke wa Kizaramo, Kitanga, Kihaya, na wa Kichaga

Mwanamke wakizaramo: Unampa hela ana nunua dela anaenda ana msutia jirani, anali... Read More

Cheki tulichokifanya jana

Cheki tulichokifanya jana

JANA APA HOME

JENERETA LILIWASHWA

ACHA TUHANGAIKE KULIKUNA

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚... Read More

Huyu mchaga kazidi sasa, angalia anavyomfanya huyu mbuzi

Huyu mchaga kazidi sasa, angalia anavyomfanya huyu mbuzi

Mchaga alinunua mbuzi akamwambia mpishi Nyama nusu ipike pilau na ingine itie kwenye friza. Kichwa f... Read More
Huyu Jamaa bwana! Cheki anavyojibu sasa

Huyu Jamaa bwana! Cheki anavyojibu sasa

*Mdukuzi:* _halloo massai unasemaj_
*Massai:* _safi rafiki_

*Mdukuzi:* _nikikuuliza sw... Read More

Google, Facebook, WhatsApp, Internet na Umeme nani zaidi?

Google, Facebook, WhatsApp, Internet na Umeme nani zaidi?

Google alisema : mimi nina kila kitu

Facebook ikasema : mimi najua watu wote

Wha... Read More

Cheki hawa washikaji wanachokifanya baada ya kuvuta bangi, Bangi si mchezo

Cheki hawa washikaji wanachokifanya baada ya kuvuta bangi, Bangi si mchezo

Kuna washikaji walikuwa wakivuta bangi… kiberiti kikawaishia… wakamtuma mwenzao akatafute ki... Read More

Angalia nilichomfanyia huyu dereva sasa

Angalia nilichomfanyia huyu dereva sasa

Tulikua kwa basi tunaelekea arusha,ile namcheki dereva kumbe ni best yangu na basi ilikua... Read More

Kweli tamaa ni mbaya, mke wa mtu kaponzwa na tamaa, ndio basi tena

Kweli tamaa ni mbaya, mke wa mtu kaponzwa na tamaa, ndio basi tena

Jamaa kaenda kwa mke wa rafiki yake:
JAMAA: Shem nakupenda!
MKE: Hebu... Read More

Eti kupooza chai kwa kizungu inaitwaje?

Eti kupooza chai kwa kizungu inaitwaje?

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More