Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Ulevi noma! Angalia huyu mlevi alichomfanyia huyu jamaa usiku! Ungekua wewe ungefanyaje?

Featured Image
Jamaa alikuwa amelaa na mkewe saa tisa ya usiku akastuka baada ya kusikia mtu anabisha hodi kwenda kufungua mlango
Akamkuta jamaa kalewa sana mlangoni kwao
JAMAA: Nini tena mheshimiwa kuamshana saa hizi?
MLEVI: Naomba uje unisukume.
Jamaa akiamini kuwa pengine kuna gari la huyu mlevi limezima jirani akamwambia subiri nikavae viatu. Baada ya kuvaa viatu akatoka na wakaanza kusindikizana na mlevi. Mlevi akaongoza njia
mpaka kwenye mabembea ya jirani akakaa kwenye bembea moja na kumgeukia jamaa na kumwambia.. Okay nisukume basi.
AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

David Ochieng (Guest) on June 12, 2017

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Grace Minja (Guest) on June 1, 2017

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

David Nyerere (Guest) on May 20, 2017

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Athumani (Guest) on May 7, 2017

🀣 Sikutarajia hiyo!

Amani (Guest) on April 28, 2017

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Benjamin Kibicho (Guest) on April 14, 2017

πŸ˜… Bado nacheka!

Sharon Kibiru (Guest) on March 15, 2017

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Chris Okello (Guest) on February 18, 2017

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Rose Lowassa (Guest) on February 4, 2017

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Monica Lissu (Guest) on January 28, 2017

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Shamsa (Guest) on January 28, 2017

πŸ˜† Bado nacheka!

John Mwangi (Guest) on December 25, 2016

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Edward Lowassa (Guest) on December 16, 2016

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Susan Wangari (Guest) on November 19, 2016

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Emily Chepngeno (Guest) on November 6, 2016

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

George Mallya (Guest) on November 1, 2016

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Nora Kidata (Guest) on October 30, 2016

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Moses Mwita (Guest) on October 24, 2016

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Jane Muthoni (Guest) on October 13, 2016

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Lydia Mzindakaya (Guest) on September 16, 2016

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Joseph Kiwanga (Guest) on September 13, 2016

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

James Kawawa (Guest) on August 21, 2016

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Lucy Mahiga (Guest) on July 19, 2016

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Grace Mligo (Guest) on June 17, 2016

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Grace Wairimu (Guest) on June 13, 2016

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Fadhila (Guest) on June 9, 2016

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

David Nyerere (Guest) on June 7, 2016

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Maulid (Guest) on May 14, 2016

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Khamis (Guest) on May 9, 2016

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Henry Mollel (Guest) on May 1, 2016

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

John Mushi (Guest) on March 30, 2016

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Josephine (Guest) on March 24, 2016

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Joseph Kitine (Guest) on March 19, 2016

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Lydia Wanyama (Guest) on February 23, 2016

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Vincent Mwangangi (Guest) on February 21, 2016

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Charles Wafula (Guest) on January 28, 2016

πŸ˜‚πŸ˜…

James Kimani (Guest) on January 14, 2016

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Victor Mwalimu (Guest) on December 21, 2015

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Joseph Kiwanga (Guest) on December 18, 2015

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Simon Kiprono (Guest) on November 26, 2015

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

James Mduma (Guest) on September 21, 2015

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Charles Wafula (Guest) on September 21, 2015

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Fredrick Mutiso (Guest) on September 16, 2015

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Betty Kimaro (Guest) on August 31, 2015

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Andrew Mchome (Guest) on August 18, 2015

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

George Ndungu (Guest) on July 18, 2015

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Jamila (Guest) on July 14, 2015

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

David Sokoine (Guest) on July 8, 2015

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Andrew Odhiambo (Guest) on June 27, 2015

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Joyce Nkya (Guest) on June 26, 2015

πŸ˜‚πŸ˜†

Daniel Obura (Guest) on June 14, 2015

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Andrew Odhiambo (Guest) on June 10, 2015

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Ruth Kibona (Guest) on June 9, 2015

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Nancy Akumu (Guest) on June 8, 2015

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Paul Ndomba (Guest) on May 10, 2015

😊🀣πŸ”₯

Mary Njeri (Guest) on May 7, 2015

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Lucy Mushi (Guest) on May 5, 2015

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Nancy Komba (Guest) on April 10, 2015

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Related Posts

Cheki jinsi huyu mwanaume alivyomuweza mwanamke wake

Cheki jinsi huyu mwanaume alivyomuweza mwanamke wake

Demu alimpigia simu jamaa yake ilikua weekend mazungumzo yalikua hivi:-

Read More
Angalia sababu ya mwanamme kubadili jina na Kuitwa jina la kike, hii dunia ina mambo kweli

Angalia sababu ya mwanamme kubadili jina na Kuitwa jina la kike, hii dunia ina mambo kweli

Rashidi alimpa ujauzito mwanafunzi, akashtakiwa.
Kumbe Rashidi ana bibi yake mtaalamu wa yal... Read More

Wadada acheni hizo

Wadada acheni hizo

Mfalme Sulemani alikuwa na wake 700 na alichepuka(cheated)na vimada 300 . Mpenzi wako/Mume wako u... Read More

Huyu jamaa kawaweza wapenda vya bure

Huyu jamaa kawaweza wapenda vya bure

Jamaa kaingia mgahawani kwa fujo
JAMAA :Β Nipe soda moja na kila mtu mpe ya... Read More

Sitasahau mwaka huu

Sitasahau mwaka huu

Sitasahau mwaka ule ambapo nilipeleka barua ya maombi yangu ya kazi kwenye kampuni moja ... Read More

Huyu Jamaa bwana! Cheki anavyojibu sasa

Huyu Jamaa bwana! Cheki anavyojibu sasa

*Mdukuzi:* _halloo massai unasemaj_
*Massai:* _safi rafiki_

*Mdukuzi:* _nikikuuliza sw... Read More

Angalia nilivyookoa maisha ya mtu leo

Angalia nilivyookoa maisha ya mtu leo

Nmeokoa maisha ya mtu asubuhi ya leo huwezi amini.Nmekutana na ombaomba nikamuuliza atajisikiaje ... Read More

Cheka kidogo hapa. Huyu Chizi Kachizika Kweli

Cheka kidogo hapa. Huyu Chizi Kachizika Kweli

Mvaa milegezo alizidiwa na pombe akaenda kulala dampo,

Chizi mwingne naye akaenda hukohuko,... Read More

Cheki huyu kiherehere alivyojibiwa

Cheki huyu kiherehere alivyojibiwa

Za asubuhi?

Nzur sjui huko?

Huku kwema tuu

VP si ulimaliza chuo ww?

Ndio ... Read More

Alichojibu dalali baada ya kufumwa na mke wa mtu ndani ya nyumba ya kupanga

Alichojibu dalali baada ya kufumwa na mke wa mtu ndani ya nyumba ya kupanga

Dalali aliwatafutia jamaa chumba Buguruni karibu na reli, nyumba nzuri sana. Jamaa na mkewe wakahami... Read More
Sababu ya mke kupewa dawa badala ya mumewe

Sababu ya mke kupewa dawa badala ya mumewe

Dokta: Mama tumemchunguza mumeo kwa makini sana, jopo lote la madaktari tumekubaliana mumeo anahitaj... Read More
Angalia anachokisema Madenge sasa

Angalia anachokisema Madenge sasa

MWALIMU kaingia darasani na kusema. "Wanaojijua wajinga wasimame".

MADENGE akasimama peke y... Read More