Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Mume mgonjwa kazua mpya baada ya kuruhusiwa kwenda nyumbani kutoka hospitali alipokuwa kalazwa

Featured Image
John aliruhusiwa kwenda nyumbani kutoka hospital ya
Vichaa, akapakiwa ktk ambulance hadi karibu na
nyumbani kwake, akaulizwa kwako unapakumbuka?

akajibu ndio nyumba yangu ilee, mara wakatoka
watoto wawili wamevaa uniform akasema watoto
wangu walee wanakwenda shule..
Akatoka mwanamke akasema na mke wangu yulee,
Ghafla akatoka mwanaume john akasema mimi
yuleeeeeeee…. naenda kazini!! JE, NI KWELI
AMEPONA??
AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Mwanaidha (Guest) on July 21, 2024

🀣 Kichekesho bora kabisa!

David Chacha (Guest) on June 10, 2024

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Andrew Mchome (Guest) on June 10, 2024

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Faith Kariuki (Guest) on June 8, 2024

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Mwanahawa (Guest) on June 4, 2024

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

John Mushi (Guest) on May 21, 2024

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Catherine Naliaka (Guest) on April 22, 2024

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Dorothy Nkya (Guest) on April 21, 2024

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Dorothy Nkya (Guest) on April 16, 2024

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Charles Wafula (Guest) on April 12, 2024

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

James Malima (Guest) on April 11, 2024

😊🀣πŸ”₯

Lucy Wangui (Guest) on March 30, 2024

🀣πŸ”₯😊

Farida (Guest) on March 24, 2024

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Victor Kamau (Guest) on March 9, 2024

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Joseph Kiwanga (Guest) on February 14, 2024

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Monica Adhiambo (Guest) on January 30, 2024

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Betty Akinyi (Guest) on January 23, 2024

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Samuel Were (Guest) on January 7, 2024

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Saidi (Guest) on December 24, 2023

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

James Mduma (Guest) on December 21, 2023

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

James Kawawa (Guest) on November 8, 2023

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Mwanakhamis (Guest) on September 17, 2023

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Ann Wambui (Guest) on September 15, 2023

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Margaret Anyango (Guest) on July 20, 2023

🀣 Hii imewaka moto!

Jacob Kiplangat (Guest) on June 18, 2023

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Selemani (Guest) on May 29, 2023

πŸ˜† Bado nacheka!

Catherine Mkumbo (Guest) on May 18, 2023

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Moses Mwita (Guest) on May 12, 2023

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Elizabeth Malima (Guest) on May 8, 2023

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

John Lissu (Guest) on May 3, 2023

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Ann Awino (Guest) on April 11, 2023

🀣 Sikutarajia hiyo!

Shamim (Guest) on March 17, 2023

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Thomas Mtaki (Guest) on March 16, 2023

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Khatib (Guest) on March 15, 2023

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Janet Mbithe (Guest) on February 22, 2023

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Miriam Mchome (Guest) on February 14, 2023

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

John Mwangi (Guest) on February 10, 2023

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

David Chacha (Guest) on February 3, 2023

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

John Kamande (Guest) on February 3, 2023

πŸ˜‚πŸ˜‚

Jane Muthoni (Guest) on January 15, 2023

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Mary Mrope (Guest) on January 15, 2023

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Agnes Sumaye (Guest) on December 21, 2022

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Robert Okello (Guest) on December 2, 2022

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Mary Njeri (Guest) on November 18, 2022

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Dorothy Mwakalindile (Guest) on October 9, 2022

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Mchuma (Guest) on September 29, 2022

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Andrew Odhiambo (Guest) on September 13, 2022

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Mwakisu (Guest) on September 5, 2022

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Robert Ndunguru (Guest) on August 2, 2022

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Hamida (Guest) on July 31, 2022

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Francis Njeru (Guest) on July 19, 2022

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Rose Mwinuka (Guest) on July 2, 2022

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Mary Njeri (Guest) on June 3, 2022

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Lucy Mushi (Guest) on May 12, 2022

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Peter Otieno (Guest) on April 29, 2022

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

James Malima (Guest) on April 22, 2022

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Anna Mahiga (Guest) on April 19, 2022

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Lydia Mahiga (Guest) on April 16, 2022

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Frank Sokoine (Guest) on April 14, 2022

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Elizabeth Mrema (Guest) on April 13, 2022

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Related Posts

Utoto raha..! Angalia hawa watoto wanachokifanya sasa

Utoto raha..! Angalia hawa watoto wanachokifanya sasa

Leo nimepulizia Air Fresh yenye Harufu ya Pilau nyumbani kwangu sasa watoto wa Jirani wamehamia ... Read More

Cheki nilichomfanyia huyu dereva tax

Cheki nilichomfanyia huyu dereva tax

Nilipanda tax leo.dereva tax akaanza kuongea…

Naipenda sana kazi yang... Read More

Hizi swaga za huyu jamaa ni shida, Google!

Hizi swaga za huyu jamaa ni shida, Google!

Jamaa alikuwa kwenye daladala pembeni kuna
dada mrembo kakaa. Kamlia timing kwa muda
ki... Read More

Ungekua wewe ndio boss wa huyu jamaa ungempa kazi? Ungemjibu nini?

Ungekua wewe ndio boss wa huyu jamaa ungempa kazi? Ungemjibu nini?

*Boss*:-kijana unataka nini ndani ya ofisi zangu?
*Jamaa*:-Samahani naomba kazi ya ulinzi nd... Read More

Kichekesho cha mtalii na mbongo

Kichekesho cha mtalii na mbongo

Duh! Sikubali bora mbavu zituume wote!

Watalii wana dharau sana bana, Mtalii alikodi boti a... Read More

Hii ndio ndoto ya harusi ya kila msichana anayotamani

Hii ndio ndoto ya harusi ya kila msichana anayotamani

GIRL: Baby, hebu niambie harusi yetu itakuwaje? BOY: Yaani hii haijawahi kushuhudiwa, ngoja nikupe k... Read More
Kilichotokea baada ya babu mzee kuibiwa nauli kwenye daladala

Kilichotokea baada ya babu mzee kuibiwa nauli kwenye daladala

Mzee mmoja alipanda Gari Stend;
Wakati wa kugombania Siti,
Akaibiwa Nauli.

Akasim... Read More

Huyu bibi kazidi sasa

Huyu bibi kazidi sasa

Bibi kapigwa mtama na Kibaka na kuporwa simu,

Kainuka na kuanza k... Read More

Majibu ya mkato ya kuchekesha Kutoka Kenya

Majibu ya mkato ya kuchekesha Kutoka Kenya

Njeri:Β Roysambu ni ngapi?
Makanga:Β Roysambu ni moja tu. ... Read More

Hii ndio maana ya Matatizo, usiombee hili likukute

Hii ndio maana ya Matatizo, usiombee hili likukute

Matatizo ni nini???

`Matatizo ni pale unapokuwa umefika ukweni usiku na haja kubwa ikakuban... Read More

Kilichotokea baada ya jambazi kuvamia kanisa

Kilichotokea baada ya jambazi kuvamia kanisa

Jambazi mmoja aliingia kanisani na bunduki akapiga risasi juu ya bati akasema "asiyempenda YESU a... Read More

Wadada acheni hizo

Wadada acheni hizo

Mfalme Sulemani alikuwa na wake 700 na alichepuka(cheated)na vimada 300 . Mpenzi wako/Mume wako u... Read More